Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hawa jamaa ni wehu, wAkianza kupanga timu, kiungo kinakua inverted😂 na beki wa pembeni wanakuja kuoverload kiungo😂, halafu viungo wao ni press resistance, viungo wa mbele wana interchange play😂 ........
Kwa hayo maneno hata shallon soccer anakula goli 10, njoo kwenye uhalisia sasa dah!.
Ndio mana tunapenda kuja huku kwnye hili jukwaa kuondoa stress, mana huwa wanachekesha, Naomba Mod Flano kwa mamlaka uliyopewa hapa Jf uhamishe huu uzi uupeleke kule kwnye jukwaa la Jokes.
 
#AFC | Arsenal trained in Washington for the final time ahead of their journey to New York.

Smith Rowe and Partey involved.

- Arsenal.com
 

Mbona mimi nisha move on kijana kitambo sana toka mechi ile ya Brighton mnakula vyuma 3 tena emirates nikaona hizi false hope sio.

Unafiki sio mzuri kabisa hilo nakubaliana na wewe ila hujajua unafiki ni nini, mimi hapo unafiki wangu ni upo kusema arsenal haiwezii kuchukua ubingwa ? Mbona mifano halisi ipo ukitaka ushahidi tunaleta au kusema arsenal ni false hope, hili nalo unahitaji ushahidi

Unafiki ni kujigamba kuwa ooh city anaenda kufa pale pale etihad au Liverpool wazee tunawapiga si chini ya goli 3 then timu inazingua, watu wanakutafuta japo uwachambulie kimetokea nini lakini mwenzetu unaenda mafichoni kujificha huo ndo unafiki na sisi lazima tuukemee vile vile.

Jukwaaa la Newcastle game zikianza lazima tulifufue hatuwezi kulifufua saivi game hazijaanza si unajua kule kuna watu wazima huwezi wadanganya kitoto pia tunataka tuongee kwa vitendo
Tukisema false hope tunakosea wanangu? Halafu kweli hamis unasema tunawaonea wivu
kwa kipi sasa kushika nafasi ya pili au kucheza uefa
, ona hapo arteta anasambaza false hope
 

Labda umesahau mwaka aliochukua leicester city december mlikua top then ikaja game ya soton mkala 4 then mkarudi game na Leicester mkaleta false hope kwa goli la welbeck then ikafuata game na swansea mkafa 2 sijuii 3 zile


Liverpool usifananishe na arsenal kabisa , liverpool ameenda na city toe to toe mpaka game ya mwisho kabisa( the final game) two times sasa man city kachukua ubingwa anakula kashata na kahawa pale etihad bar then unasema mlichallenge ubingwa kweli ? Man city katangaza ubingwa bar sijuiii unaelewa mzee

Havertz ndo akupatie ubingwa? Huyu ngongoti asiyekuwa na nguvu
sometimes unahitaji only one man for the team kupata ubingwa, yani pale timu inapoonekana imechoka , uliona alichofanya gundo kaamua mechi kadhaa za city wakati hayo yanatokea ndugu yangu partey alikua kajichokea mwenzake xhaka anagombana na vitoto kina trent.

Trust me this season hamuwezi kabisa Kuwa kama mlivyokua, juzi tu hapa pasi zenyewe zilikuwa zinawashinda tena mnacheza na MLS maboko kibao.
 
Acha unafiki , mbona unaumia Sana kuhusu Arsenal kijana


Unafiki ni mbaya
 
PSG consider Mbappe for sale starting from today (@FabrizioRomano).

Arsenal would be Mbappe's No.1 choice if he were to come to the PL (independent). #afc
 
Acha unafiki , mbona unaumia Sana kuhusu Arsenal kijana


Unafiki ni mbaya






Mshikaji wenu “ win” huyo arteta akamleta akadhani ndo mtashinda ligi , picha za juu hizo ni different players but the same arsenal common thing hapo ni vilio tu kuanzia kwa kocha as player mpaka kwa nwaeri youngest player

Mods ikifika april kama sitaleta picha kama hii tena nipigwe ban nakuomba hamis na wewe ulite picha ya hata arsenal kanyanyua kikombe cha chai tu
 
Acha kujichekesha Kama mwanamke ,thus why nilikwambia usiwe una ni quote ,ila husikii

Au Kuna lingine?

Why huwa unawashwa when u see my comments?

Matusi ya nini tena mbona huwa unakasirika sana tukikuambia ukweli kijana, Tulia hapa sio kitchen party ushazoea u mc basiii unataka kuongea pekee yako.

Punguza hasira brother we are here against false hope and you are the one who bring false hope .
 
Nyie ndio mnafanya vijana waliotok poor family wakifanikiwa walowee mjini wakirud vijijini mnaamini uwezo wao haujawafanya wafanikiwe acha roho za kichawi hata mancity kachukua uefa mbele y vigogo wakubwa zaid yake kwa sasa huwez taja title contender wa epl bila kuitaja gunners zingine ni roho za kichawi tu tema mate chini nyoosha mikono juu mwanbie mungu mimi ni mchawi naomba niokoe
 

We unaamini kufanikiwa ni mjini tu
, mtafuteni kwanza mchawi wa arsenal wala sio mimi.
The only man can go toe to toe na pep ni klopp, kidogo kijana wangu Eddie howe nae anajipanga kwa battle na last season angalau waligawana point na pep.
Wewe arsenal umekufa nje na ndani ulichoambulia ni possession first leg pale emirates .
Huwezi kuitwa title contender kama timu inachukua title ikiwa bar hapo ume challenge nini sasa? Kaangalia season 2020-2021 na 2021-2022 utaona maana halisi ya title contender
 


Sasa hapa mchawi ni nan mimi au anaeliza vitoto kama iviii


Hili hata wenger alilisema au mtu aliyesimamia mpaka arsenal ikawa na uwanja wa maana amekuwa mchawi?
 
Arsenal wanamfukuzia winger wa ajax Mohamed kudus

Ajax wao wanataka dau lisilopungua £40m Kwa mchezaji huyo

Ili Arsenal imsajili Mohamed kudus itabidi iuze baadhi ya wachezaji

Vipi anafaa kuja kumsaidia Bukayo Saka?
 
Matusi ya nini tena mbona huwa unakasirika sana tukikuambia ukweli kijana, Tulia hapa sio kitchen party ushazoea u mc basiii unataka kuongea pekee yako.

Punguza hasira brother we are here against false hope and you are the one who bring false hope .
Wewe jamaa Kuna namna maana nilikwambia siwez kupoteza muda na wewe ,nikakwambia usini quote ,ila husikii , Kuna namna haupo sawa au unatafuta bwana kinguvu ,

Sitakujibu Tena , ila utashangaa unafosi

Mm nakawaida nikigundua hatuendan nakukwepa ila maisha mengine yaendelee,lakin wewe hutaki ku move on,
 
ARTETA KASEMA PARTEY ANABAKI

Mikel Arteta on Thomas Partey future:

"Without a doubt [he's in my plans for this season].

"Thomas is a super important player for us and for me.


"I want him to be part of the team,"
 
ARTETA KUHUSU KAMA RICE & PARTEY WANAWEZA KUCHEZA PAMOJA


Arteta ikiwa Partey na Rice wanaweza kucheza pamoja:


Ndiyo. Wanaweza kucheza pamoja.

Hiyo ilikuwa katika mipango yangu.

Ukitaka kuboresha kikosi unahitaji wachezaji wanaoweza kuboresha kikosi na wachezaji wanaoweza kucheza pamoja.


Read more


 
Mike Arteta on Thomas Partey:




"Super important player for us."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…