hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,406
- 26,963
Huyo jamaa ni mnafiki ndio maana nilimwambia yeye anasema ni Newcastle why asifufue Uzi wao ,kila siku anakuja humu kukebehi mashabiki wa ArsenalUkitaka usisikie habari za arsenal au kuona watu wakiongelea timu Yao ni very simple....unaacha kuingia kwenye hili jukwaa hutakaa uone...unaongea as if unaumia saaana mkuu...watu wakikimbia au wasipokimbia ww kinakuwasha nn....after all hii ni platform ya mashabiki wa Arsenal... whichever timu unayosapoti nenda huko kwny timu yenu mkaongee mambo realistic kama unaona hmu Kuna hadithi za alfa na ulela
Kama kweli yeye ni Newcastle na anaiamin timu yake kuliko Arsenal ,afungue Uzi atapata wafuasi kuliko kuja humu kufanya unafiki
Haipendezi