Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Edu has been busy on the BBQ.


Arsenal signings since 22/23:
◉ Jesus
◉ Zinchenko
◉ Vieira
◉ Kiwior
◉ Trossard
◉ Jorginho
◉ Turner
◉ Marquinhos
◉ Havertz
◎ Timber
◎ Rice

Arsenal renewals since 22/23:
◉ Gabriel
◉ Martinelli
◉ Ramsdale
◉ Saka
◉ Nelson
◉ Saliba

 
Arsenal are not actively looking to sell Partey this window, so it will take a considerable offer and a suitable replacement (eg Caicedo) for them to let him go.

Considering Fabinho is being valued at £40m, I’d suggest it would take a fee north of that to consider a sale.
 
Wasaudia wameweka £40m kwa fabinho

Pia wanamshawishi partey kwa mshahara mkubwa

Arsenal watamuuza partey kwa hela nzuri otherwise atabaki , £45m+ dau ambalo litawashawishi Arsenal kumuachia

Liverpool na Arsenal wanatamtaka Lavia

Arsenal wanamtaka lavia Kama backup ya Rice na Jorginho in case Partey anauzwa


Liverpool wanamtaka Lavia Kama starter in case wanamuuza fabinho na Henderson


Kwangu namuona Lavia Kama mchezaji mzuri asiyehitaji majukumu makubwa ,simuoni akifaa kwa timu yenye lengo la ku challenge ubingwa labda top 4,


Thus why naamin Kama tutamsajili Basi hatakuwa starter mbele ya Rice & Jorginho Flero ,

Takwimu zinaonesha Lavia akipressiwa mara 10 Basi atapoteza mpira mara moja tu
 
Partey has agreed personal terms with Al-Hilal it was described to me as ‘big money on the way’ (in terms of personal terms salary).


It will now be down to the clubs to agree a fee if it was to happen
 
Sipendi kusoma kuwa Partey ataondoka. Itakuwa tumepiga hatua mbele na hatua nyuma pia
Nasikia anabaki ila ikija pesa kubwa hawaiachii ,wanaenda kwa Lavia au caicedo ambaye Chelsea wanahangaika mwez mzima Sasa
 
Nasikia anabaki ila ikija pesa kubwa hawaiachii ,wanaenda kwa Lavia au caicedo ambaye Chelsea wanahangaika mwez mzima Sasa

45 si tuliyomnunulia? Tutapoteza mchezaji na sioni
kama faida tumepata. Wakuuzwa ni kina Pepe na Nketiah
 
45 si tuliyomnunulia? Tutapoteza mchezaji na sioni
kama faida tumepata. Wakuuzwa ni kina Pepe na Nketiah

Kwa mtu wa hesabu na uhasibu, hapo kuna faida kubwa. Bought for 45m, served the club for two seasons. I guess he had 4 year contract.
His book value as of now is 22.5m but market value is 45m. Bonge la faida
 
Nasikia anabaki ila ikija pesa kubwa hawaiachii ,wanaenda kwa Lavia au caicedo ambaye Chelsea wanahangaika mwez mzima Sasa
Caicedo ni Chelsea bound...sidhani kama itawezekana hlafu pia anataka mshahara mkubwa sana kitu ambacho sioni kikitokea kumfata....Lavia is possible na hyu dogo wa Kibrazil naona naye anakuja...ila bdo we need another winger upande wa Saka Ili tuchallenge vzuri
 
Kwa mtu wa hesabu na uhasibu, hapo kuna faida kubwa. Bought for 45m, served the club for two seasons. I guess he had 4 year contract.
His book value as of now is 22.5m but market value is 45m. Bonge la faida
Amebakiza miwili ,ndio maana Arsenal wanataka kuanzia £40m ,hapo Wana uhakika wa kuvuta DM mwingine mdogo kwa uwekezaji wa miaka 10 ,kwa Bei had ya £80m
 
Caicedo alishamalizana personal term na Arsenal since January , Caicedo ni kambi popote yule , kwasasa yupo bond na Chelsea sababu hakuna mwingine anayemtaka
 
Partey hataki kwenda uarabuni

Anasema Kama ataondoka Basi anaenda Juve

Juve hawana pesa

Wasaudia pesa ipo wanamshawishi kwa mshahara mkubwa,
 
Al Ahli have also offered £400k per week over 4 years. They have offered £30 mil verbally. Not enough. Arsenal want £45+ mil
 
Arsenal wameanza mazungumzo na Gremio kuhusu kumnunua kiungo Bitello.

Inaaminika Gremio wako tayari kukubali dili la thamani ya £8.5m, ikijumuisha faida inayoweza kupatikana kutokana na mauzo yoyote yajayo.


Mazungumzo yanaendelea lakini vyanzo vinaamini kuwa makubaliano yanaweza kufikiwa wiki hii.


[@GraemeBailey]
 
Bitello ameibuka kama target ya Arsenal kupitia mkurugenzi wa michezo Edu, ambaye ametumia mawasiliano yake nchini kwao .


Vyanzo vinasema kwamba ni hali sawa na ile iliyowafanya kumsajili Gabriel Martinelli kutoka Ituano mnamo 2019

Maskauti wa arsenal wanaamini anaweza kufanya vizuri kwenye Ligi Kuu EPL.

[@GraemeBailey]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…