Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenyani na kocha wenu hamjui mnataka nini. Huyu Rice mnayemlilia mtakuja kumkataa: siyo kuwa ana uwezo mdogo ila ni namna kocha wenu anavyotaka kumtumia.

Mpaka sasa mshajiingiza mkenge kwa kumsajili Havertz.
Rice akitumika mbele ni mbovu ila akitumika kama CDM hapo Arsenal wamempata mchezaji
 
Rice akitumika mbele ni mbovu ila akitumika kama CDM hapo Arsenal wamempata mchezaji
Tatizo ni watu watakaocheza mbele yake hawana uwezo kwenye ball retention & defending. Bora Ode ila Kai ni mvivu.

Labda kama Arteta anamtaka Timber ili aje acheze IFB kama ball-carrier, hapo nitamuelewa anachotaka kufanya.

Hata kule Chelsea wanateseka kwa kumtumia Enzo vibaya. Ukitumia double 8s inatakiwa mtu anayeweza kucheza lone DM kweli bila hivyo ukikutana na timu zinazo-press ni balaa tu.

Mfano EtH pale United huwa anajaribu kumtumia Eriksen na Bruno halafu Casemiro kama lone DM kinachomkutaga wote mmeshuhudia.
 
Mbona kuna watu kama wameanza kuchukulia kama suala la Arsenal kumkosa Rice nalo ni la kuwazomea?

Personally naona Arsenal wasimsajili RICE, hizi kelele na fee anayowekewa vitamfanya awe another version of pepe...

Lavia awe priority kwakweli
Rice mi namwona ni mchezaji wa kawaida sana. Yaan mpk sasa najiuliza ni kwa nini Arteta anamng'ang'ania.
Arse88 naona mnaenda kupgwa kama mlivyopgwa kwa Kai. Ombeni mungu City awaokoe kw kumchukua.
 
Rice mi namwona ni mchezaji wa kawaida sana. Yaan mpk sasa najiuliza ni kwa nini Arteta anamng'ang'ania.
Arse88 naona mnaenda kupgwa kama mlivyopgwa kwa Kai. Ombeni mungu City awaokoe kw kumchukua.
Actually hatupigwi, maana hizo hela za wenye timu yao mimi huku nanjirinji sipaswi kuzionea ubahili..., Mimi naangalia performance ya mchezaji baadaye...

Kilichomfanya Pogba kuflop na kuwa mchezaji wa ovyo ovyo ni tangia alipokuwa kwenye headlines za media..

Ni wachezaji wachache sana wanaoweza kumanage hilo
 
Kocha wangu anapush cuz anajua Rice akienda City and the game is over kabla ya Msimu haujaisha. Guardiola ana push cuz anajua Arsenal ni strong challenger, tukimpata Rice anapunguza quality gap kati yetu na City.
 
Kocha wangu anapush cuz anajua Rice akienda City and the game is over kabla ya Msimu haujaisha. Guardiola ana push cuz anajua Arsenal ni strong challenger, tukimpata Rice anapunguza quality gap kati yetu na City.
Shida yenu kubwa ni mabeki, kama Saliba asingeumia, mngebeba kombe. Imarisheni mabeki muwwe na deep Defense. Rice hatasaidia kitu kama idara zote tatu za uwanjani ni slim. Mabeki, Viungo na Washambuliaji. Timber ni CB mzuri I asume
 
Shida yenu kubwa ni mabeki, kama Saliba asingeumia, mngebeba kombe. Imarisheni mabeki muwwe na deep Defense. Rice hatasaidia kitu kama idara zote tatu za uwanjani ni slim. Mabeki, Viungo na Washambuliaji. Timber ni CB mzuri I asume
Ndo hivyo tena Arteta anamuuza Kieran Tierney, ila ana roho ngumu sana.
 
Shida yenu kubwa ni mabeki, kama Saliba asingeumia, mngebeba kombe. Imarisheni mabeki muwwe na deep Defense. Rice hatasaidia kitu kama idara zote tatu za uwanjani ni slim. Mabeki, Viungo na Washambuliaji. Timber ni CB mzuri I asume
Mtaalam Lembu tunakusikiliza na asante kwa kufuatilia mpira na sio team. ::::
Arsenal are preparing their second bid for Jurrien Timber. Expectation’s to be submitted soon — crucial step after green light from the player.
#AFC

Arteta has already approved Timber as priority target for this window.
 
Shida yenu kubwa ni mabeki, kama Saliba asingeumia, mngebeba kombe. Imarisheni mabeki muwwe na deep Defense. Rice hatasaidia kitu kama idara zote tatu za uwanjani ni slim. Mabeki, Viungo na Washambuliaji. Timber ni CB mzuri I asume
Anakuja Timber ,Arteta kaidhinisha tayari


Fabrizio Romano

Arsenal are preparing their second bid for Jurrien Timber. Expectation’s to be submitted soon — crucial step after green light from the player.
#AFC

Arteta has already approved Timber as priority target for this window.
 
City Hadi Sasa hajatuma hiyo ofa

Media zime drive Sana Jana

Hasa Di marzio , media za UK zikamkana ,

Anasema Rice anakaribia mancity ,

Bila ku submit bid ,bila kumalizana personal term
 
City Hadi Sasa hajatuma hiyo ofa

Media zime drive Sana Jana

Hasa Di marzio , media za UK zikamkana ,

Anasema Rice anakaribia mancity ,

Bila ku submit bid ,bila kumalizana personal term
Yan jana usiku nikakua Rice deal lishakamilika kwenda City kumbe ishu bado mbichi kabisa
 
City Hadi Sasa hajatuma hiyo ofa

Media zime drive Sana Jana

Hasa Di marzio , media za UK zikamkana ,

Anasema Rice anakaribia mancity ,

Bila ku submit bid ,bila kumalizana personal term
Kaka hv siti inaweza kushindwa katika kusajili mchezaji ambae nao wanamtaka kweli kweli?
 
Shida yenu kubwa ni mabeki, kama Saliba asingeumia, mngebeba kombe. Imarisheni mabeki muwwe na deep Defense. Rice hatasaidia kitu kama idara zote tatu za uwanjani ni slim. Mabeki, Viungo na Washambuliaji. Timber ni CB mzuri I asume
Shida kubwa ni #6 na ndio maana links zinaonesha tupo tayari kuweka million 150 (Rice + Lavia) hilo eneo.
 
Yan jana usiku nikakua Rice deal lishakamilika kwenda City kumbe ishu bado mbichi kabisa
Hadi muda huu city hajaweka dau lolote mezani

Tier 1 kwa habari za Westham , ExWh kwenye mtandao wake wa Petron ambao unalipia £5 kusoma amesema bado hakuna bid yoyote
 
West Ham are bracing themselves for Arsenal’s third bid for Declan Rice, a £100m offer which they believe is now IMMINENT. Reports,


@SamiMokbel81_DM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…