Ni rahisi kuona goli la saka.
Ila unaweza usione poor movement ya nketiah. nafikir Kama isingetokea mpira kumgonga beki wa tot unaona kabisa ile cross na uzuri wake ilikuwa inapotea.pale nketiah au jesus walipaswa kuwepo eneo la kushoto la goli kwa karibu ili ku tap-in na kupata goli.
Mech kama hizi kila chance inayopotea ina malipo