arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Pambaneni ndugu zetu nafasi ya saba kwny ligi kuu ipo wazi kabisa....ni nyie tu kujitahidi kidogoYaani Masingeli unatoka kucheza na PSV halafu anakuja kuwakandia Bayern na Madrid kua sio tishio?
Haya maneno unatakiwa uyaongee ukiwa umeshacheza nao na kuwafunga.
Kama unaona ni rahisi kumfunga Bayern goli 3 kama Man Utd tulivyofanya basi muulize mzee Wenger nini kilimpata alivyokua anataka kupishana na Wajeremani.
Kama anapatikana, tumchukueNasikia Arsenal wameshaamza mazungumzo nae chini kwa chini huenda akajiunga January
Mikel juz kasema anataka kila namba iwe na watu wawili wenye uwezo sawa
Eddie bado hampi changamoto Jesus
Mm niko Against unavyo fikiria, kwa uzoefu wangu Team zinazocheza mpira style ya Bayern na Liverpool hua tunapata wakati mgumu sana kupata matokeo! Na kwa performance ya Bayern kwa sasa huwezi sema ni mbovu, ni mapema sana ku conclude.Baryen unayoizungumzia sio hii, na Arsenal unayoizungumzia sio hii elewa Hilo
Baryen na Madrid Ni wakawaida huo Ni msimamo wangu toka hata makund UCL hayajapangwa ,
PSV ana unbeaten run ya 20+ mechi, kwenye Ligi ya uholanzi ambayo 7hag mnadai alifanya vzr na mnamuita kocha Bora ,PSV hajafungwa had Sasa
Madrid kacheza na kibonde kuliko PSV ,kapata goli dakika 94
Sasa usimdharau PSV , Arsenal kwasasa tunatoa mbinyo wa maana
Mm niko Against unavyo fikiria, kwa uzoefu wangu Team zinazocheza mpira style ya Bayern na Liverpool hua tunapata wakati mgumu sana kupata matokeo! Na kwa performance ya Bayern kwa sasa huwezi sema ni mbovu, ni mapema sana ku conclude.
#Tupunguze mihemko na nyege za UEFA
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Raya kamzidi Ramsdale kwenye shot stopping.Mechi ya Spurs, bado Raya ni wa kuanza mbele ya Ramsdale.
Kwa namna Spurs wanavyo press siku hizi, Ramsdale hupata tabu sana dhidi ya timu za namna hiyo.
Tunahitaji kipa mwenye courage ya kupiga pass ku overcome pressing ya timu pinzani.. na uzuri wa pressing ukishaishinda basi upande wa wapinzani huwa unaacha space kubwa ya kuishambulia.
Hapo ndipo tutakapohitaji distribution za Raya.
Sio hilo tu, Raya ni shot stopper mzuri kama alivyo Ramsdale. Na ni mzuri sana kwenye aerial balls na swipes.
Tunambonda Spurs, tunasogea juu kumfuata City.View attachment 2756826
Ndio tatizo la mashabiki, wakishakuchukia wanaangalia makosa tu. Kuna mwamba kasema humu Raya tunaangalia mema tu, mapungufu tunayapotezea. Hata akichezeshwa Rams bado tutaangalia mapungufu ili tumfananishe na Raya. Kosa kubwa. Arteta kuna kitu anakiona kwenye uwanja wa mazoezi. Jana Kai kacheza poa sanaCha ajabu wanaomuangalia makosa tu wanakwambia hajafanya kitu
| Tim Sherwood: “Kai Havertz, for me, he’s not started the season but he looks a real player tonight,”
“He’s got so much room to operate in. He’s not shy of a Champions League goal in the final, is he?”(sky via tbr)
Flano, ukiyachulia mambo magumu hutoboi hata kwenye maisha ya kawaida, mwamini Onana, mwamini ETH, mwamini Rashidi, Bruno na wengine mtatoboa. Hamisi anamwamini sana Arteta ndio maana anajiamini kusema anachosema. That the trick.bora umwambie mapema kabisa ndugu yetu Masingeli, maana hua anapenda kuchukulia mambo kiurahisi rahisi na kuwaaminisha watu vitu ambavyo hata yeye mwenyewe hua hana uhakika navyo, halafu mambo yanapoenda ndivyo sivyo analikimbia jukwaa na kuwaachia msala wenzake humu ndani
Ni mtazamo wangu baada ya kuzifatilia hizo timu kwa muda ,na nimeanza kuusema hata kabla ya makundi kupangwa ,kinachotokea Sasa Ni uthibitisho tu wa kile mchambuzi nguli nilichosema ,Mm niko Against unavyo fikiria, kwa uzoefu wangu Team zinazocheza mpira style ya Bayern na Liverpool hua tunapata wakati mgumu sana kupata matokeo! Na kwa performance ya Bayern kwa sasa huwezi sema ni mbovu, ni mapema sana ku conclude.
#Tupunguze mihemko na nyege za UEFA
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
Long balls , claiming ,kudaka krosi, kutuliza tempo ya mchezoRaya kamzidi Ramsdale kwenye shot stopping.
Flano, ukiyachulia mambo magumu hutoboi hata kwenye maisha ya kawaida, mwamini Onana, mwamini ETH, mwamini Rashidi, Bruno na wengine mtatoboa. Hamisi anamwamini sana Arteta ndio maana anajiamini kusema anachosema. That the trick.
Naona unakazania niseme tutafungwasawa anamuamini sana Arteta vipi baada ya kumuamini huko alitoboa?
Msimu ulioisha alikua anatuamisha humu kwenye mechi za mwisho za ligi anampiga liverpool Anfield halafu atampiga Mancity nyumbani kwake kisha akabidhiwe kombe lake, humu wenzake wakawa wanamkanya asipende kuchukulia mambo simple simple aliwabeza na kuwaita mamlukibaada ya kuanza kuchezea vipigo vitakatifu Msingeli si alitukimbia humu kabla hata ya ligi haijaisha?
Masingeli ndugu yangu unauponza ujueee
Ila mwanangu Masingeli una kipawa kikubwa sana kwenye ushawishi, yaani kuna watu humu wameshaanza kumsifia kabisa Kai Havertz baada ya kusikiliza mapambio toka kwa Masingeli.Naona unakazania niseme tutafungwa
Haya turudi jukwaani kwenu kule tukamjadili Onana na 7hag
Naona unajisahau Sana View attachment 2756997
Kama wwe ulivyokimbia jukwaa lenu la unyumbuni kule umewaachia msala wenzio........unarandaranda tu humu ukipiga soga huku nyumba inaungua kule nyumbuzbora umwambie mapema kabisa ndugu yetu Masingeli, maana hua anapenda kuchukulia mambo kiurahisi rahisi na kuwaaminisha watu vitu ambavyo hata yeye mwenyewe hua hana uhakika navyo, halafu mambo yanapoenda ndivyo sivyo analikimbia jukwaa na kuwaachia msala wenzake humu ndani
Ok sawaNi mtazamo wangu baada ya kuzifatilia hizo timu kwa muda ,na nimeanza kuusema hata kabla ya makundi kupangwa ,kinachotokea Sasa Ni uthibitisho tu wa kile mchambuzi nguli nilichosema ,
Baryen ya Sasa haifanyi pressing ,
Manjesta inayoshambulia kwa kubahatisha imeokota goli 3 , huoni Kuna shida Mahali,
Usisingizie watu, Wala kufarakanisha watuIla mwanangu Masingeli una kipawa kikubwa sana kwenye ushawishi, yaani kuna watu humu wameshaanza kumsifia kabisa Kai Havertz baada ya kusikiliza mapambio toka kwa Masingeli.
Masingeli ngoja nifanye mchakato halafu nikutafute tufungue kanisa letu la upako tutapiga pesa kinyama mno ndugu yangu.
Kwenye kanisa letu tusisahau kuwachukua na chawa wako arsenal2004 pamoja na mkorea wakusaidie kwenye kazi ya unabii
Sasa Onana tumjadili nini wakati yeye mwenyewe tayari ameshajijadili?Usisingizie watu, Wala kufarakanisha watu
Twende jukwaan kwenu kule tukamjadili Onana na 7hag mpaka Sasa hana playing style alichofanikiwa Ni kufanya Udalali na kampuni lake la SGE ndani ya manjesta