Mkuu sipend kukukatisha tamaa lkn ushind.. Mmh hawa Arsenal wamekua wajinga sana yan ww imagine ulikua nje ya dunia for 2 weeks.. Umerud ukaambiwa hii team ilikua kwny tittle race.. Ww ungekubal?
Nyie kama mna uwezo ndg zng nawashaur mapema.. Andiken mapema barua kwa uefa waambieni kua mmejitasmini sana mmeona mashindano ayo sio level yenu ya kushiriki bado.
Mda upo fanyeni ivo.. Nawaambia ndg zng kuna kitu kitawakuta kibaya sana tena hata kwny makundi tu...ayo mambo yenu sijui mpr mzr sijui tupress sijui overload.. Nawaambia mtakutana na dhahama kubwa.