arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Mwsho wa siku watafika bei tu...kama wanamtaka kweli watoboke tu...kwni hasara ngapi huko nyuma wamekula mpk hapa wajivutevute sanaBrighton wamewakazia Chelsea wanataka £100m , Hawa jamaa wagumu Sana kufanya nao biashara
No real breakthrough or development on Moises Caicedo for Chelsea; to my understanding, Chelsea have had THREE bids turned down by Brighton worth £60, £65, and then £70 million.
Chelsea are knocking, but Brighton won't open the door.
#CFC
(@David_Ornstein via @FIVEUK)
Hiyo hela ni nyingi sana kwa Caicedo mchezaji aliyeonekana msimu 1 tu huwezi kulipa hiyo helaMwsho wa siku watafika bei tu...kama wanamtaka kweli watoboke tu...kwni hasara ngapi huko nyuma wamekula mpk hapa wajivutevute sana
Waangalie alternative nyngne Sasa...third bid mnakataliwa...kwnn msikae chini mkaongea nao na nyie mseme msimamo wenu wa mwsho kabla ya kupeleka Bid...maana hyo inakuwa biashara kichaa Sasa...timu zinazojifanya kukaza sana wkti mwingine mnawaachia mchezaji wao mnaenda kwngine maana naamini wapo wengine wazuri kuliko CaicedoHiyo hela ni nyingi sana kwa Caicedo mchezaji aliyeonekana msimu 1 tu huwezi kulipa hiyo hela
Hapo ni kutafuta option nyingine ya kiungo maana Brighton hawataki mazungumzo chini ya £100m tofauti na hapo wanataka hilo dili awepo Levi Colwill na hela juuWaangalie alternative nyngne Sasa...third bid mnakataliwa...kwnn msikae chini mkaongea nao na nyie mseme msimamo wenu wa mwsho kabla ya kupeleka Bid...maana hyo inakuwa biashara kichaa Sasa...timu zinazojifanya kukaza sana wkti mwingine mnawaachia mchezaji wao mnaenda kwngine maana naamini wapo wengine wazuri kuliko Caicedo
Kwa Mudryk?Hiyo hela ni nyingi sana kwa Caicedo mchezaji aliyeonekana msimu 1 tu huwezi kulipa hiyo hela
Na UTD nasikia PSG wamepeleka ofa ya kwanza leo kumtaka hyo hojlund...wasipokazana atabebwa hlfu wamrudishe tena Werghost mzee wa mikimbio mizuriChelsea can't seal the Caicedo deal for months
City have yet to seal Gvardiol for months
United still can't seal Højlund for months
But it's Arsenal who get criticised over Rice. Absolutely pathetic
HUu mzimu, unawatesa. Hamtokaa mkamsahau😂😂😂Kwa Mudryk?
Ana impact gan kwenye timu yenu?HUu mzimu, unawatesa. Hamtokaa mkamsahau
Kama ni hivyo mbona mnateseka? Demu akikutosa una move on, sio kuanza kuponda sijui demu gani hana makalio kwanza mbaya, unaanza kutamba una demu mkali kuliko yeye. ya nn yote hayo? kama sio maumivu y kutoswaAna impact gan kwenye timu yenu?
Tulimkosa mudryk tunae trossad, ukiambiwa Kati ya hao wawili chagua mmoja unamchagua nani?
Achana na stats zao
Tulimtakq mudryk aje kuwa Kama backup ya saka/martinel
Tumempata trossad ambae ni first eleven material
Haya tuambie tusimsahau kwa lipi alilo nalo?
Sio nahisi mkuu, pale MMEPIGWAKama ni hivyo mbona mnateseka? Demu akikutosa una move on, sio kuanza kuponda sijui demu gani hana makalio kwanza mbaya, unaanza kutamba una demu mkali kuliko yeye. ya nn yote hayo? kama sio maumivu y kutoswa
Ni kuulize mudryk unahis chelsea wamepgwa?
Mudrky Hana tofauti kubwa na Anthony masebene,labda mbio tu ndio anachomzidiKama ni hivyo mbona mnateseka? Demu akikutosa una move on, sio kuanza kuponda sijui demu gani hana makalio kwanza mbaya, unaanza kutamba una demu mkali kuliko yeye. ya nn yote hayo? kama sio maumivu y kutoswa
Ni kuulize mudryk unahis chelsea wamepgwa?
Usibadilishe narrative.HUu mzimu, unawatesa. Hamtokaa mkamsahau😂😂😂
Angekuwa ana perform ingekuwa anatutesaHUu mzimu, unawatesa. Hamtokaa mkamsahau
Ana goli nyingi kuliko mudirikiWalahi Havertz tumepigwa
Eti tunamkumbukaAna impact gan kwenye timu yenu?
Tulimkosa mudryk tunae trossad, ukiambiwa Kati ya hao wawili chagua mmoja unamchagua nani?
Achana na stats zao
Tulimtakq mudryk aje kuwa Kama backup ya saka/martinel
Tumempata trossad ambae ni first eleven material
Haya tuambie tusimsahau kwa lipi alilo nalo?