Oxlade-Chamberlain
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 8,635
- 2,209
yaani hii Arsenal tatizo ni mabeki....hatuna kabisa watu pale nyuma....huwa wanacheza vzr kwenye game za kukamia......3-1...Hatuna uwezo wa kusaka hata sare.....Upuuzi mtupu.....
yaani hii Arsenal tatizo ni mabeki....hatuna kabisa watu pale nyuma....huwa wanacheza vzr kwenye game za kukamia......3-1...Hatuna uwezo wa kusaka hata sare.....Upuuzi mtupu.....
hawa wachezaji bwana watakuwa wamechukua hela ili wafungwe..haiwezekani yaani wamelegea kama mautumbo ya bata bana
Siku Wenger alivyotangaza kwamba yuko powa na nafasi ya pili ndio siku matumaini yangu yaliishia na sasa naona soon atasema nafasi ya tatu powa tu.
Poleni gunners wenzangu tusubiri kujivua magamba summer.
After seeing his team become distant contenders for the title, manager Arsène Wenger says that the target is now for the team to finish in the top three.
Wenger said: "The first step was to be in the top four and last Sunday was a decisive step for that.
source; Arsenal Mania - News - Wenger revises targets for this year
...duhh, wenzangu bado mlikuwa na mioyo ya ujasiri! ...mimi nilishachukua likizo na mapeeema.
Hapa hakuna matumaini labda msimu ujao uanze.
Hilo la nafasi ya tatu keshalitamka...;
...duhh, wenzangu bado mlikuwa na mioyo ya ujasiri! ...mimi nilishachukua likizo na mapeeema.
Hapa hakuna matumaini labda msimu ujao uanze.
Hilo la nafasi ya tatu keshalitamka...;