Arsenal (The Gunners) | Special Thread

tena wakumbushe maana binaadamu tumeumbiwa kusahau, tarehe 1 ya mwezi ulioisha Arsenyau alikua anaongoza ligi kwa tofauti ya points 8 dhidi ya Mancity. View attachment 2620106

Hii ni kweli au macho yangu mmmh we are losers kama mambo yalikua hivi kweliii, maana nishasahau

Kesho arsenal fans tupo everton kwa dua na sala zote
 
Ukuu wa Mungu umeendelea kujiziilisha Mpaka leo watu wote wako machimboni bado uzi mzito kweli kwao huu.
 
Carrasco putinn na Bachelor ll nawakumbusha tu lile chama lenu la tangia Utotoni Brighton & Hove Albion leo linapeleka msiba rasmi kwenye makaburi ya Emirates. View attachment 2621252
Kitu Arsenal walichotusaidia msimu huu ni kuwabaini mashabiki wake maana hii miaka ya karibuni walikuwa hawajulikani sasa PEPO Gardiola alijifanya kama halitaki vile ili mashabiki wake watoke mafichoni

JE BILA MBINU ZA PEPO Gardiola nan angejua Kuli hamis77 ni shabiki wa ARSENAL?
 
 
Mzee huwa tupo sema tumekuwa tukikosa raha muda mrefu sana. Ila msimu huu umekuwa na afadhali si kama awali. Tumezingua kwenye kuchukua ubingwa ila kuna matumaini. Ndiyo maana Mimi simdai Arteta chochote Kwa sasa. Ameperform kuliko matarajio yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…