Arsenal (The Gunners) | Special Thread


Mimi nikiku quote we endelea tu na mambo yako , nikifanya hivyo its not for you at all ni kwa ajili ya watu wengine wanaosoma so they can know haya ni matumaini bandia .
Mimi nakushangaa mbona wewe una ni quote mimi silalamiki mzee

Ulisema hutanijibu tena ila still unanijibu , mimi kuku quote sitaacha wewe fanya kuni ignore tu lakini pale napojisikia kuweka mambo sawa nitafanya ivyo.
Nilishakuambia hii ni open forum as long as ni member wa JF sijavunja sheria yoyote then im free to participate upende usipende , kama unataka mawazo yako yasipingwe au yakipingwa unafura na kuanza matusi mimi hilo halinihusu kabisa
 
Mikel Arteta amethibitisha kuwa Leandro Trossard yuko fiti baada ya kupata goli dhidi ya MLS All-Stars.

Amefanya mazoezi leo asubuhi na atapatikana kumenyana na Man Utd kesho.
 
Ku niqoute maana yake unanifatilia ,wewe kaa mbali na mm ,mm sihitaji shoga,

Yeah nafuatilia unachoongea humu thats why naku quote , si mara ya kwanza nakueleza humu lazima utapingwa maana hapa si kwa mkeo au watoto wako ambao hawawezi kupinga hoja zako ukidanganya kama ivi we will rise and go against you bro
Tukikaa kimya tutakua mazombie ya false hope .


Ulikuwa unajua kabisa anfield hamtoki ukawa unasambaza mpaka false hope kwa mtoto , hela ya kununua jezi ulikuwa huna ukapita na upepo wa ushindi kwa liverpool .

Dogo unamlazimisha kushabikia arsenal muache achague timu apendayo
 
Arteta juu ya usajili


Kutakuwa na harakati bado. Kutakuwa na ins & outs nyingi. Bado ni mapema sana. Ni wazi wiki iliyopita tumekuwa kimya kidogo. Ikiwa tunaweza kujaribu na kuboresha timu tutafanya hivyo. hatutaki kuwa dhaifu


[@kayakaynak97]
 
Arteta kuhusu Pepe:


"Kwa sasa anapona jeraha. Ndio maana hayupo. Alikuwa na kwa mkopo na tulitaka kupata zaidi kutokana na kipindi hicho cha mkopo. Itabidi tuone atakaporejea. Nimeongea nae na afanye uamuzi."
 
JUST IN: PSG may eventually compromise on a fee around €100m for Mbappé.



@TheAthleticFC
 
Wewe umenifata inbox kwa ID nyingine unatafuta bwana ,mm nilikwambia sitaki kabisa hata uni quote ,husikii unanifatilia ,mm sitaki laana

Why hutaki kuelewa ,ukiendelea naweka wazi ID yako na namba ya simu na ulipo
 
Wewe umenifata inbox kwa ID nyingine unatafuta bwana ,mm nilikwambia sitaki kabisa hata uni quote ,husikii unanifatilia ,mm sitaki laana

Why hutaki kuelewa ,ukiendelea naweka wazi ID yako na namba ya simu na ulipo

Unaleta vioja humu ushashindwa hoja yaani unaonekana kama chizi. Mambo hayo na mashoga wako its ur privacy mimi hayanihusu

Mimi nakuambia uongo ni jadi yako wewe si mc maneno utanishinda ila fact nakuburuza
Wewe endelea na mashoga mzee huko ndo unapaweza vizuriii huku kwenye mpira kuna watu wameanza kuangalia mpira kabla yako na wanajua you are just an amateur labda unapoweza kwingine ni kusherehesha jukwaa maana panaendana na kazi ya umc unaofanya

“Kwahiyo hata sasa tunahubiri, city anaenda kufa kwake mapema sana akikaza draw” hapo tunahubiri nimecheka kwa sauti unazani mpira ni mahubiri sio
 
Mkuu hmu watu wte wa Arsenal wamekubali kuwa na false hope ndo maana wanachangia positively....Sasa Huna haja ya kutuletea mipicha miingi...ww na hiko kitimu chako tusubiri ligi ianze tuone mnavyomaliza nafasi ya 15 huko chini maana huna uwezo wa kuchukua point sita dhidi ya top timu yyte pale England....narudia huna....halafu kuhusu Liverpool misimu yte alofukuzana hakukosa kombe kwa tofauti ya point moja....halafu mpira unabadilika kijana zipo timu zitajidhatiti kuja kupambana na City apart from Liverpool....ila hao wafukuza upepo wako Newcastle watoe hawapo kabisa na mwaka huu ndo mwanzo na mwsho hamtakaa musikie top four tena...tusubiri ligi ianze halafu tuonane hmu ndani...
 
Oleksandr Zinchenko:


“I said to myself, if one day I need to leave [Man] City & stay in the Premier League, it’s going to be only one manager - Mikel Arteta.

The way he sees football, his vision, he’s a winner. It’s a dream to be in this kind of team for every player.” #afc
 
Oleksandr Zinchenko on not resting on finishing in second-place last season:



“I said a lot of times in the past, even watching Arsenal from where I’ve been before, I had a feeling & I could smell Arsenal’s time is coming.

We have a young team, but a lot of experience.

Unfortunately last season, we didn’t achieve what we wanted, but it was a lot of good lessons & for sure, it will help us for the next one. I’m fully confident, let’s see what’s going to happen.” #afc
 
Mikel Arteta on having the versatility to have a plan A, plan B & plan C now:


“Or plan A1, A2 & A3, however you want to look at it. We are looking at options, we are training different options.”
 
Can’t wait for when Teta decides to unleash both Partey and Rice in the same midfield.

No team is going to have a chance to dominate the center of the pitch with those two in.
 
Ni ngumu mtu kuwa anaku quote alafu we unaendelea na mambo mengine Kwa sababu unapata notification

Me nadhani njia nzuri ilikuwa ni kufata jamaa alichokuomba kuwa acha kum quote, that's better...!

Hili ni jukwa huru hatukatai, ila huo Uhuru ni wa wewe kupost chochote kile unachojiskia ilhali huvunji Sheria, ila sio jukwaa huru kwa kulazimisha mahusiano na mtu ambae hataki

Kwani wewe hizo false hope unazoziongelea ukizipost tu bila kum quote jamaa utapungukiwa nini? We post tu sie tutasoma wala usipate shida

ila kitendo cha kuendelea Kulazimisha kitu ambacho mwenzio hataki unataka tuhisi labda kuna kitu kingine tofauti na huu mpira ambao unajadiriwa hapa

Hakuna kitu kizuri kama kujua mipaka yako, humu kuna kina Flano Mkohoti lembu allypipi na wengine wanatema shombo kweli kweli ila ni zile za utani wa mpira ila huwezi kuona mtu anamwambia kuwa Acha kuni quote

Sasa wewe hadi unaona unaambiwa hivo maana yake imetoka kwenye football fun na kwenda personal zaidi, tuelimike mkuu, unachofanya ni Bullying na unaweza msababishia mtu trauma

Unaongelea kuhusu False hope anayotoa jamaa mbona sio case kabisa kwenye ushabiki wa mpira, kuna watu wanasema Chelsea itamaliza juu ya Arsenal na huo ni mpira huwezi kushangaa sana kwa sababu asilimia kubwa hisia hubeba nafasi kubwa kuliko uhalisia

sasa inashangaza wewe unaumia nini kuhusu false hope za jamaa ilhali nawewe unaweza kwenda kuhubiri kuhusu True hope kwenye Jukwaa la Team yako na washabiki wenzako bila kukwazana na mtu mwingine

Wewe endelea kutupiga spana humu ndani kadri uwezavyo ni ruhusa kabisa ila spana zako usizielekeze kwa mtu mmoja, we njoo piga spana kama wengine wafanyavyo ila sio kuendelea kumganda mtu aliesema hataki
 
Unaweza kuta na hapa asikuelewe bado.

Au unaweza kuta anamuelewa mchizi Kama mchambuzi nguli humu jf, Sasa anatafuta umaarufu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…