Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Uko sahihi kbs mkuu ila tatzo la Nketiah ni mtumizi makubwa ya nguvu kuliko akili
 
Uko sahihi kbs mkuu ila tatzo la Nketiah ni mtumizi makubwa ya nguvu kuliko akili
Hapana kaka he is still learning mm nketiah kwakwel naona anazdi kua bora na ninachokiona ameamua kubadilika na kujifunza zaidi
 
Nketiah sio mbaya sana,kama ni ST basi inabidi apatikana profile high class hasa.ila dogo kakosa kamba mbili clear kabisa ila ndo mchezo
 
Sub ni moja tu ya kubadili game ndan ya dakika 10 za mwanzo

Kai out
Troussard In.

Uko pengine paachwe ivyo ivyo kwanza.
 
Aliyeleta hiki kifaa arsenal Tunaomba alete wa pili tumalize kazi ...Gabriel is good ila ana silly mistakes tukimpata mtu mwenye kariba ya SALIBA sjui nseme nn
 
Sub ni moja tu ya kubadili game ndan ya dakika 10 za mwanzo

Kai out
Troussard In.

Uko pengine paachwe ivyo ivyo kwanza.
Hii game inamuhitaji sana zinny kuliko trosard kwa sasa, kai ametulia sana hafanyi mistakes anayefanya kidgo kauwalakin ni tomi...akili ya pasi mpenyezo ya zinny inahitajika kuwapa kai na nketiah goals
 
aiseeee kumbe hii ni fezi ya 4 halafu Arteta kawadanganya kua fezi ya 5 ndio makombe?
Kwa hio msimu huu mkibahatika kuingia top 4 mtakua mmeover archieve tena sio?
Niwasanue tu msimu huu mnatoka patupu kama msimu ulioisha halafu msimu unaofata ndio mnapoteana mazima.
Msimu ujao Arteta akiulizwa kuhusu makombe atajitetea tena kwa kusema hii ni phase ya 4.5 phase ya 5 ndio ya makombe
 
Andaeni points 6 zetu
 
Arsenal inacheza mpira wa ushindi walah, ila wameshindwaje kufunga magoli ya Movement hadi kupambania mkwaju huu wa penalty.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…