arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Mzoee kucheza Alhamisi mkuu kama Lavia kuwasajili anawashinda....naona unalalamika kule jukwaa Lenu kususasua kumchukua Tchouameni 😅😅😅Usitafute sympathy mkuu.
Leo mtajua kuwa Arsenal ni mbovu na ni ile ile ya kina Chamack.
Pamoja mkuu ila Penati hatufiki Hawa leo ama zao ama zetu ,mech inaisha 90minsNitakwepo na ninyi bega kwa bega mpaka dk za penalties
Usitafute excuse mapema.Mbona wewe ulishinda community shield last season,ukajitangazia ubingwa ,nakumbuka nilikuchana japo mlinitukana nilisema timu imejaa wazee ,
Mlishinda CS , kwenye Ligi na UCL mkaenda kutia aibu ,
Ila leo unataka kujifanya mganga wakienyeji ,kuwa kupitia hii mech Kama tutapoteza ,
Hakuna mtu wakumkimbia Jf humu ,Mimi nimeishi na wahuni ,nimeishi misheni kwa mapadri pia ,huwa nawaacha mtoe nyongo zenu na matusi ,Akifungwa hua anakawaida ya kukimbilia mafichoni na kuwaacha kondoo wake wanazurura hovyo tu kwenye mashamba ya watu.
Masingeli leo ukigongwa na City tunakuomba usiitelekeze mifugo yako.
Uganga wa kienyeji Umeanza lini?Usitafute excuse mapema.
leo hutoki.
Hii haifanyi ukweli ubadilike kuwa UEFA hamtoboi 1/4 na CS leo mnachapwa na PL hamtoboi top 5.Mzoee kucheza Alhamisi mkuu kama Lavia kuwasajili anawashinda....naona unalalamika kule jukwaa Lenu kususasua kumchukua Tchouameni 😅😅😅
10+ consecutive seasonsNaona wapinzani wanapiga domo mala ya mwishomwisho, mana yake wanajua hili chama la makombe linaenda kuwaziba mdomo kwa miaka 10+
Hamtoke leo.Uganga wa kienyeji Umeanza lini?
Mbona ulishindwa kuitabilia livakuku kumaliza nje ya top 4
Sisi na nyny nani ana kikosi cha kuungauunga....umeambiwa taja mbadala wa wachezaji wako Kila eneo umebaki unapiga mark time tu hmu....msipopata watu 4 wa maana...msahau kumaliza hata hyo nafasi ya 6 Msimu huuHii haifanyi ukweli ubadilike kuwa UEFA hamtoboi 1/4 na CS leo mnachapwa na PL hamtoboi top 5.
Sababu unakikosi cha kuunga unga
Best goal keeper EplDavid Raya anakaribia Arsenal
Now round of talks will take place today for David Raya deal between Arsenal and Brentford. Negotiations are advancing to key, final stages️ #AFC
Matt Turner will join Nottingham Forest on permanent deal.
Kuna kitu ulizungumza juzi kuhusu RiceHahaaa naona wanga wameanza kabla ya mech kuanza
Keep in mind tukifungwa tupo,tukishinda tupo.hatuend popote.
Karibuni baadae msisahau kubeba popcon na sharubati
Eti KICHWA CHA BATA😁Hamtoke leo.
Beki Gabriel(KICHWA CHA BATA) hawezi kuzuia zile force king za Citizen.
Kiungo Partey mla urojo( miguu ya biskuti)
Ndio maana watu wanapandwa sukari ,hawakutegemea haya yafanyikeBest goal keeper Epl
Nyumbuz wanajisikiaje wakiona hii habari kwa Omama wao?
Naaam ni mech bora ya pre seasonTrue ,tunaenda kuona full squad yetu ambayo itenda kucheza EPL UCL n.k
Mbinu ,n.k
Nipandwe na sukari kwa timu yenye wachezaji kama LOKONGA, GABRIEL(KICHWA CHA BATA), PARTEY(MIGUU YA BISKUTI)Ndio maana watu wanapandwa sukari ,hawakutegemea haya yafanyike
Walishazoea kusema Arsenal wabahili
Sasa wanashangaa wao kumsajili Lavia kwa 45-50 hawawezi,
Arsenal inasajili GK no.2 kwa £40m ndio maana Kama huyo jamaa anapandwa na kisukari
Kwao kumepoa mkuu usimlaumu.hatujabeba epl for 20years ila jukwaa lipo juuu.ndo maana mkuu Flano anaombea tusibebe ubingwa maana mitaa na majukwaa yatapata shida.Jamaa ana hasira Liverpool haisajili ,analazimisha fujo
Sisi matani yetu hasa ni dhidi ya manjesta
Hata social media , Arsenal vs manjesta ndio wanaongoza kwa banter
Naona unaongea pumba ,ngoja nikupuuze nikuchukulie Kama mgonjwa wa akiliNipandwe na sukari kwa timu yenye wachezaji kama LOKONGA, GABRIEL(KICHWA CHA BATA), PARTEY(MIGUU YA BISKUTI)
Wampe muda mbona huyu freemason ni scholes mpyaMason Mount jana niliona alicheza nafasi ya Eriksen nadhani...bdo hajazoea timu na uzito wa jezi nao unamkwamisha kdgo ila naamini atakuwa na msimu mzuri kuliko Antony masebene....mtoto wa Kiingereza yule ana roho ya paka