Hii deal nimeliona toka juzi but halijanishawishi kama ni uhakikaArsenal wameanza mazungumzo na Gremio kuhusu kumnunua kiungo Bitello.
Inaaminika Gremio wako tayari kukubali dili la thamani ya £8.5m, ikijumuisha faida inayoweza kupatikana kutokana na mauzo yoyote yajayo.
Mazungumzo yanaendelea lakini vyanzo vinaamini kuwa makubaliano yanaweza kufikiwa wiki hii.
[@GraemeBailey]View attachment 2686726
Mpaka liwe advanced ndio utaona UK. media zinaripoti,sawa na. Deal la martinelli halina tofauti na hiliHii deal nimeliona toka juzi but halijanishawishi kama ni uhakika
Tulia nyumbu.Partey aliyefananishwa na Casemiro ndiyo anataka kuuzwa?
Eti "Tunauza Partey tunachukua Caicedo" pesa ya Rice tu mmetandaza miaka 2.
Partey aliyefananishwa na Casemiro ndiyo anataka kuuzwa?
Eti "Tunauza Partey tunachukua Caicedo" pesa ya Rice tu mmetandaza miaka 2.
Arsenal wameanza mazungumzo na Gremio kuhusu kumnunua kiungo Bitello.
Inaaminika Gremio wako tayari kukubali dili la thamani ya £8.5m, ikijumuisha faida inayoweza kupatikana kutokana na mauzo yoyote yajayo.
Mazungumzo yanaendelea lakini vyanzo vinaamini kuwa makubaliano yanaweza kufikiwa wiki hii.
[@GraemeBailey]View attachment 2686726
Hizo habar umeokota waphawa sasa ndio wachezaji wa Arsenyo tunaowajua sisi, yaani Kreonke mpaka dakika hii roho yake inasitasita kuweka bank pesa ya usajili wa Rice, Mpaka Westham wameshaanza kuchukia huenda deal la usajili wa Rice likakwama.
Ana nyumbulika... shida ya xhaka alikuwa mgumu sana, mchezaji mgumu km anakula kokotoNimetoka kumcheki YouTube hapa. Nadhani wameona ni upgrade ya Xaka
Matajiri wembamba shida sana, unaambiwa babu Kreonke kila akipiga hesabu nafsi yake inasita, juzi kamuita Edu ofisini kwake anamuuliza kwani Lukonga mlimsajili kwa bei gani?Hizo habar umeokota wap
Kwahiyo anaenda manjesta?
Wewe piga mboyoyo ,manjesta had Sasa Haina kipa ,inter wanataka€60m, Atalanta wanataka €100m, zikibaki siku 2 dirisha kufungwa mumrudishe weghostMatajiri wembamba shida sana, unaambiwa babu Kreonke kila akipiga hesabu nafsi yake inasita, juzi kamuita Edu ofisini kwake anamuuliza kwani Lukonga mlimsajili kwa bei gani?
Kaulizia bei aliyosajiliwa Nketiah, Mwakinyo, Magalasa, Ordegard pamoja na Ben White.
Edu kaambiwa akaongee upya na Westham japo wafanye hata £60m kama ya Harvez
West Ham lazima wachukie, wiki imepita halafu wanasheria wa Arsenal wanajizungusha tu.sio miaka miwili ni mitatu, halafu kuna tetesi zimeanza kuzagaa Westham wameshtukia Arsenyau hizo pesa za kuanza kulipia Installment kumbe hawana, wanawapiga kalenda tu kila wakiambiwa wapeleke mzigo bank.
Kama ubabaishaji wa malipo ukiendelea kuna uwezekano Rice akauzwa timu nyingine au akabaki Westham.
Mnahaha sana ndugu zetu....basi pelekeni Magwaya west Ham mbadilishane nao wakupeni nyie hyo rice....hakuna timu inayolipa ,£100 million cash upfront kwa england....hapo...hela italipwa kwa installments kama makubaliano yalivyo....kama wao walivyotuhenyesha kukubali masharti Yao Sasa na sisi zamu yetu wasubiri tupitie mkataba taratibu hata kama itakuwa mwezi mzima....kama wanategemea hela ya Rice ndo wasajilie itakula kwao....jeuri ya kumrudisha hawana....maana Manyumbu hamuwezi ku afford bei yke....nyie pambaneni kununua kipa na hela zenu za ngama wataniMatajiri wembamba shida sana, unaambiwa babu Kreonke kila akipiga hesabu nafsi yake inasita, juzi kamuita Edu ofisini kwake anamuuliza kwani Lukonga mlimsajili kwa bei gani?
Kaulizia bei aliyosajiliwa Nketiah, Mwakinyo, Magalasa, Ordegard pamoja na Ben White.
Edu kaambiwa akaongee upya na Westham japo wafanye hata £60m kama ya Harvez
Mchukueni nyie wakuu kama sisi tumeshindwaWest Ham lazima wachukie, wiki imepita halafu wanasheria wa Arsenal wanajizungusha tu.
Kuna kila dalili dili linaweza collapse. Hata Danjuma ilikuwa hivihivi kwenda Everton mwisho wa siku akaishia Spurs.
Daniel James kwenda Leeds alifanya mpaka photoshoot. 😂
Arsenyani wanatakiwa wajiulize kama West Ham wamekubali dau inakuwaje timu yao haisani mikataba ni wiki sasa!!!
Hapa nitammaindi sana artetaPartey aliyefananishwa na Casemiro ndiyo anataka kuuzwa?
Eti "Tunauza Partey tunachukua Caicedo" pesa ya Rice tu mmetandaza miaka 2.
Mimi furaha yangu ni kuona Arsenal ikikosa wachezaji wazuri tu. Sisi hatuna hiyo pesa kwa sasa.Mchukueni nyie wakuu kama sisi tumeshindwa
Kreonke unaambiwa juzi kamuita Edo osifini kwake halafu kamuuliza hii timu ni baba yako?West Ham lazima wachukie, wiki imepita halafu wanasheria wa Arsenal wanajizungusha tu.
Kuna kila dalili dili linaweza collapse. Hata Danjuma ilikuwa hivihivi kwenda Everton mwisho wa siku akaishia Spurs.
Daniel James kwenda Leeds alifanya mpaka photoshoot.
Arsenyani wanatakiwa wajiulize kama West Ham wamekubali dau inakuwaje timu yao haisani mikataba ni wiki sasa!!!
Ila Arsenal ni kikundi cha wahuni.
West Ham wametoa green light kwa ofa yenu na namna ya ulipaji mmekubaliana wote ila kusaini mikataba nyie ndiyo mnachelewa tena.
View attachment 2686828
Sasa kama una Hali hyo Kila siku utakuwa unahuzunika tu mkuu...maana haitakuja kutokea...Sasa hvi tukitaka mtu tunabeba..ize tu...West Ham wasubiri tupitie herufi moja baada ya nyingine tukishajiridhisha ndo tuendelee...vinginevyo wanaweza wakabaki na mchezaji wao kama Wana haraka sana paka wale...kwanza wametupiga pesa ndefu sana...Sasa wawe wapole...au kama vp Man UTD pelekeni ofa mumchukueMimi furaha yangu ni kuona Arsenal ikikosa wachezaji wazuri tu. Sisi hatuna hiyo pesa kwa sasa.