Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal na manjesta muungane mkija kukutana na liverpool ntawapiga tano tano
 
Arteta on the new touchline rules:


Arteta -

"Ninajaribu niwezavyo kuwa pale [katika eneo langu la kiufundi]. Sitahama kesho, utaona jinsi nitakavyokuwa na tabia nzuri."



(@NizaarKinsella)
 
TRANSFER -

Folarin Balogun and his team expect Monaco medical be tomorrow or Sunday ahead of a move

(@TheSecretScout_ )
 
Mikel Arteta juu ya kurudi kwa Gabriel Jesus:

"Ilikuwa pigo kubwa kwake, baada ya maandalizi ya msimu mpya, kufanyiwa upasuaji mwingine. Anaonekana kachangamka sana, alifanya mazoezi wiki nzima vizuri sana, kwa hivyo yuko tayari kwenda.

Mwandishi :Atakuwepo [Kwenye kikosi cha Fulham?]

Arteta: Yuko tayari kwenda!

Mwandishi :[Tangu mwanzo?]

Arteta: Hebu tuone!”
 
Arteta on defensive options -

"It’s true that we have a lot in that department and it’s something that we haven’t had in previous years. We have used different players in the backline for certain moments."

"It’s really important, especially for the players and everybody needs to have clarity in their roles, where there are playing and obviously their families as well. We need clarity in the amount of numbers that we’re going to have, who can do what, but until the window is shut, it is still a bit strange to be competing already in different competitions and the window is still open, but we have to deal with that, it’s happened for a long time and we are used to it."

(Arsenal)
 
At the moment, as things stand

1. Naiona invisible

2. Uefa au Ligi uhakika 100% moja tunapita nalo

3. NDOO mbili
(Ligi, UEFA, FA, Carabao)

#COYG
Mwaka huu na confidence Sana na timu ,naona tumekuwa physically kuliko hata msimu uliopita
 
Mikel Arteta juu ya Arsenal kuonekana kuwa na nguvu kimwili, baada ya kuonekana kuwa laini siku za nyuma:


"Hilo ni jambo ambalo unapaswa kuthibitisha kila siku, kwa sababu wakati haupo, kwenye ligi hii utaumbuliwa."

[Arsenal]
 
Mwaka huu na confidence Sana na timu ,naona tumekuwa physically kuliko hata msimu uliopita
Nilikua nairudia game na crystal palace, ile defense no wonder Flano mwenyewe alitukubali

Defence yetu inaweza ikatugea draw na timu yoyote in case game imekua ngumu

Kuhusu uefa nashukuru pia umeliona, mtata ni city tu
Bahati mbaya kwa England washindani ni arsenal na city hakuna mwingine
Maana ata nyumbu angekua vizuri nae angefika mbali

UEFA, Ligi,
Waamue wenye tuchukue lipi hapo
 
Gabriel Jesus isn't the most clinical striker on the planet, but his dribbling, hold up, tenacity and intelligence opens space for Saka, Martinelli and Ødegaard to exploit,

Ultimately makes #Arsenal a better team.


Great to have him back. #AFC
 
Mikel Arteta kuhusu kama tutaona kiungo cha Partey Rice Odegaard:

"Nadhani tayari tuliweka alama - tulicheza hivyo dhidi ya Man City. Oh kwenye ligi? Vipi kuhusu Ligi ya Mabingwa na Kombe la Carabao. Nyumbani au ugenini?

Kwa hakika, nadhani itafanyika(mtakiona)."

[Arsenal]
 
Mwandishi : Vipi Kuhusu Sheria mpya ya kutotoka eneo la technical

Arteta

“Nitajaribu niwezavyo. Utaona jinsi nitakavyofanya vizuri.”


Mikel Arteta anasema ana mtu kwenye viti ambaye atampigia kelele kwa wakati hisia zake zitakapomshinda na anaanza kuchukua hatua kinyume na sheria mpya za eneo la kiufundi.
 
Hatari sana
 
️ |
Eddie Nketiah closing in on first England call-up.
󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿

Former Newcastle manager Alan Pardew has confirmed that him and England manager Gareth Southgate have had conversations regarding the young English striker.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…