hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,406
- 26,962
Rice Arsenal ndio front-runner , Arsenal wameweka clear baada ya fainal ya conference league, inatumwa bid ya £92M , RELIABLE SOURCES zote zimethibitisha , na Rice alishamalizana kitambo na Arteta toka game ile ya kwanza EmiratesRice + Caicedo duh! Tuendelee kuamini hii kitu inatokea kwa manufaa ya hili chama.
Phase 3 ya Project Ni kusajiri only Quality players kwa Bei ya juu (Rejea interview ya edu)
Caicedo alikubaliana Summer hii aondoke , So Dili lake sio hot sababu focus ya kwanza Ni RICE
Lakini Kuna maingizo ya RB , ambaye either Cancelo au Caicedo
Progressive no.8
Credit to David ornstein, Sam Mokbel , Sr. Collings, Matt Law DT ,