Yes nilikuwa naangalia mwanzo mwisho,
I think umekurupuka kujaribu kumsaidia mwenzio but hukuelewa where my point is so nenda kasome tena nilichokisema then uje uone wapi na nini nilichokuwa namaanisha ThanksHzi ni taarifa za kwenye vyombo vya habari vya michezo...whether ni kweli au uongo hiyo ni ishu nyingine...jamaa anachofanya ni kuleta taarifa zilizopo mtandaoni sio mawazo yake....Mudryk suala lake mpk kesho inajulikana both Arsenal na Chelsea hela Yao wte ilikuwa sawa...ila terms of payment ndo zilitofautiana na pia kwenye usajili wake kulikuwa kuna mambo ya kisiasa pia katikati na mchezaji husika ilibidi akubali kwenda Chelsea kutokana na mazingira yalivyokuwa lakini moyoni kabisa alikuwa anataka kwenda Arsenal...lipo wazi linajulikana...Sasa nashangaa sana ww jamaa unakuwa too perssimistic kuhusu hili jambo....as if yaani ww ndo una uchungu kwlikwli na hii timu...ikitokea Rice amesainiwa itakuwa poa...ikitokea hajasainiwa atakuja mwingine....ndo mambo ya usajili yalivyo
Unachofanya mda mrefu ni kumu attack as if hzo taarifa anatunga yy wkti ni mambo ya Media ndo analeta taarifa zake hmu...ww ndo unakurupuka...kuattack mtu na sio kichangia mawazo yakoI think umekurupuka kujaribu kumsaidia mwenzio but hukuelewa where my point is so nenda kasome tena nilichokisema then uje uone wapi na nini nilichokuwa namaanisha Thankskwa kuchangia
Msimu huu wa tetesi ungekua una maana sana kama tungekua tunajadili endapo tukiona tuna asilimia 80 za kumsajili mchezaji basi tu-share mawazo jinsi gani Arteta atamtumia Harvert, jinsi gan Timber atafiti kwenye mfumo na game tight kwenye timu zinazo press ni vyema kuanza na White au Timber kwenye mbavu ya kulia na Rice anakuja kucheza kama 6 au 8s maana ndo sajili zilizo gumzo kwenye timu yetuNashangaa wanaolalama ,vitu hiv kwenye usajili Ni vyakawaida Sana
Di marzio aliposema City wamemalizana na Westham ,tulikebehiwa na kutukanwa hapa juzi .
Ikionekana anakuja tunaambiwa mbovu
Akienda city tunaambiwa maneno ya kebehi
Acha kutudanganya wewe, kwamba mudryk angekataa kwenda Chelsea kingetokea nini?Hzi ni taarifa za kwenye vyombo vya habari vya michezo...whether ni kweli au uongo hiyo ni ishu nyingine...jamaa anachofanya ni kuleta taarifa zilizopo mtandaoni sio mawazo yake....Mudryk suala lake mpk kesho inajulikana both Arsenal na Chelsea hela Yao wte ilikuwa sawa...ila terms of payment ndo zilitofautiana na pia kwenye usajili wake kulikuwa kuna mambo ya kisiasa pia katikati na mchezaji husika ilibidi akubali kwenda Chelsea kutokana na mazingira yalivyokuwa lakini moyoni kabisa alikuwa anataka kwenda Arsenal...lipo wazi linajulikana...Sasa nashangaa sana ww jamaa unakuwa too perssimistic kuhusu hili jambo....as if yaani ww ndo una uchungu kwlikwli na hii timu...ikitokea Rice amesainiwa itakuwa poa...ikitokea hajasainiwa atakuja mwingine....ndo mambo ya usajili yalivyo
Sawa AsanteUnachofanya mda mrefu ni kumu attack as if hzo taarifa anatunga yy wkti ni mambo ya Media ndo analeta taarifa zake hmu...ww ndo unakurupuka...kuattack mtu na sio kichangia mawazo yako
Soma vzuri hlfu uje tena....sijasema kama angekataa kwenda Chelsea...unakurupuka mkuuAcha kutudanganya wewe, kwamba mudryk angekataa kwenda Chelsea kingetokea nini?
Eti siasa! siasa gani?
Yaani tetesi za usajili wanatoa akina Fabrizio Romano, ila jamaa wanamchamba Hamisi77. Unajua brother Hawa ni Mashabiki wa nyumbu na akili zao zimeishia hapo.... Yaani magazeti ya michezo ya huko majuu yanatengeneza Tetesi nyingiiii kuhusu Arsenal Kwa kuwa Arsenal Ina Mashabiki wengi huko ulaya.... Sasa jamaa anacopy na kuleta habari hapa kama zilivyo, eti jamaa wanakereka na kuanza kutoa kejeli!.. wewe unaona Wana akili timamu! hao!.. hata kama mtu una chuki au hupendi kitu ni vizuri kuficha ujinga wako!.. brother Huyo jamaa asikupotezee muda ni kijana mdogo shabiki wa nyumbu asiye na uelewa wowote!... Nakuhakikishia deal la Rice likibuma atakuja Kwa furaha humu maana hapendi MAENDELEO ya Arsenal....Unachofanya mda mrefu ni kumu attack as if hzo taarifa anatunga yy wkti ni mambo ya Media ndo analeta taarifa zake hmu...ww ndo unakurupuka...kuattack mtu na sio kichangia mawazo yako
Wahuni tu hawa wanaoingiza habari za siasa.Acha kutudanganya wewe, kwamba mudryk angekataa kwenda Chelsea kingetokea nini?
Eti siasa! siasa gani?
Yaani tetesi za usajili wanatoa akina Fabrizio Romano, ila jamaa wanamchamba Hamisi77. Unajua brother Hawa ni Mashabiki wa nyumbu na akili zao zimeishia hapo.... Yaani magazeti ya michezo ya huko majuu yanatengeneza Tetesi nyingiiii kuhusu Arsenal Kwa kuwa Arsenal Ina Mashabiki wengi huko ulaya.... Sasa jamaa anacopy na kuleta habari hapa kama zilivyo, eti jamaa wanakereka na kuanza kutoa kejeli!.. wewe unaona Wana akili timamu! hao!.. hata kama mtu una chuki au hupendi kitu ni vizuri kuficha ujinga wako!.. brother Huyo jamaa asikupotezee muda ni kijana mdogo shabiki wa nyumbu asiye na uelewa wowote!... Nakuhakikishia deal la Rice likibuma atakuja Kwa furaha humu maana hapendi MAENDELEO ya Arsenal....
Rudi kwenye jukwaa Lenu kule mkaendelee kuwalalamikia Glazer...hyo Hamis hatungi hzo habari tunaziona huko mitandaoni...yy ana copy na ku paste tu hmu...Sasa shida Iko wpi....kutwa kuongea pumba ilimradi muonekane mnajua kuchangia sana vijanaWahuni tu hawa wanaoingiza habari za siasa.
Kipengele kichowafanya Arsenyau kumkosa Mudrky ni pesa tu.
Wao walikua wanataka kulipa kwa mafungu mafungu, halafu kingine ilikua ni masharti yao ya kipuuzi katika kulipa add-ons, Arsenyau sharti lao eti watalipa hio add-ons endapo Mudryk akifanikiwa kupata tuzo ya Ballon D'or
Shakhtar wakaona hizi kima hazipo serious fasta wakaamua kufanya biashara na tajiri miluzi.
Uzikute sasa hizi Kondoo zilivyo makini kusikiliza zikiwa zinadanganywa na hamis77 yaani mpaka mtu unajiuliza hizi ni kondoo kweli au ni misukule
Poor Asenyo
Rudi kwenye jukwaa Lenu kule mkaendelee kuwalalamikia Glazer...hyo Hamis hatungi hzo habari tunaziona huko mitandaoni...yy ana copy na ku paste tu hmu...Sasa shida Iko wpi....kutwa kuongea pumba ilimradi muonekane mnajua kWahuni tu hawa wanaoingiza habari za siasa.
Kipengele kichowafanya Arsenyau kumkosa Mudrky ni pesa tu.
Wao walikua wanataka kulipa kwa mafungu mafungu, halafu kingine ilikua ni masharti yao ya kipuuzi katika kulipa add-ons, Arsenyau sharti lao eti watalipa hio add-ons endapo Mudryk akifanikiwa kupata tuzo ya Ballon D'or
Shakhtar wakaona hizi kima hazipo serious fasta wakaamua kufanya biashara na tajiri miluzi.
Uzikute sasa hizi Kondoo zilivyo makini kusikiliza zikiwa zinadanganywa na hamis77 yaani mpaka mtu unajiuliza hizi ni kondoo kweli au ni misukule
Poor Asenyo
Kwni Romano peke yke ndo anatoa taarifa za usajili...watoa taarifa si wko wengi...kinacholetwa hmu ni taarifa zte za wale journalist reliable na ambao sio reliable...shida Iko wpikina Fabrizio Romano ndio wanasemaga
"Player only wants Arsenal"?
Rudi kwenye jukwaa Lenu kule mkaendelee kuwalalamikia Glazer...hyo Hamis hatungi hzo habari tunaziona huko mitandaoni...yy ana copy na ku paste tu hmu...Sasa shida Iko wpi....kutwa kuongea pumba ilimradi muonekane mnajua kuchangia sana vijana
Mwamposa ndo nani Brother...mbona huelewekipunguza makasiriko brother
Huyo Mwamposa wako kila siku tuko nae huko Unyumbuni anakuja kuchangamsha mbuga.
Kabisa mkuuYaani tetesi za usajili wanatoa akina Fabrizio Romano, ila jamaa wanamchamba Hamisi77. Unajua brother Hawa ni Mashabiki wa nyumbu na akili zao zimeishia hapo.... Yaani magazeti ya michezo ya huko majuu yanatengeneza Tetesi nyingiiii kuhusu Arsenal Kwa kuwa Arsenal Ina Mashabiki wengi huko ulaya.... Sasa jamaa anacopy na kuleta habari hapa kama zilivyo, eti jamaa wanakereka na kuanza kutoa kejeli!.. wewe unaona Wana akili timamu! hao!.. hata kama mtu una chuki au hupendi kitu ni vizuri kuficha ujinga wako!.. brother Huyo jamaa asikupotezee muda ni kijana mdogo shabiki wa nyumbu asiye na uelewa wowote!... Nakuhakikishia deal la Rice likibuma atakuja Kwa furaha humu maana hapendi MAENDELEO ya Arsenal....
Huyo anaewashikia akili Kondoo wa Arteta na kuwaamrisha mkanyage mafuta ya upako.Mwamposa ndo nani Brother...mbona hueleweki
Sijawahi kuona taahira like you yaani deal la Rice libume Arsenal fans tufurahi?who is Rice by the way?yaani umeona Rice kwako ni bonge la player?ndio maana tunadharaulika kwa comments kama hizi then Arsenal ana maendeleo gani jamani for 18 years ago hata EPL hatujabeba na bado tupo Arsenal fans jamani?unasema hatutaki maendeleo ya Arsenal?niambie Arsenal ina maendeleo gani kwa zaidi ya miaka 18 sasa ?tukisema ukweli mnachukia sisi ni fans wa Arsenal but kusema hatutaki maendeleo ya Arsenal ni kichekesho kikubwa maendeleo gani sasa ?miaka 20 hatuna EPL hatuna champions league hatuna World club cup hatuna super cup hatuna Europa cup hyo yote ni zaidi ya more 20 years sasa maendeleo gani hatuyapendi?tukisema ukweli mara unaitwa nyumbu mara ID 2 bro relax tumeipenda team but ukiongelea maendeleo utatukanwa tuYaani tetesi za usajili wanatoa akina Fabrizio Romano, ila jamaa wanamchamba Hamisi77. Unajua brother Hawa ni Mashabiki wa nyumbu na akili zao zimeishia hapo.... Yaani magazeti ya michezo ya huko majuu yanatengeneza Tetesi nyingiiii kuhusu Arsenal Kwa kuwa Arsenal Ina Mashabiki wengi huko ulaya.... Sasa jamaa anacopy na kuleta habari hapa kama zilivyo, eti jamaa wanakereka na kuanza kutoa kejeli!.. wewe unaona Wana akili timamu! hao!.. hata kama mtu una chuki au hupendi kitu ni vizuri kuficha ujinga wako!.. brother Huyo jamaa asikupotezee muda ni kijana mdogo shabiki wa nyumbu asiye na uelewa wowote!... Nakuhakikishia deal la Rice likibuma atakuja Kwa furaha humu maana hapendi MAENDELEO ya Arsenal....