Umefanya uamuzi mzuri, muachie hilo tambala bovu ndugu hamis77 limuue.I have been an arsenal fan for 20 years na nimeshuhudia haya
Chelsea kachukua epl 5 times, man utd 5 times , Liverpool and Leicester city kila moja mara moja just imagine even Leicester city win the damn title !!!
Man city ambao imeanza kuwa timu ya maana 2010 imenikuta as arsenal fan kwa miaka 7 empty hands now man city imechukua epl 7 times ukijumlisha na msimu huu.
This year tuko ahead 8 points na games zimebaki 8 still tumeshindwa kubeba ubingwa !! Arsenal is not a team ni epl jokers team .
Huko uefa tunaenda kushirikii tu tukijitahidi sana ni 16 bora then holla!!! Haina maana kuwa washiriki wa uefa
Nimeona watu wanalalamika “ ooh we need classic players and not average players” hata hao classic player hawaweziii kuja arsenal kwasababu ni average team and not world classic team, how can you find world classic players on loser team like arsenal???…. World classic player gan atakubali kuja arsenal timu isiyokuwa na mentality yakua bingwa hells no!!!!
Newcastle hii ambayo inaanza kujengwa itachukua epl na arsenal still itakua bado haijachukua
Fabregas kaondoka arsenal kaenda barca akarudii chelsea akachukua ubingwa , RVP kaenda man utd akachukua ubingwa , sagna na clichy wameondoka arsenal wakaenda man city wakachukua ubingwa . Halaand kazaliwa kakuta arsenal haina ubingwa now anachukua ubingwa na cityhapa unajiuliza unashabikia arsenal ili iweje mpira mzuriii eti , arsenal inaizidiii city kwa mpira mzuriii hapana kwa makombe labda ya 1990 kwenda chini hukoo.
For 20 years i have been an arsenal fan, its the right time to say im no longer an arsenal fan!!!!!!!!
SO LONG , AND THANKS FOR ALL THE FISH!!!!!
Mtuhumiwa alikua mpiga kelele sanaUnaambiwa mpaka dakika hii hamis77 yuko kwenye mikono salama akilisaidia jeshi la polisi na intelijensia ya nchi kuelezea huo uhaini wao wa kujitangazia ubingwa kabla ya ligi kuisha na kuleta taharuki kubwa kwenye jamii inayowazunguka, mfadhili wao ni nani na malengo yao hasa ni yapi? View attachment 2622186
Karibu city mkuu upate full burudni.Timu sio kabila kwamba huwezi badili. Nikiwaangalia mashabiki wa Arsenal nashimwa kuwaelewa ilikuaje kuaje mpaka mkaanza kushabikia timu kama Arsenal? Au ndo unbeaten ya mchongo iliwahadaa.I have been an arsenal fan for 20 years na nimeshuhudia haya
Chelsea kachukua epl 5 times, man utd 5 times , Liverpool and Leicester city kila moja mara moja just imagine even Leicester city win the damn title !!!
Man city ambao imeanza kuwa timu ya maana 2010 imenikuta as arsenal fan kwa miaka 7 empty hands now man city imechukua epl 7 times ukijumlisha na msimu huu.
This year tuko ahead 8 points na games zimebaki 8 still tumeshindwa kubeba ubingwa !! Arsenal is not a team ni epl jokers team .
Huko uefa tunaenda kushirikii tu tukijitahidi sana ni 16 bora then holla!!! Haina maana kuwa washiriki wa uefa
Nimeona watu wanalalamika “ ooh we need classic players and not average players” hata hao classic player hawaweziii kuja arsenal kwasababu ni average team and not world classic team, how can you find world classic players on loser team like arsenal???…. World classic player gan atakubali kuja arsenal timu isiyokuwa na mentality yakua bingwa hells no!!!!
Newcastle hii ambayo inaanza kujengwa itachukua epl na arsenal still itakua bado haijachukua
Fabregas kaondoka arsenal kaenda barca akarudii chelsea akachukua ubingwa , RVP kaenda man utd akachukua ubingwa , sagna na clichy wameondoka arsenal wakaenda man city wakachukua ubingwa . Halaand kazaliwa kakuta arsenal haina ubingwa now anachukua ubingwa na cityhapa unajiuliza unashabikia arsenal ili iweje mpira mzuriii eti , arsenal inaizidiii city kwa mpira mzuriii hapana kwa makombe labda ya 1990 kwenda chini hukoo.
For 20 years i have been an arsenal fan, its the right time to say im no longer an arsenal fan!!!!!!!!
SO LONG , AND THANKS FOR ALL THE FISH!!!!!
Na sisi mashabiki wa Chelsea kwa pamoja tunasema Tupigwe tuuAtampiga huyo Chelsea ambaye kila mtu anajipigia
Hili game Asengema alikula vyuma vingapi 😂Brighton ndo michezo yao hii. Kumbananisha Arsenyani mwisho wa msimu.
View attachment 2621935
Inauma ila itabidi mvumilie 😂I have been an arsenal fan for 20 years na nimeshuhudia haya
Chelsea kachukua epl 5 times, man utd 5 times , Liverpool and Leicester city kila moja mara moja just imagine even Leicester city win the damn title !!!
Man city ambao imeanza kuwa timu ya maana 2010 imenikuta as arsenal fan kwa miaka 7 empty hands now man city imechukua epl 7 times ukijumlisha na msimu huu.
This year tuko ahead 8 points na games zimebaki 8 still tumeshindwa kubeba ubingwa !! Arsenal is not a team ni epl jokers team .
Huko uefa tunaenda kushirikii tu tukijitahidi sana ni 16 bora then holla!!! Haina maana kuwa washiriki wa uefa
Nimeona watu wanalalamika “ ooh we need classic players and not average players” hata hao classic player hawaweziii kuja arsenal kwasababu ni average team and not world classic team, how can you find world classic players on loser team like arsenal???…. World classic player gan atakubali kuja arsenal timu isiyokuwa na mentality yakua bingwa hells no!!!!
Newcastle hii ambayo inaanza kujengwa itachukua epl na arsenal still itakua bado haijachukua
Fabregas kaondoka arsenal kaenda barca akarudii chelsea akachukua ubingwa , RVP kaenda man utd akachukua ubingwa , sagna na clichy wameondoka arsenal wakaenda man city wakachukua ubingwa . Halaand kazaliwa kakuta arsenal haina ubingwa now anachukua ubingwa na cityhapa unajiuliza unashabikia arsenal ili iweje mpira mzuriii eti , arsenal inaizidiii city kwa mpira mzuriii hapana kwa makombe labda ya 1990 kwenda chini hukoo.
For 20 years i have been an arsenal fan, its the right time to say im no longer an arsenal fan!!!!!!!!
SO LONG , AND THANKS FOR ALL THE FISH!!!!!