hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,403
- 26,960
Huwa nakuuliza Kuna mtu analazimishwa kunikubali humu?humu tunataka kuanzisha kampeni ya "Masingeli bringback our team"
Masingeli sasa hivi amejimilikisha hili jukwaa lazima twende nae toe to toe mpaka ateme ndoano.
Mpaka kesho baada ya mechi Masingeli asipotema ndoano niulizwe mimi.
Sasa hivi humu hata kuhoji haturuhusiwi, ukihoji tu Masingeli anakwambia uonyeshe leseni ya ukocha na utaje timu uliyofundisha hata kama ni timu ya kanisa au msikitini.
Ni hivi nina hoja nzito Sana nimesha prove wrong ujinga mwingi Sana humu na hata kwenu
Uelewa wa soka humu Jf ni mdogo, uwezo wa watu kuchanganua mambo Ni mdogo Sana
Ndio Maana a lots of fans hawajui chochote
Humu humu Hawa wapayukaji walisema Mikel anakosea kumnunua Jesus kwa £45m,hafai
Nilipambana nao leo hao hao wanamshabikia Jesus ,huo Ni mfano tu
Kwahiyo elewa kwanza Mimi hoja zangu Ni nzito , ukitaka chochote kuhusu football tujadiliane hoja kwa hoja mwisho lazima unichukie uniite majina mabaya