Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Huwa nakuuliza Kuna mtu analazimishwa kunikubali humu?


Ni hivi nina hoja nzito Sana nimesha prove wrong ujinga mwingi Sana humu na hata kwenu


Uelewa wa soka humu Jf ni mdogo, uwezo wa watu kuchanganua mambo Ni mdogo Sana


Ndio Maana a lots of fans hawajui chochote


Humu humu Hawa wapayukaji walisema Mikel anakosea kumnunua Jesus kwa £45m,hafai

Nilipambana nao leo hao hao wanamshabikia Jesus ,huo Ni mfano tu


Kwahiyo elewa kwanza Mimi hoja zangu Ni nzito , ukitaka chochote kuhusu football tujadiliane hoja kwa hoja mwisho lazima unichukie uniite majina mabaya
 
Wewe Flano umekuja juzi tu, sisi tupo humu toka Wenger ,Emery
 
Wewe niite vyovyote ,Mimi na kauli moja siendeshwi na wengi wanasemaje maana nishawa prove ujinga wao humu
 
Unanifatilia Sana Safi Sana ,

Chuki uliyojaza moyon mwako juu yangu itakufanya ukonde

Umekaa unamchukia Kai kisa mkumbo tu
 
Humu wengi uwezo mdogo wa kufikiri

Na mara kibao nimekuwa na wa prove wrong

Kuanzia anakuja Øde,Rams
Ngoja kwanza tuanzie hapa.

Wewe si umeanza kuonekana humu kuanzia msimu ulioisha?

Sasa tuambie wakati anasajiliwa Ødegaard na Ramsdale ulisema wapi hizo hoja zako?

Labda uwe umebadili ID.

Unaonekana wewe ni kama Aaron Arsenal , but still nashangaa kwa sababu Aaron hakuwa hivi na tabia ya ku-exaggerate mambo kama ulivyo wewe.
 
Inaonesha kutokuwai kufundisha ata timu ya kanisa imewaumiza Sana


Fact siku zote Ni mwiba ,

Mtu hajawahi kufundisha hata timu ya kanisa anahoji mbinu za Mikel

Nawajua watu humu walihoji sajili za Øde Kuna mtu alikomaa humu anadai Mikel anazingua anamrudisha Øde anashindwa kusajili AM ,

Last season wameponda usajili wa Trossard wanasema umri umeenda

Wameponda usajili wa Jesus


Season hii walianza na Fabio Vieira auzwe au atolewe mkopo


Sasa hivi wamehamia kwa Kai havertz


Hawajifunzi mara zote hizo wanaingia Cha kike
 
 
Hili jukwaa jinsi Masingeli mzee wa ngwasuma avyoliendesha huko tunapoelekea kama hauna leseni ya ukocha itakua ni marufuku kucomments humu.
Mkuu Kuna mtu niliwahi mkataza ku comment?

Hoja zangu zinawalimit hivo option Ni matusi na kashfa

Halafu nawavutia pumzi wote wenye matusi ,
 
Kule unyumbuni ili waonekane wanapingana na Mimi kwasasa wanamsifia 7hag kinafiki
 
Tatizo watu wanaongea pumba kibao ,

Nakupa mfano wa pumba ambayo ikiwekwa fact wanajaa hasira

Mtu anakwambia kwanini Arteta anatumia 3-4-3 na sio 4-3-3

Mikel alijibu Ni sababu kwanza anataka kuwa unpredictable,pili kuumia kwa Zinny na Timber kulimfanya asitumie 4-3-3,


Shabiki maandazi hajawahi hata kupiga danadana anakwambia siokweli ,na porojo kibao ,akidai Ni sababu ili Kai acheze


Je Partey hakucheza last season as FB ,Kai alikuwepo

Hoja Kama hizi mtu anaona atoe matus , n.k
 
Wewe mnafiki unayehamahama timu ,unatafuta engagement humu ?


Aliyekwambia mm naongoza hili jukwaa Nani?


Wewe Ni shabiki Malaya ,kaa ufunge mdomo
 
Duh tayari tena namchukia Kai na ninakuchukia wewe?

This is too low.
Kwa hoja yako hiyo kwamba Partey anacheza RB ili Kai acheze

Huoni kwamba Ni chuki tu kwa Kai , Kama ulivyofanya kwa Øde,na wengine

Hivi hamjifunzagi tu
 
Wewe mnafiki unayehamahama timu ,unatafuta engagement humu ?


Aliyekwambia mm naongoza hili jukwaa Nani?


Wewe Ni shabiki Malaya ,kaa ufunge mdomo
We jamaa ulisema kwnz hutokaa Kuni QUOTE lkn kiherehere chako kila mara unani QUOTE Dah

Hlf ulisema watu wanaku attack ww na matus lkn ww umekuja kwng na matus na kashfa izo izo.


Aya bana Dikteta.. Hutak watu waongee mawazo mbadala . . Basi unda HamisForumn yako
uwe unatoa mawazo yako pekee yako na kikundi chako.

#Hamis77 ni Dikteta apingwe
 
Takwimu huwa zinaweka hapa

Halafu sidhani Kama Kuna mtu humu ana uwezo wakumuangalia mchezaji na kuja hapa kutoa every details hasa zile wanazoangalia makocha ,

Bado sijaona mtu hapa Jf mwenye huo uwezo ,labda Kama tudanganyane

Ndio Maana kila mech mnaenda kuangalia wapi anakosea mje mpayuke humu Jf


Wewe mwenyewe unajua huna huo uwezo wa kumu analyse mchezaji,

Wachezaji wangapi uli wa questions na Sasa wameku prove tofauti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…