Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenyau poleni kwa kubana phumbu muda mrefu, Palace wamenyimwa penalt ya wazi baada ya Rice kumvuta na kumsukuma kwa makusudi Eze ndani ya box.
Jini katoka ila mganga yu hoi taabani,
Yellow card ya pili aliyopewa Tomiyasu ilikua ni nyepesi sana, sidhani kama kuna foul yoyote aliyoifanya pale zaidi ya kugusa tu mgongo.
 
Kuna mtu atakuja kusifia tulivycheza.

Atamsifia Kai pia

Vumilieni kidogo tujifunze toka kwake
Kai amecheza vzuri sana...ulitaka afunge mkuu๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…...hzi kadi za hyu refa sijazielewa kabisa....au kuna agenda ya Siri dhidi yetu....kadi ya kwanza alitakiwa amlambe Kai maana ndo alichukua mpira akakaa nao akampa Tomiyasu....mjapani wa watu anataka kurusha anakula kadi....ya pili ni too soft...hii mirefa ya Uingereza Ina ufala Fulani hivi
 
Mkuu nyie pigeni kelele tu๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…....nimeangalia mpira nikaona palace walikuwa hatari zaidi tulipokuwa tumetimia ila tulivyopungua na wao wakapoa kama maji mtungini๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…...point 3 kibindoni....on to the next 1
 
Hii kadi ya kwanza ya Tommy ni ujanja, maybe angepesa Kai sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ