Kama tumepgwa mbona mashabiki wa Arsenal mnaumia nae sasa? Mpk kipindi kile Arsenal vs Chelsea, mashabiki wa Arse88 wakawa wanamulika na vitaa usoni.Sio nahisi mkuu, pale MMEPIGWA
one season wonder, mbaya zaidi farmer ligi ya huko mabondeni unatoa 100, una akili timamu?
Sasa Kati ya mudryk na caicedo Nani anastahili price ya 100?
Mbona Hadi Leo bado mna-bargain?
Mydryk ni updated version ya Anthony masebene, one style type of player
sEma nini? msameheni tu, alitaka kwenda kwnye timu ya mafanikio. Mkiendelea kumchukia aisaidii.Mudrky Hana tofauti kubwa na Anthony masebene,labda mbio tu ndio anachomzidi
Msimu huu asipovuka goli 5 ,mwakan tunamchukua kwa £20m tuje tumtengeneze
Sijawahi kuona mashabiki wa Arsenal wanaumia sababu ya mudirikiKama tumepgwa mbona mashabiki wa Arsenal mnaumia nae sasa? Mpk kipindi kile Arsenal vs Chelsea, mashabiki wa Arse88 wakawa wanamulika na vitaa usoni.
Ni kitu gani kifanya useme tumepgwa wakat chelsea yote ilikua hoi.
Huwa nakushangaa unalazimishaga ionekane tunaumiasEma nini? msameheni tu, alitaka kwenda kwnye timu ya mafanikio. Mkiendelea kumchukia aisaidii.
Nketiah aende tu, huko labda patamfaa zaidi.Crystal Palace are plotting a £34m move for Eddie Nketiah.
Nketiah is growing increasingly frustrated with his bench role behind Gabriel Jesus.
Arteta may move to promote Balogun to the role of backup striker - should Nketiah leave the club.
[Football London]
Waondoke wte yy na msela wake Balogun kiasi tutakachopata tununue mtu mwingine....watu wenyewe Wana uwezo average alaf Kila siku wanataka wawe ndo ma starter...haiwezekaniCrystal Palace are plotting a £34m move for Eddie Nketiah.
Nketiah is growing increasingly frustrated with his bench role behind Gabriel Jesus.
Arteta may move to promote Balogun to the role of backup striker - should Nketiah leave the club.
[Football London]
Had January watakuwa wameondoka wote ,dirisha hili Kuna dalili akaondoka mmojaWaondoke wte yy na msela wake Balogun kiasi tutakachopata tununue mtu mwingine....watu wenyewe Wana uwezo average alaf Kila siku wanataka wawe ndo ma starter...haiwezekani
@mkohoti ameniangusha SanaSijawahi kuona mashabiki wa Arsenal wanaumia sababu ya mudiriki
Mashabiki wa Arsenal wapo happy na Trossard mkemia
Yaan watu waumie kwa mchezaji ambaye anahitaji nafasi 10 afunge goli 1?
View attachment 2701241
Huyo shabiki wa ukengeni huwa mkurupukaji@mkohoti ameniangusha Sana
Yan kabisa atusumbue akili huyo mudryk
Tulimtaka Martinez bucha wa unyumbuni aje Kama backup kwa saliba na gab
Nyumbu wakatuzidi kete, tukaja kumsajiri zinchenko instantly
Je Martinez anatunyima usingizi?
Case ya mudryk ndio Kama hiyo juu, yani tunaekuja kupata ni hatari zaidi ya hiyo backup tonayoikosa
Sasa kwa arsenal hii mudryk anamuweka Nani bench? Saka? Martinel?
Sasa mchezaji wa kutokea sub unanunua 100 wewe una akili timamu kweli?
Mbona unamsahau Nketiah?Tavares,Lokonga,Soares hao wote they must leaveArteta aliwahi kusema anataka wachezaji 22-25 tu
Timu inarejea England , tutarajie ongoings za kutosha
Kwa Sasa timu ina jumla ya wachezaji 30 -33 ,watano had sita wanatakiwa kula panga
Pepe
Holding
Balogun
Ongezea wengine unaotamani kuona wakila panga
View attachment 2701266
Hao wote ukitoa Nketiah uhakika wanaondokaMbona unamsahau Nketiah?Tavares,Lokonga,Soares hao wote they must leave
CedricArteta aliwahi kusema anataka wachezaji 22-25 tu
Timu inarejea England , tutarajie ongoings za kutosha
Kwa Sasa timu ina jumla ya wachezaji 30 -33 ,watano had sita wanatakiwa kula panga
Pepe
Holding
Balogun
Ongezea wengine unaotamani kuona wakila panga
View attachment 2701266
Fabio hawawez mtoa mkopo , bench la ufundi linaamin alikosa game time na sababu ya injury ila ni potential nzuri ,Cedric
Nketiah
Fabio, marqunhos waende mkopo