Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,539
- 3,860
Acha matusi halafu mpira hujuiHujui unaloandika sounds like shit
Maelezo ya Arteta nimeyaelewa na kwa ufupi amekubaliana na fans wake hayo mambo ya Diamond formation sisi hatuyahitaji in short summary yake ni kuwa kwa footballMikel Arteta akizungunzia mechi ya Forest
"Kwa hakika, itakuwa vigumu sana kutawala michezo kwa dakika 100. kwa sababu hawakutengeneza chochote isipokuwa kwa hatua hiyo mchezo(wanapopata goli) unabadilika."
Arteta alisisitiza zaidi hitaji la timu yake kuhakikisha wanalinda mchezo ipasavyo
“Kasi inabadilika mara baada ya goli , huo sio wakati wa kuibadilisha, huwezi kuibadilisha, sasa unatakiwa kuwa mzuri sana katika kukabiliana na hali hiyo, kukimbia sana kwenda chini na kupata pointi, timu imefanya vizuri sana.
lakini itabidi tuwe watu wasio na huruma zaidi na kujikosoa zaidi ili kuwa wakatili zaidi na kuua mchezo."
Alihitimisha kwa kufahamu majukumu yake kama meneja, akisema:
"Hiyo ni kazi yangu - kuleta matatizo makubwa kwa mpinzani kuliko yale wanayotutengenezea na kucheza njia bora zaidi ya kupata haki ya kushinda mchezo na kuwa na uwezekano mkubwa zaidi wa kushinda mchezo."
"Ili kufanya hivyo tunapaswa kuchagua wachezaji wanaofaa kushinda mchezo kila wiki - sio tu kuanza lakini pia kumaliza.
Wachezaji walioingia katika sehemu ya mwisho ya mchezo walitusaidia sana pia kushinda mchezo huo.
Msimu huu tegemea kila mechi na mfumo wake,Maelezo ya Arteta nimeyaelewa na kwa ufupi amekubaliana na fans wake hayo mambo ya Diamond formation sisi hatuyahitaji in short summary yake ni kuwa kwa football️ ya jana unatakiwa umalize mchezo ASAP in 45 minutes na sio goal linarudi game inabadilika na kwa jicho la 3 Arsenal akiwa away at least pressure ya kuhandle mchezo inakuwa chini tofauti akiwa Emirates hata kama tunashindaga games zetu home ila huwa ni kwa pressure sana refer last season games za Bournemouth Fulham (top 6 sijawaweka)draw ya Southampton Brentford Newcastle players na coach wanajipaga sana pressure
Acha matusi halafu mpira hujui
Una uhakika kiasi gani na unachoandika?Na hapo ndo mnapokosea ndugu zetu😅😅....mwaka jana Fulham walikuja Emirates tukawafunga goli 2-1...ila ilikuwa mechi tulomaliza kibishi sana maana ilikuwa tia maji tia maji....tulipoenda kwao nn kiliwakuta....3 bila tukawakanyaga na assist 3 za strossard...uki project matokeo ya timu kwa kuangalia matokeo ya siku flani unakosea sana..project matokeo kwa kuangalia consistency ya timu kwa muda Fulani...Newcastle walikuja Emirates wakapata draw walionekana wagumu kwlikwli...mechi ya pili kwao nn kiliwakuta....Aston villa kaangalie mechi mbili za nyuma....Brighton tuligawana mbao mwaka jana....bdo nasimama na Arteta....be as unpredictable as you can this year....that's the only way you can survive....baada ya Kila mechi huwa kuna analysis inafanyika kuona wapi tulipatia na wapi tulikosea....hvyo ndugu zangu arsenal tuwe watulivu...tutakuwa na msimu mzuri....kikubwa majeruhi yasiwe mengi na ya muda mrefu....we will be a force to reckon with
Hatukuwa na wachezaji wa aina hii....Arteta amekuwa anafanya addition ya wachezaji wale anaooona watamfaa kwny kile anachokitaka...kwnn alimzuia Xhaka kuondoka alipokuja kpndi kile ndo ametua pale Emirates na jamaa kazinguana na mashabiki....ni kwa sababu aliona kwa namna anavyocheza angemfaa sana na mfumo wake....msimu WA mwaka jana tulianza vzuri sana lakini kadri tulivyokuwa tunaenda ulikuwa unaona kabisa kuna kpndi tuna struggle kwa sababu watu walianza kutusoma...anachokifanya Sasa hv naunga mkono kabisa....mechi kama ile jana baada ya lile goli na jinsi Xhaka alivyokuwa anacheza nna uhakika tungeweza kukaribisha hatari zaidi....ku prove hii kuna mechi msimu huu tutakuwa under pressure sana na utajua kwnn nasema haya....unahutaji kuwa na watu ambao timu ikiwa kwny pressure wanaweza ku deffuse ile presha ndo maana ukaona jana baada ya lile goli hakuna cha msingi tena walichofanya wale jamaa...mambo ni mengi ku type mda mrefu ndo ishu....be unpredictable as you can...with 4-3-3 kwa jana tungeweza ku struggle sana mbele ya wale wahuni maana walikuja wakijua tutaenda na hyo formation lakini mambo yakawa tofauti....with Jesus na Zinchenko na hopefully timber akiwa fully fit bila kumsahau ball machine Emile Smith Rowe sina shaka watu watatema bungo msimu huuUna uhakika kiasi gani na unachoandika?
Analysis hua inafanywa upo sahihi. Misinu miwili nyuma analysis iliona tunahitaji mid what followed?
Game za msimu uliopita zilizotunyima ubingwa unadhani analysis ilikua haifanywi?
Unafikiri kwanini kocha hutafuta strong formation kulingana na watu alionao? Unakumbuja tushacheza back 3 chini ya Arteta? Na akasema mpango ni 4 3 3?
Na hii hapa ni general rule. You do not change your winning team
Halafu Kama hujui hii mifumo 4-3-3,3-4-3,n.k usiwe mlalamishiMaelezo ya Arteta nimeyaelewa na kwa ufupi amekubaliana na fans wake hayo mambo ya Diamond formation sisi hatuyahitaji in short summary yake ni kuwa kwa football️ ya jana unatakiwa umalize mchezo ASAP in 45 minutes na sio goal linarudi game inabadilika na kwa jicho la 3 Arsenal akiwa away at least pressure ya kuhandle mchezo inakuwa chini tofauti akiwa Emirates hata kama tunashindaga games zetu home ila huwa ni kwa pressure sana refer last season games za Bournemouth Fulham (top 6 sijawaweka)draw ya Southampton Brentford Newcastle players na coach wanajipaga sana pressure
MKuu kuna watu ukiona umemwambia kitu halafu akaona njia pekee ni kuandika Kiingereza chake cha kuungauunga kilichotawaliwa na lugha za kudhalilisha unaachana naye tu maana inaonesha kuwa si mstaarabu na hajui nn maana ya ustaarabu....jitu kama hlo linaenda enda tu Ili mradiAcha matusi halafu mpira hujui
MKuu kuna watu ukiona umemwambia kitu halafu akaona njia pekee ni kuandika Kiingereza chake cha kuungauunga kilichotawaliwa na lugha za kudhalilisha unaachana naye tu maana inaonesha kuwa si mstaarabu na hajui nn maana ya ustaarabu....jitu kama hlo linaenda enda tu Ili mradi
Kuweni wapole , hakuna anayejifanya anajua ,Tatizo lako unataka kujifanya too much know, Ukitaka kila mtu aamini mawazo yako. It is not possible, I freely speak my mind
Kwa maneno yake haya najua jana hakuridhika na Results moyoni licha tumepata 3 points jana wale watoto walitakiwa wafe 6 kwa 0Msimu huu tegemea kila mechi na mfumo wake,
Vs City alipewa dozi yake , manjesta akija Emirates atapewa dozi yake
Alishaweka wazi msimu huu hataki kutabirika Tena, EPL ni Ligi wanakusoma haraka Sana na kukudhibiti ,
Forest mbinu Yao ni kukaa nyuma ,vizia kaunta
Arteta nampendea ni muwazi ,alichozungunzia Cha kuboresha hasa ,kumaliza mechi mapemaKwa maneno yake haya najua jana hakuridhika na Results moyoni licha tumepata 3 points jana wale watoto walitakiwa wafe 6 kwa 0
Kuweni wapole , hakuna anayejifanya anajua ,
Hoja zikiwekwa pangua hoja kwa hoja ,sio kukimbilia fulan anajifanya anajua na bla blaa nyingine
Ninachokiona humu zimejaa kebehi , malalamiko ,
Binafsi napenda niende na mtu toe to toe kwenye hoja ,
Mfano unamlalamikia kwanini Nketiah kaanza ,halafu hufatilii umetumika mfumo gani ,na kwanini kaanza
Hadi kocha Katoa maelezo jins Nketiah alivyofanya kwenye mazoezi akamwambia Usiponipanga Basi wewe ni kipofu
Cha ajabu Kuna watu humu wanalalamika na sababu wanawapa faida haters Basi wanaona Raha
Game ya Jana unaanzaje kulalamika ,eti Arteta asitumie kabisa huo mfumo
Ukiulizwa atumie upi na kwanini ,Yanaanza maneno oho Huyu mjuaji, huyu hivi na vile ,
Kwasasa ibaki hivi wenye Negativity na Wanaoona Arsenal ikishinda walalamike ikifungwa walalamike waendelee na Tunaongalia hasa Positive tukiamini Negative hazikosekani tuendelee ,kila mtu atimize majukumu yake
Ndio maisha yalivyo tukubaliane kutokukubaliana na maisha yaendeleeKila mtu kwa uelewa wake ana mtazamo wake. Siwezi kukulazimisha ufuate mtazamo wangu , hivyo hivyo na wewe. Kuna wakati you get my “like” ukiandika kitu ninachokikubali; not all the times,
Nn maana ya kuabudu...si ndo tulipoanza hapa....au unataka tuanze kubadilishana maneno....unaona ww ndo unaweza kuwa freely to speak ur mind...tunachangia hmu kwa kuheshimu utu wa watu....unapomwambia binadamu mwenzio anamuabudia Fulani unamaanisha nn....ndo maana nikasema ustaarabu umekupitia kushoto...huchagui cha kuandika unaendaenda tu kama mfugoTatizo lako unataka kujifanya too much know, Ukitaka kila mtu aamini mawazo yako. It is not possible, I freely speak my mind. Ukiandika kistaarabu nitakujibu kistaarabu, ukiandika in a demeaning way tegemea majibu makali
DahHatukuwa na wachezaji wa aina hii....Arteta amekuwa anafanya addition ya wachezaji wale anaooona watamfaa kwny kile anachokitaka...kwnn alimzuia Xhaka kuondoka alipokuja kpndi kile ndo ametua pale Emirates na jamaa kazinguana na mashabiki....ni kwa sababu aliona kwa namna anavyocheza angemfaa sana na mfumo wake....msimu WA mwaka jana tulianza vzuri sana lakini kadri tulivyokuwa tunaenda ulikuwa unaona kabisa kuna kpndi tuna struggle kwa sababu watu walianza kutusoma...anachokifanya Sasa hv naunga mkono kabisa....mechi kama ile jana baada ya lile goli na jinsi Xhaka alivyokuwa anacheza nna uhakika tungeweza kukaribisha hatari zaidi....ku prove hii kuna mechi msimu huu tutakuwa under pressure sana na utajua kwnn nasema haya....unahutaji kuwa na watu ambao timu ikiwa kwny pressure wanaweza ku deffuse ile presha ndo maana ukaona jana baada ya lile goli hakuna cha msingi tena walichofanya wale jamaa...mambo ni mengi ku type mda mrefu ndo ishu....be unpredictable as you can...with 4-3-3 kwa jana tungeweza ku struggle sana mbele ya wale wahuni maana walikuja wakijua tutaenda na hyo formation lakini mambo yakawa tofauti....with Jesus na Zinchenko na hopefully timber akiwa fully fit bila kumsahau ball machine Emile Smith Rowe sina shaka watu watatema bungo msimu huu
Liverpool Hawa ndo wa kwanza ...Man City...Brighton kama watakuwa kama walivyo mwaka jana....Newcastle bdo nawaangalia kwanza...Man UTD nawaangalia kuona wamebadilika au vp...Spurs wakiwa kwao kama wamebadilika ....ila hao watatu wa juu...hapo ndo utaona nilichokuwa nakisemaDah
Hebu nitajie games unazohisi tutakua under pressure