Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Katika timu hua siziwazii ni kenge na nyumbu.

Hata tuwe wabovu vipi hua naamini tunatakiwa kuwapiga na hua tunawapiga kweli.

Kenge their best team tuliiface na nikahisi hapa hatutoboi ni ya misimu nyuma huko huku wakiwa na Lukaku. Pamoja na threat waliyoonyesha ila walishinda 2 tu, 2nd meeting tulipiga mpaka wakaanza kulaumu kipa.

Na kuanzia pale ikawa ni wanapigwa tu haina kupumzika. Next season bakora, next season tena bakora.

Katika hao wawili hata tuchezeshe under 16 mimi bado naamini tutashinda.
 
Bila kumsahau Michael Jackson lazima awachezeshe Thriller pale darajani.
Yaani katulizwa Halaand sembuse hyo kimbaumbau😅😅😅...siku ikifika tutaona anafanya nn....pale Chelsea ni Enzo tu ndo kidoogo anaweza kujitutumua ila hawa wasuka dread wengine hamna kitu...ni watumishi hewa
 
Bila ya King of Aerial duel, Master of pressing, professional of positional interchange Mtaalamu mwenyewe King Kai Havertz hicho kikosi itakua ni ubatili mtupu.
unamuandama sana King Kai! Pole sana brother najua unapata tabu sana na Arsenal and unajitahidi sana kutafuta loophole ya kuisema. hiyo ni kazi ngumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu aepushe mbali mlikose tu kwa kweli maana sisi Manyumbu sijui hata sura zetu tutaziweka wapi?
Na nilivyozungukwa na majirani zangu wote ni Asaninyau ninaweza nikahama mpaka mtaa.
Yaani nyie manyumbu mmenunua Sanchoka enzi hizo, tena bei ghali kuliko Kai na kazi kubwa aliyofanya ni kunenepa tu, badala mdili naye mnataka kumkomdesha King Kai mwenye assist yake dhidi ya Man City

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani nyie manyumbu mmenunua Sanchoka enzi hizo, tena bei ghali kuliko Kai na kazi kubwa aliyofanya ni kunenepa tu, badala mdili naye mnataka kumkomdesha King Kai mwenye assist yake dhidi ya Man City

Sent using Jamii Forums mobile app
sio assist tu pia ana goli zake mbili za Pre season muulize Masingeli atakwambia
 
Kikosi kikiwa full kabisa our Midfield Ni Partey Ødegaard na Rice

Kai anakuwa False 9

Amecheza LCM sababu tulipoanza Ligi

Zinny alikuwa injury ,hivo Partey ikabid atumike Kama RB Inverted ,
Sio sahihi Kai kuwa LCM, tunaforce kitu kisichowezekana. Arteta aendelee kumpanga CF
 
Hivi unaelewa kwamba Hazard legend wa the blues alikuwa shabiki la washika mtutu wa london!

Eden Hazard in February 2021: “For me, the players I looked up to were Zinedine Zidane & Thierry Henry. It’s difficult for me to admit because of my relationship with Chelsea, but I really liked the Arsenal team at the time. They had players like Pires, Wiltord & Vieira.” #afc
 
Mbona inajulikana ,kila anayezaliwa Ni shabiki wa Arsenal,huko kwingine huwa Ni kupotea tu

Mfano Flano Ni mshabiki wa Arsenal,ila anajifanya Ni wa manjesta sababu ya shemeji yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…