Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Tukupe na manyanga sasa uanze uganga,, project ndo kwanza ipo phase 3/5 alf unasema ndo basi tena? Haha
 
Leo mkishinda sio mbaya ili mkatusafishie chumba wanaume maana tumewatoa kwa kushtukiza sana kiasi kwamba mkasahau kusafisha uchafu wenu wa zaidi ya miezi 7 pale juu mpaka tumeugua kipindupindu na mafua.

Haya haya haya nenden mkatoe uchafu wenu na virago mlivyosahau maana wanaume ndio tunaingia sasa kesho.
 
Juzi juzi hapa nilisema katika games zilizobaki tunaihesabu na Chelsea siyo kwakua wapo vizuri ila kwakua ni derby na derby hua haitabiriki.

Games nne za mwisho zimeionyesha Arsenal isiyojua inataka nini kwa upande mwingine wenzetu katika games tano nyuma wameonyesha ubovu pia

Am simply saying theoretically hii mechi ni two clowns fighting but practically hii ni derby so lolote laweza tokea na yeyote aweza shinda. Arsenal anascore kudefend hawezi Chelsea defense inasumbua na scoring ina shida.

Tuna Holding wana Chalobah. Wana watu wana speed ila kuscore kidogo ni tatizo.

But for today's glory usishangae ukajikuta unacheza na prime Liverpool. Najua hatuna majeruhi, natarajia kikosi kile kile kilichobaki tukutane uwanjani.
 
Daaah! Toka Saliba aumie huko nyuma tumekuwa uchochoro sana!... Hii mechi ni muhimu tushinde Ili kurudisha winning mentality
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…