Kumbe mechi yetu na manyumbu uwanja uliinama eeh!😃Arsenal's field tilt:
vs Everton 83.8%
vs United 81.2%
vs Fulham 90.4%
vs Palace 50.4%
vs Forrest 82.8%
Absolute dominance so far.
Dah😂😂Lile goli la Trossad angekuwa Kai pale duuuhangeishia kudondoka tu kiazi yule
Angalia matokeo sasaMadrid anakimbizwa na Sociedad Kama underdog ,
Wale hawana timu , wazee wa kaunta na kuviziaKumbe mechi yetu na manyumbu uwanja uliinama eeh!
Ramsdale huwa ana wenge Sana halafu unakuta Ni muda wakutulia kulinda matokeoKwa uwezo alioonyesha Raya leo imemfanya mpaka Arteta katoa ya moyoni..
Anasema katika mambo anayojutia kama kocha mchanga ni kushindwa kufanya uamuzi katika wakati uliostahili.
Inavyoonesha jamaa alitaka kufanya sub ya golikipa kwenye mechi tuliyosuluhu dhidi ya Fulham pungufu lakini alishindwa.
Anasema atalifanyia kazi siku za usoni.
Tutaona for the first time tukifanya sub ya makipa msimu huu.
Haya mambo utayapata Arsenal tu.
Hii Arsenal itaniua kwa kisukari jama!
Acha nilale mie! Nitaamka nikisikia mlio wa UEFAView attachment 2752833
ila Madrid huu mwendo wao unatia mashaka SanaAngalia matokeo sasa
Mnapeana moyo🤠🤠🤠....jana ile penalty yenu kama ya magumashi hvi🤠🤠🤠....ww ambaye sio false hoper una hata kakikombe gani ka kuzugia mkuu🤠🤠🤠...na ule mpira wenu wa piga mbele tukimbizaneWanataka kukuingiza kingi na wewe uwe mmoja ya watu wenye false hope ni bora maumivu makali kuliko matumaini bandia mzee.
Yaani haijalishi arsenal atashinda vipi, we all know ikifika time to show balls kwa wanaume halisi lazima watakimbilia ndani zile match 10 za mwisho hapo ndipo vichekesho vitaanza baada ya matumaini ya muda mrefu.
Ila pole sana flano maana inaonekana makocha wote wameshindwa kwenda kuongea vizuriii na wale mashetani wekundu kwenye vyumba vya siri vya OTsijuii ni wachezaji sijuii ni makocha yaani vipigo mnavyopokea man utd hailewekiii tatizooo liko wapi
Inabidi mfanye kafara tu kama 1999maana mashetani wamekasirika , kama usajili mnafanya pesa mnatoa ila tatizo lipo palepale sio ole wala van gal wala josee
Kwli kabisa mwaka jana utoto ulitukost sana mkuu🤠🤠🤠...mwaka huu mpk mwezi wa 12 tutakuwa pale juu...baada ya hapo unganeni wte kutuombea mabaya tena maana safari hii lile jambo halitakaa kitokee tenaKwa hiihii Arsenyo inayobakiza mechi 8 kumaliza ligi ikiwa inaongoza kwa points 8, halafu inabaki mechi 1 ligi kuisha inakua ipo nyuma kwa points 8?
Hapana aiseeee mara 100 nishangilie Fulham walau yenyewe inamiliki kombe la Ulaya.
Arsenyau mkinionesha kombe lenu linalofanana walau na hilimimi nitawaonesha Maguire anavyokabidhiwa tuzo ya Ballon d'Or. View attachment 2752750
Mnapeana moyo....jana ile penalty yenu kama ya magumashi hvi....ww ambaye sio false hoper una hata kakikombe gani ka kuzugia mkuu...na ule mpira wenu wa piga mbele tukimbizane
Mnapeana moyo....jana ile penalty yenu kama ya magumashi hvi....ww ambaye sio false hoper una hata kakikombe gani ka kuzugia mkuu...na ule mpira wenu wa piga mbele tukimbizane
Mkuu Liverpool wanaposema wana makombe 19 ya ligi inajumuisha na ya nyuma...its called history....man utd 20 epl trophies...starts from way back....hvyohvyo kwa uefa...mm zikianza kupigwa story za uefa nakaa kimya....why...kwa sababu sina history yyte...bdo huko ni mdogo na huo ndo ukweli....ila if u talk of domestic cups...tutaongea vzuri...kwa sababu hyo inakufanya uonekane ni one of the best...Invisible wanachukua kombe mi naangalia mpira....sasa ww ambaye unakuja kubweka hmu una lipi la maana mkuu...una epl Titles ngapi...una fa cups ngapi...una carabao cups ngapi....una community shield ngapi....halafu uje uanze kujifananisha na sisi hmm....tunaposema nyny ni wadogo tunaongelea kwny aspects kama hzi....sasa nashangaa sana unajitutumua hmu ndani wkti ww ni bwana mdgo sana....leta history yako ya vikombe hapa ndo tuanze kuongea....vjnginevyo endelea kutuombea njaa tu mkuu siku tukifungwa uje kutupiga mabangoKombe unalojisifia atleast pawepo na mtu anayecheza mpaka now, ngoja nikupe somo kidogo usije aibika siku nyingine
Mfano man utd iliyochukua kombe la 2013 japo hawajisifu nalo kama wewe na kombe lako la 2004, kombe la 2013 la man utd lina mashiko zaidi kutokana na kuna wachezaji wapo mpaka sasa bado wanacheza mpira na si wastaafu kama wa 2004
Hawa wote wamechukua kombe la epl 2013 na man utd na wanacheza mpaka sasa
1. Welbeck- Brighton. 2. Smalling - As Roma 3. A. Young - Everton 4. Cleverly - Watford 5. De gea 6.J. Evans - man utd 7. Kagawa - Paok 8. Chicharito - LA galaxy.
Naomba nitajie wachezaji 2 tu waliochukua kombe la epl na arsenal ambao bado wanacheza team yoyote ile hata kama ni veteran au cha ndimu kama Kalou wa chelsea alivyokuja kucheza na kina bajanapale chamazi
Ukitaja hata 1 tu kuanzia leo mpaka milele sisi tutaungana na nyie kwenye kusifu na kuabudu milele humu ndani na tupo tayarii kuchukuliwa utumwani na pastor mackenzie wa humu ndani ili tusifu na kuabudu chama lenu la Arsenal.
Tutajie mmoja tu ? Uone jinsi gani unaongelea kombe la zama za mawe
Kwli kabisa mwaka jana utoto ulitukost sana mkuu...mwaka huu mpk mwezi wa 12 tutakuwa pale juu...baada ya hapo unganeni wte kutuombea mabaya tena maana safari hii lile jambo halitakaa kitokee tena
Hahahaha 🤣🤣🤣 hahahaha hahaaaaaaaaaaaa......
Leicester Wana history gani pale EPL...unazungumzia watu waloshuka daraja mkuu🤠🤠🤠....timu Haina financial muscles yyte....no playing style...nilidhani tuta discuss kimpira kumbe unaongea kishabiki....ukitaka kufanya comparison ya matukio....wafananishe wale jamaa na nyny...wao walipata bahati ya kubeba ndoo wakashuka daraja....nyny mlipata bahati ya kuingia top 4 ila inavyoonekana mwaka huu kama mnaenda kupambana kutoshuka daraja 🤠🤠🤠...yaani mnashindana na Chelkenge kule chini kupokezana matatizoMwaka huu pale juu hamtapanusa hata kwa dakika 5, Leicester City na wao baada ya kuchukua Epl 2015/2016 msimu uliofata walikua na hesabu kama hizo zenu za kukaa pale juu, nendeni mkawaulize vipi walifanikiwa tena kuwa top on the table?
Msituletee habari za Le Supercomputer.