Hayo ni maneno yako tu ya kujifurahisha, haukatwazi kuongea.Huyo Onana siyo kipa. Ananikumbusha utotoni mkicheza boli la mtaani mtu akikosa number ya ndani anawekwa golini. Jamaa nikimuona muda mwingi anatoka golini acheze ndani kama tulivyokuwa tunafanya sisi utotoni. Sasa jamaa Kwa sababu hajakubali kuacha utoto, tumefurahia sana ujio wake kwenu Ili walimwengu aka timu za premier league zimfunze na zimkuze
Hata bure wasimchukue....atakuja kuharibu Hali ya hewa huyu...hafai hata bureNimepewa taarifa huko PSG wanataka hela na Arsenal bado wapo sokoni, itoshe kusema karibu Emirates fundi wa Mpira Mbappé..View attachment 2695900
Aende saudia tuHata bure wasimchukue....atakuja kuharibu Hali ya hewa huyu...hafai hata bure
Tukubaliane kabisa kwanza, leo mkifungwa hamna kujipiga ban?Aliyekwambia ni Friend mech Nani?
Leteni timu iliyokamilika tupimane ubavu kenge nyie
3+7 Hag on Manchester United’s “friendly” against Arsenal
“We don’t play friendly games.”
Huyu Leo lazima apasuke ,na viongoz wa Inter lazima wazime simuHayo ni maneno yako tu ya kujifurahisha, haukatwazi kuongea.
Mwamba huyo hapa leo na Arsenyau asipotoa goal assist zaidi ya 3 niulizwe mimi. View attachment 2695906
Na wewe ukifungwa uwepo hapa , mkitufunga ni sawa na kunguru kumnyea binadamu anajifuta safari inaendeleaTukubaliane kabisa kwanza, leo mkifungwa hamna kujipiga ban?
Muhind kawapa odd ngapi leoHayo ni maneno yako tu ya kujifurahisha, haukatwazi kuongea.
Mwamba huyo hapa leo na Arsenyau asipotoa goal assist zaidi ya 3 niulizwe mimi. View attachment 2695906
Huyu Leo lazima apasuke ,na viongoz wa Inter lazima wazime simu
Nakwambia leo viongoz wa Inter watawazimia simuHuyo sio RasMadale lakini, huyu mwamba unaambiwa kwa wakati mmoja anaweza kucheza kama kipa, beki, kiungo, winga na straiker.
Ameshamuahidi 7Hag msimu ukiisha kama hatafunga goli 8 na assists 15 msimu mzima utakaofata ampige bench. View attachment 2695915
Tunachangamsha tu ,aiseeeee Mc Masingeli una maneno ya kuburudisha sana, kuna kipindi hua najiuliza usikute Mc hamis77 kumbe ni Haji Manara.
Oya Arsenal tuna pesa Hadi aibu ,Halafu unakuta katimu kama kaaseno et nakenyewe kanasogeza pua kanataka kumsajili
Mbappe alishasema yeye sio yatima hivyo msitegemee jamaa kuja kuishi kwenye hio orphanage yenu. View attachment 2695917
Halafu unakuta katimu kama kaaseno et nakenyewe kanasogeza pua kanataka kumsajiliNimepewa taarifa huko PSG wanataka hela na Arsenal bado wapo sokoni, itoshe kusema karibu Emirates fundi wa Mpira Mbappé..View attachment 2695900
Mna pesa hadi aibu halafu wewe mwenyewe unakiri juu ya haya maneno.Oya Arsenal tuna pesa Hadi aibu ,
Bajet ya mchezaji mmoja kwetu imekuwa ya timu nzima ...kwenu
January tulitaka kusplash €100m mudrky , €80m caicedo , hii inaonesha hatuna mbambamba Kama nyie
Mnajiita Timu tajiri mnaenda kuokota wachezaji Burney
Mbappe situation:
Saudi PIF clubs want to sign the player. They can afford to get the deal done, with huge package for the player. Arsenal can afford player fee, but wages will be the main issue. The player likes Arsenal and Arteta project but Real Madrid likely destination.
Lequipe-Tier 1
Tulikuwa tunamlipa Ozil £350k per week anakaa bench , Auba £350k per week anakaa bench na muda huo hatupo UCL, Manjesta mkifanya hivi tu Adidas wanawakataga pesa na mnawapunguziaga wachezaji mishahara 25%Halafu unakuta katimu kama kaaseno et nakenyewe kanasogeza pua kanataka kumsajili
Mbappe alishasema yeye sio yatima hivyo msitegemee jamaa kuja kuishi kwenye hio orphanage yenu.
Kwanza hela ya kumlipa mshahara wake nyie hamna. View attachment 2695925
Wage ina kiwango ,itabidi tupunguze watu kwanzaMna pesa hadi aibu halafu wewe mwenyewe unakiri juu ya haya maneno.
"Arsenal can afford player fee, but wages will be the main issue"
Wage ina kiwango ,itabidi tupunguze watu kwanza
Hata huyo Madrid anatakiwa auze mmoja wapo Kati ya Fede Valvede , Camavinga , Tchoumeni ili aweze kumlipa mshahara Mbappe
Vitu Kama hivi nitakufundisha mpaka lini Flano masebene
Huyu Leo tunamuwekea Havertz Mzee wa 0 shots on target na ikitokea hajapaisha basi kipa kadaka au inamgonga post Ili kuwadanganya. Kwenye ligi tunamuweka bench afu tunamuweka mbappe Ili tuwaadhibu kisawa sawaHayo ni maneno yako tu ya kujifurahisha, haukatwazi kuongea.
Mwamba huyo hapa leo na Arsenyau asipotoa goal assist zaidi ya 3 niulizwe mimi. View attachment 2695906
Naamini mchezaji yeye kama bidhaa hapati kitu kwenye kuuzwa kwake. Yeye ni mishahara, madili ya matangazo ya soda, njumu, etc. Pesa za mauzo wanakula club na agents wa mchezajioyaaa masingeli hapa nipo serious kidogo hebu nielimishe.
Hivi mchezaji akiuzwa toka club moja kwenda nyingine hua katika hio pesa ya usajili mchezaji nae anapata % yake au yote hua inaenda kwa club?
Mfano huyo Rice hio £105m mtakayo lipa yote hua ni ya Westham au mchezaji nae anapata chake kwenye hio pesa?
Rice hapati hata Mia , hiyo ni ya klabu husika yoteoyaaa masingeli hapa nipo serious kidogo hebu nielimishe.
Hivi mchezaji akiuzwa toka club moja kwenda nyingine hua katika hio pesa ya usajili mchezaji nae anapata % yake au yote hua inaenda kwa club?
Mfano huyo Rice hio £105m mtakayo lipa yote hua ni ya Westham au mchezaji nae anapata chake kwenye hio pesa?