Arsenal hii popote natimba na wala siogopi chochote, tena Arsenal ikiwa ugenini ni tofauti ya iliyopo Nyumbani, ushindi wa ugenini hua tunakua comfotable kbs angalia game mbili na Fulham,bounamouth na wengine wengiKwahiyo mnasema Arsenyani bado hajaenda Anfield na Etihad?
Hahaha Labda martinel yule wa baada ta Jesus kuumia, ila Martinel huyu wa Baada ya Trossad kuja hapana hatakiwi kukaa benchi,, yana kuna game zinazokuja watakipiga wote watatuKwa kiwango anacho kionyesha trossad mnamuonaje martinel mbona kma kwenye first eleven anatoka sasa hvi
Mana kule juu c unaona jesus saka kati ya martinel na trossad unafkil kwa moto anao anao uwasha trossad nani anastahil kuanzaHahaha Labda martinel yule wa baada ta Jesus kuumia, ila Martinel huyu wa Baada ya Trossad kuja hapana hatakiwi kukaa benchi,, yana kuna game zinazokuja watakipiga wote watatu
Kwa performance ya Trossard, Nketiah ndio yupo hatiani kukosa nambaMana kule juu c unaona jesus saka kati ya martinel na trossad unafkil kwa moto anao anao uwasha trossad nani anastahil kuanza
Hata Ganriel Jesus anaweza kusugua piaKwa kiwango anacho kionyesha trossad mnamuonaje martinel mbona kma kwenye first eleven anatoka sasa hvi
Jesus kusugua benchi ni kwa ajir ya hajawa fiti tu basi, katoka majeruhi muda mrefu sana basi kinyume na hapo hawez kaa benchiHata Ganriel Jesus anaweza kusugua pia
Umemsikiliza Arteta jana ? Kasema alisha ongea na Jesus hilo swala anatakiwa apiganie nafasi kama wengine .Jesus kusugua benchi ni kwa ajir ya hajawa fiti tu basi, katoka majeruhi muda mrefu sana basi kinyume na hapo hawez kaa benchi
Nyie anfield mmetokaje unafikir sisi tunaenda kibwege kama nyieKwahiyo mnasema Arsenyani bado hajaenda Anfield na Etihad?
Muhuni kavua na shati kabisa
Maana yake nini hii?
Hiyo amesema tu kama excuse akimaanisha hawezi kuanza kwa mechi ijayo kama mashabiki wanavyotegemea.Umemsikiliza Arteta jana ? Kasema alisha ongea na Jesus hilo swala anatakiwa apiganie nafasi kama wengine .
Tafsiri tu ya Mtandaoni 11 games to go to our 14th title.Maana yake nini hii?
Time will tell, Maana madogo wako moto tofauti na alivotuacha.Hiyo amesema tu kama excuse akimaanisha hawezi kuanza kwa mechi ijayo kama mashabiki wanavyotegemea.
It's obvious mchezaji akitoka kwenye injury hawezi rudi moja kwa moja kwenye 1st elevent, anapewa game time kidogo kidogo ili a catch-up na wenzie.
Probably tunaweza kumuona Jesus kwenye 1st eleven baada ya international break.