hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,410
- 26,967
Mwanangu na wewe umeingia kwenye mtego wa huyo jamaa?Akili za Arteta anauza assets na anaacha liabilities.
Hujui Balogun ameondoka sababu alitaka awe first choice pia Ni lazima tuuze ili kubalance vitabu
Bado Arsenal Wana percentage sale kwenye dili la Balogun
Na kwa form ya Nketiah alikuwa ahead over Balogun
Mwisho kwa Arsenal ilipo sio Balogun au nketiah wanaweza kuongoza safu ya ushambuliaji
Ndio Maana unaona anatajwa Toney , Victor Osimhen, n.k means Nketiah atauzwa .
Kama unakumbuka Yuri Tielemans alionekanaga muhimu Sana asajiliwe , ukafika wakati hakuwa Tena our level , now hata Astonvilla Hana namba.
Mbona Kuna vitu vya kutumia knowledge tu