Huu uzushi kawadanganye mashabiki wenzako wa unyumbuniIla Arsenal ni kikundi cha wahuni.
West Ham wametoa green light kwa ofa yenu na namna ya ulipaji mmekubaliana wote ila kusaini mikataba nyie ndiyo mnachelewa tena.
View attachment 2686828
Huyo Rice mbona hatambulishwi
Mna
Mnahaha sana ndugu zetu....basi pelekeni Magwaya west Ham mbadilishane nao wakupeni nyie hyo rice....hakuna timu inayolipa ,£100 million cash upfront kwa england....hapo...hela italipwa kwa installments kama makubaliano yalivyo....kama wao walivyotuhenyesha kukubali masharti Yao Sasa na sisi zamu yetu wasubiri tupitie mkataba taratibu hata kama itakuwa mwezi mzima....kama wanategemea hela ya Rice ndo wasajilie itakula kwao....jeuri ya kumrudisha hawana....maana Manyumbu hamuwezi ku afford bei yke....nyie pambaneni kununua kipa na hela zenu za ngama watani
Sawa Di MarzioShida ni kishika uchumba Arsenal ndio hawana.
Westham wameshawakubali hio £105m mtalipia kwa Installment ya miaka 3, mnaambiwa muweke bank maokoto ya awamu ya kwanza mnapiga chenga, haya mkataba upo tayari njooni muweke saini mnaanza kupiga danadana.
Shakhtar walishtukia mapema sana utapeli wa Dr. Shika ndio maana wakaamua kumalizana mapema na tajiri miruzi.
Mkuu Pepe hauziki45 si tuliyomnunulia? Tutapoteza mchezaji na sioni
kama faida tumepata. Wakuuzwa ni kina Pepe na Nketiah
sio miaka miwili ni mitatu, halafu kuna tetesi zimeanza kuzagaa Westham wameshtukia Arsenyau hizo pesa za kuanza kulipia Installment kumbe hawana, wanawapiga kalenda tu kila wakiambiwa wapeleke mzigo bank.
Kama ubabaishaji wa malipo ukiendelea kuna uwezekano Rice akauzwa timu nyingine au akabaki Westham.
Tuna kikos kipana hapo hakuna Jesus, martinelli,Rice, Timber ,zinchenko, Smith ROWE,Fabio VIEIRA,, Gorgino Frelo,Hii ni friendly tu Ndugu zangu arsenyani mbona mpo serious sana na kikosi.View attachment 2686888
Shida ni kishika uchumba Arsenal ndio hawana.
Westham wameshawakubali hio £105m mtalipia kwa Installment ya miaka 3, mnaambiwa muweke bank maokoto ya awamu ya kwanza mnapiga chenga, haya mkataba upo tayari njooni muweke saini mnaanza kupiga danadana.
Shakhtar walishtukia mapema sana utapeli wa Dr. Shika ndio maana wakaamua kumalizana mapema na tajiri miruzi.
According to YouTube, ana stamina, mashuti ya mbali, anakaba, na ana ujanjaujanja kidogo (mnyumbulifu)Ana nyumbulika... shida ya xhaka alikuwa mgumu sana, mchezaji mgumu km anakula kokoto
Ndo wachezaji waliopo mkuu...na wengine wengi wa kikosi cha kwanza hawajaanza na hawatacheza kabisa....Sasa hakuna namna wacha wacheze hawahawa tuHii ni friendly tu Ndugu zangu arsenyani mbona mpo serious sana na kikosi.View attachment 2686888
Eti Rice, Timber acha kutisha nyumbu mkuuTuna kikos kipana hapo hakuna Jesus, martinelli,Rice, Timber ,zinchenko, Smith ROWE,Fabio VIEIRA,, Gorgino Frelo,
Link ya mechi hii hapa