Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwamba arsenyani mmekuwa wepesi kiasi hichi Yani Mpaka sasa mashuti yayiyo lenga lango lenu ni matano5.
 
Wamekimbizwa vizuri Sana

Kipindi Cha pili tuwapelekee moto kiwango hiki hiki
 
Kwani tukipiga kamba 4, c tunachukua points 3?
Basi kaeni kwa kutulia
 
@Kinumbo unanifurahisha sana jinsi unavyozifariji hizi kima kwa maneno yako matamu yaliyojaa busara.


#Arsenyani Kondoo
#Haaland kiatu
#Mancity bingwa Epl 2022/2023
Kwa vita yenu Mashabiki wa Man Utd FC vs Arsenal FC, nasema muuane tu wala siamulii chochote maana nami napamba na hali yangu kuhusu Chelsea FC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…