Humu kuna washikaji wachache sana wenye uhalali wakushangalia mafanikio ya Mikel Arteta, most people here are losers, so chaotic like women, plastic fans, Arteta outers wanaotafuta njia ya kuja kivingine kama vinyonga.
Jana nilikuwa naangalia mwaka 2020 Mwanzon ,Arteta alimtaka Vini Jr kwa mkopo Kipind hicho Vin Ni machachari Sana , Sasa nikawa nacheki comment za toxic fans wanavyobeza na kutukana
Huo huo mwaka ndio Vin Jr aliwaka Sana had Sasa ,na Madrid walikuwa karibu kutupa Vin kwa loan
Arteta akaenda akamuomba Odegaard kwa loan wakampa ,hakufanya vzr ,nadhan unakumbuka matus ,na kebehi alizopewa Odegaard na Arteta pale aliposema Huyu ndiye First target yake
Madrid wakatuuzia kwa £30m , leo wale haters ,na wapiga kelele kuhusu kwanini Odegaard anasajiriwa wapo kimya Kama sio wao, now wanamshambulia Kai ,
Hivi Lavia uchezaji wake unatofaut gan na Caicedo?
Arsenal ikitoa £100m kwa Rice , £60m kwa Kai , £45m kwa Lavia
Huu kwangu nitaupa 10/10
Sikuwa namkubali Rice ,but nimeangalia anavyotaka kutumika nimeelewa why hata Pep anamtaka
Rice kiasili Ni CB , so nimeona tutacheza kwa kushambulia na back 3, ambapo Rice anakuwa juu as DM , bila mpira anarud kuwa CB , juu muweke Kai & Odegaard washambulie half spaces .
3-2-2-3
White Saliba Gab
Rice Zinny
Ode Kai
Saka Jesus Martinelli