Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hawa kama kawaida yao lazima wapigwe 10 na bayern
Wanaenda kuidhalilisha tu Epl kwenye Uefa.
Kila nikifikiria makipa wao RasMadale na yule Heroin nabaki na huzunika tu kwa kile kinaenda kuwakuta kwenye makundi.
Na jinsi Uefa management walivyo na roho mbaya kwenye group lao wanaweza muweka Buyern Munich makusudi kabisa ili warudi kwenye Futuhi yao.
 
Huyu jamaa alikua na debut mbovu mno. Ila alivyopindua performance next games ilikua si mchezo
 
Huyu jamaa alikua na debut mbovu mno. Ila alivyopindua performance next games ilikua si mchezo
Hakuwa na match fitness , Jana kacheza role ya zinchenko ,kaicheza vzr halafu yeye anajua kukaba

Hii inamaanisha Kieran Tierny hawez kubaki ,maana upande wake wanaocheza wamekuwa wengi , Zinchenko,Tomiyasu na. Kiwior ,
 
More on the potential departure of Thomas Party, Al-Hilal will push hard soon


Understand Moises Caicedo, FDJ and Camavinga are top targets to replace if Arsenal sanction a Partey move


Arsenal will only sell Partey for the right fee, so they can secure a top replacement
 
Hakuwa na match fitness , Jana kacheza role ya zinchenko ,kaicheza vzr halafu yeye anajua kukaba

Hii inamaanisha Kieran Tierny hawez kubaki ,maana upande wake wanaocheza wamekuwa wengi , Zinchenko,Tomiyasu na. Kiwior ,
Tierney asiuzwe Zinny asogee LCM
Hichi ndicho kitu arteta anakosea so far
 
Declan Rice WILL sign his contract for Arsenal TODAY. After today Declan Rice will be an Arsenal player. He should link up with the squad for the USA tour…
 
Tierney asiuzwe Zinny asogee LCM
Hichi ndicho kitu arteta anakosea so far
Zinchenko amekuwa mtu wa kuumia umia sana so he is not that reliable...ila nakubaliana na ww... Tierney asiuzwe...kuna mechi za kubaki sana nyuma zitamfaa...na msimu ni mrefu huwezi jua kama Kiwior naye hataumia kwhyo better Kila nafasi iwe na wachezaji 3 wazuri
 
ila mwanangu Kai bado nina wasiwasi nae sana
yuko soft sana
sijui lakini Kocha atamtumiaje
 
ila mwanangu Kai bado nina wasiwasi nae sana
yuko soft sana
sijui lakini Kocha atamtumiaje
Unakumbuka alivyokuja Øde ,Bora hata Kai

Arteta amesema muda utaongea , namuona Kai akisubiri kwanza kabla hajaingia kwenye mfumo ,wanasema hakuna roles ngumu kuzimasta Kama LCM na RCM

Ndio maana ni Arsenal na mancity tu ndio wanacheza 4-3-3 ya double 8

Rudi nyuma kamuangalie ødegaard ilimchukua muda gani , watu walimbeza wakisema lege lege Sana ,n.k

“Time will tell!”


Mikel Arteta says he hasn’t decided on Kai Havertz’s best position yet following his first appearance in an Arsenal shirt

youtu.be/GDfwdgcEZGc
 
Hivi Caicedo na Chelsea hawamalizani tu, nilisafiri hadi nmerudi bado tu aiseee
Dah
sijakuona kweli rafiki

Wana mwez na nusu Sasa ,nasikia Brighton wanataka £100m

Na Sasa hawana haraka wanamsubiri Liverpool aliunge
 
Mchezaji akishakua mzuri atahitaji kua regular starter

Msimu una mechi 38 basi angalau 20 aanze 8 awe sub
 
Dah
sijakuona kweli rafiki

Wana mwez na nusu Sasa ,nasikia Brighton wanataka £100m

Na Sasa hawana haraka wanamsubiri Liverpool aliunge
Walikataa £70M yetu dirisha dogo kumbe walitegemea Summer kupanda hadi uko kwenye £100M????
Lakini shida naiona ni moja hawawezi kupewa iyo wanayoitaka wao sababu hakuna timu nyingi zinazomgombea Caicedo kwa sasa. Naona taarifa za Liverpool kumuegemea sana sana Lavia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…