Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,468
- 14,620
Arteta naona anataka tuzingatie epl, yasije ya Liverpool mwaka jana
Hii ndio ilikuwa trophyArteta naona anataka tuzingatie epl, yasije ya Liverpool mwaka jana
Hii ndio ilikuwa trophyya uhakika huko EPL ni mtihani mzitomamanina Arsenal bora hata mgecheza saa 3 kasoro tutafute usingizi sasa hivi usingizi unatoka wapi tena?
Arteta aliidharau sporting na wamemfunza adabu pumbavu zake, game ya kwanza ilitosha kabisa kuingia robo fainali laiti kama angepanga full mkoko.
Tuna imani na Arteta, M. Arteta - mikumi tena.Inawezekana tukaenda mikono mitupu this season hili ndilo lililokuwa trophyya uhakika Acha nikeshe tu kwa uchungu mzito sana
Nawapa pole alafu naendelea kulala ntakuja kuwacheka asubuh View attachment 2554499
Sio alitaka uwezo wa team Umeishia hapo mzee.. Madg Wamecheza vzr wamepambana leo mlicheza kwenu lkn sio kwa kiwango kzr, Uwezo wenu uliishia hapo.Arteta naona anataka tuzingatie epl, yasije ya Liverpool mwaka jana, coz hatuna kikosi kipana
Tuna imani na Arteta, M Arteta mikumi tenaHii ndio ilikuwa trophyya uhakika huko EPL ni mtihani mzitomamanina Arsenal bora hata mgecheza saa 3 kasoro tutafute usingizi sasa hivi usingizi unatoka wapi tena?
Itakuwa ni laana kwa Arsenal ya season hii kwenda trophy less abadani na ninaona season hii tukiqualify champions league but no trophy ohh my God
Mashabik wenu wengne wanaona lbd ndo vzr.. Sio vzr hata kdg ukiwa unafukuza na Pep na city kwny ligi tena gape lenyw point 5.Hii ndio ilikuwa trophyya uhakika huko EPL ni mtihani mzitomamanina Arsenal bora hata mgecheza saa 3 kasoro tutafute usingizi sasa hivi usingizi unatoka wapi tena?
Itakuwa ni laana kwa Arsenal ya season hii kwenda trophy less abadani na ninaona season hii tukiqualify champions league but no trophy ohh my God
Hii ndiyo Arse8 tunayoijua sasa sisi Mashabiki kindaki ndaki toka Mchambawima Zanzibar kwa Rashid Makame (RashFord)Kichekesho ni atatolea shabiki atakuambia "Bora tumetoka ili tufocus na ligi"
Kumbukumbu zangu zinaniambia tangu Aaron aje Arsenal hajawahi daka penati hata moja. Kama unaikumbuka ya Fernandes, Fernandes alitoa nje huku Aaron akiwa kaenda upande mwingine.
Kwa timu ambayo ina hamu ya kushindana na timu za nje ya Uingereza benchi letu ni la hovyo, kuna wachezaji hata kama tunawapenda vipi inabidi waende. Juzi dhidi ya Fulham nilisema Vieira siyo physical game ya hivyo inamsumbua kuna kiazi kikataka kuanzisha ubishi.
Na kuna wale mashabiki wana ile "We will try again next time" kiukweli hapana ifike muda tujue muda gani wa kukomaa na muda gani wa kusema hapa itabidi nisubiri.