Kabisa. Partey akiwa fit na kwenye form ni wachache wanamfikia pale EnglandPartey kwa maoni yangu angebaki Arsenal bado alikua na msaada mkubwa sana, viungo wawili kwa wakati mmoja hii ni karata famba sana
Mkuu ukiwa unataka pambania makombe ya maana hautakiwi kua na mchezaj wa kutegemea nadharia "Kua akiwa fit neno akiwa linamaanisha ww una liabilities kwny team yan magari ya mkaa.Kabisa. Partey akiwa fit na kwenye form ni wachache wanamfikia pale England
Simaanishi tutegemee yeye tu akiwa fit. Partey ni top quality na tunataka tuwe na top quality players zaidi ya mmoja Kila nafasi, kama City. Siyo unaleta na kuondoa.Mkuu ukiwa unataka pambania makombe ya maana hautakiwi kua na mchezaj wa kutegemea nadharia "Kua akiwa fit neno akiwa linamaanisha ww una liabilities kwny team yan magari ya mkaa.
Toeni hela nunueni Wali mkicheza city tunamchukua mtabak na Maneno yenu ooh oil money sijui nn.. Mpr ni investment sio porojo za vijiweni.
Nyie manyumbu mna bahati sana tumekosa ubingwa. Msingeonakana humu kwenye jukwaa la title contenders wa ukweli
Huyo Chai Kiazi(Kai Harvez) muda sio mrefu mtaanza kumtukana humu kama mlivyokua mnamtukana Nketiah.Mimi Bado sijaelewa Kwa nini haswa tunawataka Kai na Declan Kwa hizi bei tunazotaka kutoa. Haswa Kwa Kai sijui tumeona nini Cha kutoa 65m. Unachezea 200+ Kwa wachezaji watatu (+ timber), unawatoa Xhaka na Partey Kwa chini ya 60m...naona kama ni kupoteza wachezaji na pesa Kwa pamoja
Ujinga huo ati.Mimi Bado sijaelewa Kwa nini haswa tunawataka Kai na Declan Kwa hizi bei tunazotaka kutoa. Haswa Kwa Kai sijui tumeona nini Cha kutoa 65m. Unachezea 200+ Kwa wachezaji watatu (+ timber), unawatoa Xhaka na Partey Kwa chini ya 60m...naona kama ni kupoteza wachezaji na pesa Kwa pamoja
Chakushangaza mnamtosa Partey na kumbakiza Jorginho. Soŕy Rice ni mzuri ila bei ni kubwa. Atakuwa na mzigo wa deni kubwa mabegani mwake. Sio wote wenye price tag kubwa wanaweza kuhimili na kucheza vizuri. Wengi wanaflopKuna watu walikuwa wanabeza Arteta kumtaka Rice. Cha kushangaza baada ya kusikia Man city kaingilia Dili, wanafurahia kupata points za kuwakandia kina Edu. Na akisajiliwa utasikia Rice siyo sababu ya Arsenal kukosa kikombe
tulisema humu tukaonekana mamluki ona sasa kazi imekuwa ngumu mara mbiliDelay delay delay
hamna kitu mzee tuna bagain sana mzeeKuna muda kama shabiki unapaniki kwamba kwanini arsenal wamechelewa kukamilisha hili dili mpaka city anaingia kwa miguu miwili.
Je hawakuona biashara ya gundogan kwamba itaharibu na kuingilia mtiririko wa dili la rice? Kweli?
Kwamba shabiki unaweza ona intervention ya city ila arteta na bodi nzima hawakuona.? Really?
Kwa akili ya kawaida hii kitu haipo.kwangu mimi inawezekana arsenal walikuwa wanamsubiri city aje kwenye hii dili.wakati hammers wakichelewesha deal kusubiri city aingie ili kuwe na bidding war arsenal nao walikuwa wanamsubiri man city.swali ni how and for what?
Ngoja nikwambie. Sajili tulizofeli ambazo sisi tunaziita zilikuwa ni A-list inawezekana kabisa ndo zilikuwa B-list au zilikuwa ni technical methodology za kupata preferred targets.
Dili la muddrick liliniachia funzo kubwa sana kuhusu namna arsenal anavyosajili. Mind you kwamba inawezekana hata hatujui clear targets za arsenal tofauti na hizi zinazozunguzwa na media.
Welcome mancity kwenye deal la rice kuna kitu tutaona au tutajifunza
Partey anataka kuondoka mwenyewe, plus majeruhi na age, wengine wanasema Sababu ya Ile KESI ya kipindi kileChakushangaza mnamtosa Partey na kumbakiza Jorginho. Soŕy Rice ni mzuri ila bei ni kubwa. Atakuwa na mzigo wa deni kubwa mabegani mwake. Sio wote wenye price tag kubwa wanaweza kuhimili na kucheza vizuri. Wengi wanaflop
OkyKuna muda kama shabiki unapaniki kwamba kwanini arsenal wamechelewa kukamilisha hili dili mpaka city anaingia kwa miguu miwili.
Je hawakuona biashara ya gundogan kwamba itaharibu na kuingilia mtiririko wa dili la rice? Kweli?
Kwamba shabiki unaweza ona intervention ya city ila arteta na bodi nzima hawakuona.? Really?
Kwa akili ya kawaida hii kitu haipo.kwangu mimi inawezekana arsenal walikuwa wanamsubiri city aje kwenye hii dili.wakati hammers wakichelewesha deal kusubiri city aingie ili kuwe na bidding war arsenal nao walikuwa wanamsubiri man city.swali ni how and for what?
Ngoja nikwambie. Sajili tulizofeli ambazo sisi tunaziita zilikuwa ni A-list inawezekana kabisa ndo zilikuwa B-list au zilikuwa ni technical methodology za kupata preferred targets.
Dili la muddrick liliniachia funzo kubwa sana kuhusu namna arsenal anavyosajili. Mind you kwamba inawezekana hata hatujui clear targets za arsenal tofauti na hizi zinazozunguzwa na media.
Welcome mancity kwenye deal la rice kuna kitu tutaona au tutajifunza
Wajinga sana hawa Edu, Arteta na bodi.Oky
combination ya xhaka na partey ilikuwa superb sana last season leo hii tunaambiwa kuwa wote wako kwenye exit door
Sasa kama club tunakubalije kupoteza best player wetu without significant replacement
leo hii partey ambaye alikuwa key player last season anauzwa kabla hata hatujapata mbadala wake but siamini kabisa kama arsenal hatuimuitaji tena partey.
Ngoja nikwambie kitu hauitaji kuingia kwenye vikao vya board kujua wanawaza nini unaweza ukaangalia matendo yao tu kwenye market ukajua wanawaza nini.
Binafsi nitaumia sana partey kuondoka, sanaa yaaani, na mkija na hoja ya Jogingho kama mbadala nitawashangaa sana.
Kuna watu walikuwa wanabeza Arteta kumtaka Rice. Cha kushangaza baada ya kusikia Man city kaingilia Dili, wanafurahia kupata points za kuwakandia kina Edu. Na akisajiliwa utasikia Rice siyo sababu ya Arsenal kukosa kikombe
Wachezaji wengi pale arsenal wenye kutegemewa walioongeza mikataba ivi karibuni na waliosajiliwa wanakula kuanzia £200pw, kwaiyo ukiona kimesajiliwa chuma sio potential ujue kinakula kuanzia iyo hela.Man u walianza kununua wachezaji kwa bei mbaya. Wakaharibu dressing room na performance
Wakafuata Chelsea wakaharibu dressing tukahatibu performance na sasa tunajitahidi kufagia
Arsenal Next. Mnanunua wachezaji bei ghali na kuwapa mishahata mikubwa bila sababu kitakachofuata ni manung'uniko dressing room halafu kiharibu morale ya wengine na kushika kwa performance. Kwa mchezo gani Havertz anastahiki paundi 200k kwa wiki?
Tusubiri tuone, ya Mungu mengi
Mkuu xhaka na partey hakuna aliyeondoka hata mmoja.Oky
combination ya xhaka na partey ilikuwa superb sana last season leo hii tunaambiwa kuwa wote wako kwenye exit door
Sasa kama club tunakubalije kupoteza best player wetu without significant replacement
leo hii partey ambaye alikuwa key player last season anauzwa kabla hata hatujapata mbadala wake but siamini kabisa kama arsenal hatuimuitaji tena partey.
Ngoja nikwambie kitu hauitaji kuingia kwenye vikao vya board kujua wanawaza nini unaweza ukaangalia matendo yao tu kwenye market ukajua wanawaza nini.
Binafsi nitaumia sana partey kuondoka, sanaa yaaani, na mkija na hoja ya Jogingho kama mbadala nitawashangaa sana.