Kuna binadamu mmoja yuko Lisbon nafikiri Manuel Ugarte ana balaa yule mtu sijui kwanini tunang'ang'ana na hawa akina Rice na Caecedo yule Ugarte ni full package|| Arsenal are not prioritising Moisés Caicedo this window
[Via - @David_Ornstein /
@TheAthleticFC].
Alitakata mechi hasa ile yetu akara red card ,nilichojifunza mwalimu ana sifa kadhaa anakuwa anazitaka katika kutimiza ayatayoKuna binadamu mmoja yuko Lisbon nafikiri Manuel Ugarte ana balaa yule mtu sijui kwanini tunang'ang'ana na hawa akina Rice na Caecedo yule Ugarte ni full package
Ila naona kama hana nguvu sana.Arteta asajili ajuavyo ila aniletee Lavia
Yule dogo kwa miaka 19 , nimemshuhudia akicheza kikubwa Sana, akiwapoteza vzr viungo pinzani
Yule jamaa ni hatari ndugu ni full packageAlitakata mechi hasa ile yetu akara red card ,nilichojifunza mwalimu ana sifa kadhaa anakuwa anazitaka katika kutimiza ayatayo
Nakumbuka Arteta alipigiwa kelele sa na kuhusu Bissouma ,
Na Bissouma aliwaka Sana ,leo Hana namba hata Spurs
Kuna mwamba niliwahi kumuambia umu kua bayern Hana uwezo wa kupambana na vilabu vya England kwenye soko la usajili akanibishia katu katu wameshatupa taulo mara mbili mbele ya Arsenal kwa Rice na Kai .Kuwa na subira MJUSI , kumbuka westham ndio wanaleta ujuaji Kama unakumbuka walisema Bei ni £120m wakiamini ,Kutakuwa na biding war kina Chelsea ,city ,Bayern, manjesta ,
Walipokuja kushtuka Bayern kakimbia Bei na mchezaji kaweka waz anataka kubaki London ,
Manjesta Hali tete , Chelsea inabidi auze deadwoods , City ana Rodri na Kelvin Philips na anamuongeza Kova , pia anapambania dili la Josko ambaye Ni €100m .
Hivo favourite anabaki Arsenal ,wakasema ndan ya saa 24 city ataweka bid ,ili tu Arsenal apande dau, Cha ajabu imepita wiki ,city hajaweka ofa yoyote ,
Imebid Westham washushe Bei kutoka £120m had £100m
Ina maana Kama kungekuwepo ukurupukaji Basi ingelipwa over £100m+
Walipokataa bid ya kwanza ,
Upo dunia ipi? Ashabebwa huyo.Kuna binadamu mmoja yuko Lisbon nafikiri Manuel Ugarte ana balaa yule mtu sijui kwanini tunang'ang'ana na hawa akina Rice na Caecedo yule Ugarte ni full package
News:
Timber aliomba kubaki Ajax ,ila iliwekwa Realase clause ambayo Ni Siri
Timber alikuwepo kwenye mech ya FA Cup ya manjesta vs city , ndio siku alikutana kwa Siri na Arsenal wakamaliza mchezo ,
Inaonesha Realese clause Ni chini ya £50m
Hivo Arsenal wameshaijua,wakatest kwa £30m iliyokataliwa ,Ajax wapo kwenye presha ,maana inaonesha release clause Ni ndogo ,
Bayern kahijack deal kaambiwa mchezaji anaitaka Arsenal
Now Arsenal na Ajax wanakaribia kukubaliana Bei
Nakumbuka ukabishiwa na kejeri ,Mimi nilikaa kimyaKuna mwamba niliwahi kumuambia umu kua bayern Hana uwezo wa kupambana na vilabu vya England kwenye soko la usajili akanibishia katu katu wameshatupa taulo mara mbili mbele ya Arsenal kwa Rice na Kai .
Huwa nakuheshimu naona una akili kumbe mweupe kabisawewe Aaron Arsenal AKA hamis77 kwa nini hua unajitoa ufahamu dirisha la usajili linapofunguliwa?
Umesahau dirisha dogo timu lako jinsi lilivyokutenda kwa Mudryk?
Wewe endelea tu kujipa moyo halafu baadae uje utuage hapa kwa kutudanganya umeibiwa simu kisha unafungua Id nyingine mpya.
Aliyekwambia kila mchezaji lazima aje Nan?hii michezo hata Mudryk aliwafanyia sana lakini hamkomi.