kengemajikwetu
Senior Member
- May 12, 2022
- 158
- 680
We jamaa ulisema kwnz hutokaa Kuni QUOTE lkn kiherehere chako kila mara unani QUOTE Dah
Hlf ulisema watu wanaku attack ww na matus lkn ww umekuja kwng na matus na kashfa izo izo.
Aya bana Dikteta.. Hutak watu waongee mawazo mbadala . . Basi unda HamisForumn yakouwe unatoa mawazo yako pekee yako na kikundi chako.
#Hamis77 ni Dikteta apingwe
anajiita MCHAMBUZI NGULI kumbe UCHWARA tu
Hii hoja yenu ya Partey kucheza RB ili Kai acheze Ni hoja mfu ambayo hata kuitetea hamuweziUwe unaelewa.
Ili Rice na Kai wapangwe inabidi Partey awe RB na White awe CB na Gabriel awe benchi.
DM kucheza beki ni jambo la kawaida mno kama ndiyo kwanza unaona kwa Arteta basi subiri
Mimi nipo msimu ulioisha?nifatilie utajua nipo toka liniNgoja kwanza tuanzie hapa.
Wewe si umeanza kuonekana humu kuanzia msimu ulioisha?
Sasa tuambie wakati anasajiliwa Ødegaard na Ramsdale ulisema wapi hizo hoja zako?
Labda uwe umebadili ID.
Unaonekana wewe ni kama Aaron Arsenal , but still nashangaa kwa sababu Aaron hakuwa hivi na tabia ya ku-exaggerate mambo kama ulivyo wewe.
Siulihamia PSG ,ulishajiuliza Nini kilikurudishaKiburi gani katupa Arteta?????
Nilisema Odegaard ni nini? 🤔Kwa hoja yako hiyo kwamba Partey anacheza RB ili Kai acheze
Huoni kwamba Ni chuki tu kwa Kai , Kama ulivyofanya kwa Øde,na wengine
Hivi hamjifunzagi tu
Sasa Mimi mtu wa ovyo , why muda wote unanizungumzia MimiHuyu mm namuona mtu wa ovyo sana.. Kwa sbb ni kama nyumbu anasahau sana.
Alisema kbs kua hatokaa kuni QUOTE cha ajabu zaid kila mara kiherehere anani QUOTE na anadai mm natafuta Engagements wakat yy kila kukicha kwenda majukwaa ya watu na hoja uchwara za kutukana wachezaj na makocha wa team mpinzan ili aendelee kupata Engagements izo izo
Ndo maana wizara ya afya inasisitiza watu wachunguze afya ya akil ww unahis kwnn mkuu?.. Kwa sbb kuna watu kama hawa tunaishi nao kwny jamii yetu.
Sasa hujui kua Partey inabidi ashuke kwa ajili hiyo?Kwa hoja yako hiyo kwamba Partey anacheza RB ili Kai acheze
Huoni kwamba Ni chuki tu kwa Kai , Kama ulivyofanya kwa Øde,na wengine
Hivi hamjifunzagi tu
Uwezo huo ninao.Takwimu huwa zinaweka hapa
Halafu sidhani Kama Kuna mtu humu ana uwezo wakumuangalia mchezaji na kuja hapa kutoa every details hasa zile wanazoangalia makocha ,
Bado sijaona mtu hapa Jf mwenye huo uwezo ,labda Kama tudanganyane
Ndio Maana kila mech mnaenda kuangalia wapi anakosea mje mpayuke humu Jf
Wewe mwenyewe unajua huna huo uwezo wa kumu analyse mchezaji,
Wachezaji wangapi uli wa questions na Sasa wameku prove tofauti
Kesho Zinny atakuepo?Hii hoja yenu ya Partey kucheza RB ili Kai acheze Ni hoja mfu ambayo hata kuitetea hamuwezi
Kila wachezaji na sifa zao huamua mfumo upi utumike
Ndio Maana huwez kukuta tunacheza 4-3-3. Kama Baadhi ya wachezaji hawapo
Kasikilize interview ya Arteta ya leo kaelezea kwanini Fabio Vieira na Martinelli Combination Yao inaiva
Kaelezea kwanini Kai ata shine sababu ya uwepo wa ZINNY
Akasema hata Xhaka alikuwa Bora sababu ya Zinny
Unaosasa ulivo mjinga?Sasa Mimi mtu wa ovyo , why muda wote unanizungumzia Mimi
Nilisema si qoute ndio, but nakushangaa unahangahika kunizungumzia kunisema vibaya
Unatafuta engagement humu?
Mimi nawashangaa Sana wanaonichukia na kunizungumzia
We unapokuja kwny majukwaa ya wengne unakua unatafuta nn?.. Wanaume au unatafuta nn.Sasa Mimi mtu wa ovyo , why muda wote unanizungumzia Mimi
Nilisema si qoute ndio, but nakushangaa unahangahika kunizungumzia kunisema vibaya
Unatafuta engagement humu?
Mimi nawashangaa Sana wanaonichukia na kunizungumzia
Lengo ni wewe uache Ujuaji kiazi wewe.Sasa Mimi mtu wa ovyo , why muda wote unanizungumzia Mimi
Nilisema si qoute ndio, but nakushangaa unahangahika kunizungumzia kunisema vibaya
Unatafuta engagement humu?
Mimi nawashangaa Sana wanaonichukia na kunizungumzia
Huyu jamaa unajua mpumbav sana basi tu.Lengo ni wewe uache Ujuaji kiazi wewe.
Kabla ya kuendelea na mjadala mkali tutoe dakika moja kuwaombea wenzetu Chelkenge.....inasikitisha sana....yule Caicedo sijui wamempa nn....fundi Midiriki haeleweki...Cole Palmer naye sijui wamempa nn....tunahitaji kikao cha haraka sana ku discuss hatima ya hawa wenzetu....wamesajili wqchezaji wengi machachari lakini sio wazuriDah hili jukwaayaani hatuna mechi ila uzi uko no 1 trending.watu wanapigana spana balaa na ni nzuri kwa afya ya jukwaa.
Kuna mtu aliwahi nambia yafuatayo.
1.ukitaka kwenda mbali kimbia,ila ukitaka kufika mbali heshimu watu unaoongozana nao katika safari yako maana huenda wanajua huko mbali unakotaka kwenda.mashabiki tupendane.activenes ya group inamhitaji kila mtu.
2.kama hujawahi kusikia au kuona jambo isiwe sababu ya wewe kuamini halipo.tusiamini tu katika mifumo tunayoijua kwamba ndo italeta mafanikio bali mifumo ilitengenezwa,inatengenezwa na itatengenezwa na itatushangaza.
3.ndoto na maono(dream & vision) vinaufanano mkubwa katika tofauti zao.kocha wetu na wachezaji wetu tusiwalinganishe na wengine maana wanafanana lakini hawalingani.
4.milango yote ya fahamu(macho,masikio,pua,ngozi) vimewekwa nje na vinaonekana wazi muda wote iwe vinatumika au havitumiki,jiulize kwanini ulimi umefichwa na unaonekana wakati wa matukio pekee(kuongea).
Kila mtu na aangalia anavyozungumza hapa jukwaani hasa anapotoa ulimi wake kwa njia ya maandishi.
#Arsenal ndoo
#Nketiah kiatu
Kuna marehemu kazikwa hukoTwendeni kwenye msiba kwanza tutarudi kuwekana sawa.
Mwingine anayeamini Pochettino ni kocha sahihi aje hapa
Hii ni mwezi wa 3 mwaka huu namuongelea Fabio VieiraPamoja na hizo miss ila Vieira ni miongoni mwa wachezaji intelligent kwenye kikosi chetu cha sasa