Naumia kuona Mpaka hamis77 kakimbia jukwaa sababu ya hii timu kimeo Yani msimu mzima mmetoka bila hata kombe la kuuzia sura.
Poor arsenyani.
Cry more bruvTAITO KUNI WHAT????
...n wakatutumia na hii picha.tena wakumbushe maana binaadamu tumeumbiwa kusahau, tarehe 1 ya mwezi ulioisha Arsenyau alikua anaongoza ligi kwa tofauti ya points 8 dhidi ya Mancity. View attachment 2620106
Aya tunasbr mkuu.City kesho analowa ndio chansi yetu sasa kukaa pale juu. Eveton hawezi kubalikushuka daraja yan wameyakanyaga kina pep
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
tena wakumbushe maana binaadamu tumeumbiwa kusahau, tarehe 1 ya mwezi ulioisha Arsenyau alikua anaongoza ligi kwa tofauti ya points 8 dhidi ya Mancity. View attachment 2620106
Wanakwambia wanasbr leo maajab yafanyike watokeeModerator nashauri hili Jukwaa wapewe hata mashabiki wa Namungo Fc maana mashabiki wote wa Arsenyau wamelikimbia Jukwaa lao
Kitu Arsenal walichotusaidia msimu huu ni kuwabaini mashabiki wake maana hii miaka ya karibuni walikuwa hawajulikani sasa PEPO Gardiola alijifanya kama halitaki vile ili mashabiki wake watoke mafichoniCarrasco putinn na Bachelor ll nawakumbusha tu lile chama lenu la tangia Utotoni Brighton & Hove Albion leo linapeleka msiba rasmi kwenye makaburi ya Emirates. View attachment 2621252
Kitu Arsenal walichotusaidia msimu huu ni kuwabaini mashabiki wake maana hii miaka ya karibuni walikuwa hawajulikani sasa PEPO Gardiola alijifanya kama halitaki vile ili mashabiki wake watoke mafichoni
JE BILA MBINU ZA PEPO Gardiola nan angejua Kuli hamis77 ni shabiki wa ARSENAL?
Hii ni kweli au macho yangu mmmh we are losers kama mambo yalikua hivi kweliii, maana nishasahau
Kesho arsenal fans tupo everton kwa dua na sala zote
Mzee huwa tupo sema tumekuwa tukikosa raha muda mrefu sana. Ila msimu huu umekuwa na afadhali si kama awali. Tumezingua kwenye kuchukua ubingwa ila kuna matumaini. Ndiyo maana Mimi simdai Arteta chochote Kwa sasa. Ameperform kuliko matarajio yanguKitu Arsenal walichotusaidia msimu huu ni kuwabaini mashabiki wake maana hii miaka ya karibuni walikuwa hawajulikani sasa PEPO Gardiola alijifanya kama halitaki vile ili mashabiki wake watoke mafichoni
JE BILA MBINU ZA PEPO Gardiola nan angejua Kuli hamis77 ni shabiki wa ARSENAL?
Wangekuwa wanacheza na sisi hao Everton sawa. Ila Kwa City watapigwa vizuri tuKama una bet mpe Everton. Hakuna mechi ngumu kama kukutana na timu ambayo inapambana isishuke daraja