Flano ni wakipekee asee, akiamua kusimamia ujinga ,huwa nacheka SanaFlano ni nyumbu aliekomaa akiamua kusimamia ujinga huwa haambiliki
Mount anamkataa Omama anakuambia ni bonge la kipa
Zin akiwepo uwanjani anafanya kazi kuelezea beautiful football iwe rahisi| Zinchenko: I would love to be ready for the Community Shield... The manager will decide.
#ARSMCI #CommunityShield #afc
Mount namuona Kama alishamaliza mpira miaka miwili iliyopita , sitarajii kuona akicheza kwa kiwango zaidi ya pale ,like Kama anapita njia zile za waingereza wakuridhikaFlano ni nyumbu aliekomaa akiamua kusimamia ujinga huwa haambiliki
Mount anamkataa Omama anakuambia ni bonge la kipa
Kwasasa Nyumbuz kuonekana ni ngumu kwa currently form ya timu yaoFlano ni wakipekee asee, akiamua kusimamia ujinga ,huwa nacheka Sana
Moja ya shabiki wa nyumbu nataman kuonana nae,
Anakwambia mount ni Freemason
Kweli kabisa na Liver atakuwa bingwa....mwaka jana majeruhi tu yaliwa cost
Asicheze tunamuhitaji Sana kwenye LigiZin akiwepo uwanjani anafanya kazi kuelezea beautiful football iwe rahisi
Hyu leo asicheze kabisa....mechi za Ligi ndo acheze...tuwe tunamaliza mechi na possession ya 90%Zin akiwepo uwanjani anafanya kazi kuelezea beautiful football iwe rahisi
Kuna targets zingine...kocha ndo anayejua zaidi... mchezaji anaweza kuwa mzuri ila mfumo wa timu ukamkataa...hvyo hamna sababu ya kuhuzunika sanaNimesikitika sana kuona Chelsea wanamchukua Olise kwa £26m. Hivi tulishindwa nini?
Wametuma ofa tu mkuu, halafu yule dogo mwanetu kabisa ana Release ya €35mNimesikitika sana kuona Chelsea wanamchukua Olise kwa £26m. Hivi tulishindwa nini?
Kwa maana nyingine hapo Arteta katangaza hizo ndio points anazoenda kuzikusanya msimu huuArteta -
"We know that to win the Premier League, you know you are probably going to need about 96 points or 100 points."
(Arsenal)
Ndio maana yake ,last season alisema anataka tufunge magoli 100+Kwa maana nyingine hapo Arteta katangaza hizo ndio points anazoenda kuzikusanya msimu huu
Kenge na nyumbuz hawawezi kuelewa hii