Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Alipokosea Arteta ni kumsajili Havertz tu, ile pesa bora angewekeza eneo lingine au mchezaji bora zaidi.

Kwenye defence mmeshajivisha bomu wenyewe. Arsenal defence inakosa quality. Full backs, LW & ST mnahitaji watu wa kazi.
 
Alipokosea Arteta ni kumsajili Havertz tu, ile pesa bora angewekeza eneo lingine au mchezaji bora zaidi.

Kwenye defence mmeshajivisha bomu wenyewe. Arsenal defence inakosa quality. Full backs, LW & ST mnahitaji watu wa kazi.
View attachment 2688645
Sisi tunaona amepatia kbsa kwhyo kama amekosea inatakiwa mfurahie maana tutakuwa dhaifu kama mnavyoamini ndugu zetu
 
na za juu zinasemaje, kaeni kwa kutulia Arteta masta na edu hawana mchezo
Unaonesha kujianini kijana. Kwa unavoiona hii Arsenal ya beseni/ndoo /karai unaiona ikimaliza nafasi ya ngapi.
 
Unaonesha kujianini kijana. Kwa unavoiona hii Arsenal ya beseni/ndoo /karai unaiona ikimaliza nafasi ya ngapi.
Hebu tuambie Rice anaenda wapi maana unasema una za ndani deal limefeli

Mashabiki wa mnajesta bhana ,ndio maana wale Graza hawawezi kuiuza ile timu
 
DiMarzio na Sky sport , huyu ndiye aliwafanya haters washangilie

Declan #Rice getting closer to ManCity: confidence to reach final agreement with Westham. @SkySport
 
This is what West Ham are getting from Arsenal for Declan Rice -



£100m paid over 24 months, plus possibly £5m of add ons, which are £1m every time Arsenal qualify for the Champions League and Declan starts 60% of games, capped at 5 X £1m=£5m.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…