Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Watu wenye akili ndogo silaha yao kubwa ni matusi!... Anyway.... Ahsante!... Domo lako linatema matusi kama mavi
Umesema tunachukia mafanikio ya Arsenal haya nitajie basi hayo mafanikio ya Arsenal since 2005 ni yapi?tuone mimi na wewe nani ana akili ndogo taja na mimi ntayataja ,kuwa fan wa Arsenal sometimes tusijitoe akili kwenye ukweli tutasema na kwenye uongo tutakanusha COYG!

And let me remind you watoto waliozaliwa 2005 wapo Form 4 and 5 this year!
 
Screenshot habar iliyema player says only wants Arsenal,kutoka kwa reliable source yoyote. utuwekee hapa. Acheni kuwa makondoo. Hii ni forum ya magreat thinkers.

Waliosemaga hivyo ni kina Raphina,Kounde hata kw nusu mshahara walienda, ni siasa gani hizo zilizosababsha mchezaji asijiunge wakat mchezaj hat kw nusu mshahara akiamua anaenda kwnye timu anayoipenda.
 

Hamisi relax mkuu, ushabiki wa mpira una mambo mengi. Mashabiki wengine ushabiki unanoga pale wanapomshambulia shabiki wa timu ingine. Wengine ushabiki unanoga pale wanapomkosoa kocha wa timu ingine...muhimu wewe nenda nao tu hivyo hivyo.
 
Ukimpiga Ignore mtu either hujiamini or hauna facts tena napenda sana mtu anayenicriticise kuliko anayenisifia mara kwa mara TAKE NOTE
 
Ukimpiga Ignore mtu either hujiamini or hauna facts tena napenda sana mtu anayenicriticise kuliko anayenisifia mara kwa mara TAKE NOTE
Sipend matusi siku zote ,Huyo Hana fact hata wenzie wanamjua ,Sasa wengine hatujazoea matusi

Anasema Timber alitakiwa na Arsenal pekee ,Sasa utabishana Nini na Huyo zaid ya matusi?

Wengine kutoa tusi hatuwezi kabisa
 
Havertz anatarajiwa kutambulishwa kama mchezaji mpya wa Arsenal wiki ijayo

Arteta anafurahi kwa hili kutokea.

Mhispania huyo alifanya kila awezalo kumshawishi Havertz kwamba kuhamia Arsenal ni bora kwake, na mchezaji huyo alikubali.

Havertz anaamini kuwa kucheza chini ya Arteta na Arsenal utakuwa mradi(project) bora zaidi, sio tu England, lakini kote Uropa.

Havertz anafikiri mtindo, mawazo na mipango ya Arteta itasaidia kumfanya mchezaji bora.

Inafurahisha, wachezaji wengi wa Arsenal wamekuwa wakimtumia ujumbe Havertz

(@FabrizioRomano kupitia @caughtoffside )
 
Wewe huku pia tunakuona chizi, unaona ulivyokua mwehu sasa ukiniignor unafikiri nitakufa au acha kuwa na mawazo mgando.

We kuna vitu unavichanganya, Timber sawa alitakwa na Liva, bayern na nyumbu ila Arsenal ndio wako serious zaid na hilo dili, ndio mana its only Arsenal, ila sio kwamba eti mchezaji anaitaka tu Arsenal, we jamaa uachage kuwafunga kamba wenye uelewa finyu humu.
 
Sawa ngoja nikuchukulie kama wanavyokuchukulia wenzio kule jukwaa la Chelsea
 
Arteta - "Miaka mitatu iliyopita. Nilikuwa msaidizi wa Pep pale City, tulicheza dhidi ya Arsenal na nikaona kwamba roho ya klabu ilikuwa imepotea. Hakukuwa na furaha, hakuna hisia."

"Nilijua kulihitajika mabadiliko, baada ya muda mfupi, kwenda kwenye namna nyingine,nilijua kuwa klabu hii ni kubwa sana hivyo ilibidi tuunganishe mashabiki wa timu."

"Imekuwa ngumu kufanya na kutengua ... na sasa najisikia furaha. Tuna utambulisho wa uchezaji, kuna umoja na tumejaa nguvu. Hilo ndilo jambo kubwa zaidi, kutoka juu hadi chini, kila mtu anawaza mwelekeo sawa.

Tunampa shabiki kitu cha kuota na kujivunia. Na sasa, lazima tushinde zaidi."

(@FIFAcom)
 
Kama wewe ni mtu mzima ndio utukane watu!... Ukijipima unaona kabisa na wewe una akili? Kama kweli wewe ni mtu mzima na kutwa nzima unatukana watu, basi utakuwa ni mtu mzima wa hovyo sana!..... Mpira ni furaha!.. sio Kwa kuwa wewe una stress zako huko, ndio uzimalizie hapa Kwa kutumia lugha za hovyo!
 
Hamisi relax mkuu, ushabiki wa mpira una mambo mengi. Mashabiki wengine ushabiki unanoga pale wanapomshambulia shabiki wa timu ingine. Wengine ushabiki unanoga pale wanapomkosoa kocha wa timu ingine...muhimu wewe nenda nao tu hivyo hivyo.
Sawa mkuu ,
 
(Mahojiano yamechapishwa leo)


Arteta -


"Talent ina bei na, Arsenal, tunavutiwa na wachezaji wachanga wenye uzoefu. Narudia, sizungumzii wachezaji wa vilabu vingine, lakini, kwa upande wa Kai (Havertz), tayari ameonyesha mengi, ikiwa ni pamoja na Ligi ya Mabingwa.

Ni mchezaji mwenye kipaji, hodari na ana umri wa miaka 24 pekee.

(FIFA)

NOTE: Kwakuwa Kai hajatambulishwa bado Arteta anamzungumzia Kama mchezaji wa timu nyingine
 
Wapi umetukanwa? Kuitwa kondoo ndio umetukanwa? Usichukulie mambo y mpira serious hivyo utakufa na msongo.
 
Wapi umetukanwa? Kuitwa kondoo ndio umetukanwa? Usichukulie mambo y mpira serious hivyo utakufa na msongo.
Tatizo wewe jamaa mdomo mchafu

Mimi nawatania Sana manjesta kule jukwaani kwao lakini siwezi kuwatukana au kutoa Lugha chafu naona sio mpira
 
Mancity katuma ofa kwa Gvadiol


Wala hajachukua muda , kwa Rice anajizungusha Sasa

️X News #Gvardiol: RB Leipzig has received a new official offer from ManCity!

#MCFC offers €90m + bonus payments now
Concrete negotiations for days
Verbal agreement is done
Lukeba (Lyon) could replace him.

Via @philipphinze24 @Sky_AlexB @SkySportDE
 
hamis77 je tumeachana na Zaha mazima? Je ni Mzee sana hafundishiki? Hatuwezi kumpa mkataba wa miaka 2? Naona ukiwa unaweza kumtoa Martinelli ukaingiza Zaha na ukiwakosa una Trossard na ESR unakuwa na hatari upande wa kushoto. Pia anaweza kucover upande wa Saka Kwa usumbufu ule ule . Naona shida kubwa ni end product...yaani magoli na assists
 
Wapi umetukanwa? Kuitwa kondoo ndio umetukanwa? Usichukulie mambo y mpira serious hivyo utakufa na msongo.
Hizi Kima humu zenyewe zinawaita wenzao Kenge, Nyumbu fresh tu, ila zenyewe zikitaniwa kwa majina ya kawaida tu kama vile kuitwa Kondoo au Misukule ya Arteta zinakuja juu na kudai kua eti zimetukanwa na kutishia ku Ignore watu.
Oyaaaa humu utani, tambo na dhihaka mimi kama Moderator nasema ni ruksa, ila mtu yoyote atakae toa matusi yale machafu namlima Ban fasta.




#Arsenal Kondoo
#Haaland Kiatu

Poor Asenyo.
 
Tatizo wewe jamaa mdomo mchafu

Mimi nawatania Sana manjesta kule jukwaani kwao lakini siwezi kuwatukana au kutoa Lugha chafu naona sio mpira
Nionyeshe comment yake yoyote aliyotukana humu nimlime Ban ya mwezi mmoja.



#Arsenal Kondoo
#Haaland Kiatu
 
Sipend matusi siku zote ,Huyo Hana fact hata wenzie wanamjua ,Sasa wengine hatujazoea matusi

Anasema Timber alitakiwa na Arsenal pekee ,Sasa utabishana Nini na Huyo zaid ya matusi?

Wengine kutoa tusi hatuwezi kabisa
Endelea kutupa updates Mkuu tunakusoma
 
Unakimbia kimbia tu swali hujajibu wewe mwenye akili jibu swali bana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…