Kwa uzoefu wangu mm Ten hagg hajafikia bado expectation alizoonesha ole , with medium bajeti alifika nafasi ya 2, ya 3, alifika level ambayo alihitaji kuaminiwa na kupewa msaada Cha ajabu wakamuingilia kumleta Ronaldo ambaye hakumtaka wakamvurugia mipangoMimi nina expectations kubwa na Ten Hag he will get you somewhere. Tumpe muda
Mazingira aliyokutana nayo Arteta au Klopp huwez ku compare na aliyokutana nayo Ten haggNyie arteta mmekaa nae misimu mingapi hapo hata uefa ajawai wapeleka akufukuzwa ila sisi hata kocha msimu ujaisha anataka afukuzwe waenga wanasema wivu umtesa anae uifadhi.
Punguzeni wivu sisi mashabiki wa man u tunamtaka Kwanini utusemee sasa.
Sisi ndo tutasema kama hatumtaki au Vipi kwa Sasa tunamtaka sana tu.
Huyo kocha ni dalali wa AjaxMashabiki wengi hasa wa manjesta hawajui mpira na hawajui kuuchambua ,timu yao ilikuwa form lakin Ina magepu kibao ,
7 hag atafata njia za kina ole watamtimua ,kocha unampima hata kwenye usajili, Ni mbahatishaji, ndio maana ilibidi akimbilie hasa pale pale Ajax kusajili ,Cha ajabu bado akapotea kwa kumsajili Anthony mchezaji ambaye alikuwa naye hapo hapo ajax, kamsajili yule beki ambaye kashindwa kuingia kikos Cha Kwanza ,sajili bora ni Moja tu Martinez ,sajili za Casemiro na eriksen ni za muda mfupi tu,
Kwa pesa ile aliyopewa namuona akufata njia za kina ole guna
Wanamuonea wivu Genius 10 hagNyie arteta mmekaa nae misimu mingapi hapo hata uefa ajawai wapeleka akufukuzwa ila sisi hata kocha msimu ujaisha anataka afukuzwe waenga wanasema wivu umtesa anae uifadhi.
Punguzeni wivu sisi mashabiki wa man u tunamtaka Kwanini utusemee sasa.
Sisi ndo tutasema kama hatumtaki au Vipi kwa Sasa tunamtaka sana tu.
Mkuu Mimi nawewe saizi kubishana nimeona Muda uwe muamuzi wetu.Mazingira aliyokutana nayo Arteta au Klopp huwez ku compare na aliyokutana nayo Ten hagg
Arteta alirithi kikosi kibovu na alibidi kuwafukuza baadhi na kuwatengeneza wakutoka academy
Arteta alifika Arsenal ambayo big names hawataki kuja scenario ambayo Klopp alikutana nayo Liverpool
Ten hag kafika na bado ameweza kumpata mtu Kama casemiro
Bajeti ya Kwanza ya Arteta Arsenal alipewa £70m , Ten hag £211m
Hiki chini ni kikosi alichokuta Arteta ,View attachment 2543312
Umeisahau Bolton wanderers hapoHata hizi arsenal man united Liverpool pasipo pesa ni za Kawaida sana.
Kwa sasa unaposema timu kubwa England ni.
Manchester United/City
Chelsea
Liverpool
Arsenal
kuanzia 2000kushuka chini ningekujibu timu kubwa pale England ni hizi.
Liverpool
Man united
Arsenal
Newcastle
Blackburn
Hizo ndo timu zenye zilikuwa zikifahamika ni timu kubwa kwasasa kusema man city na chelsea sio timu kubwa nadhani ungetuambia labda maana ya timu kubwa kwa ufahamu wako ni zipi.
Nafurahi tunaelewana.Hata hizi arsenal man united Liverpool pasipo pesa ni za Kawaida sana.
Kwa sasa unaposema timu kubwa England ni.
Manchester United/City
Chelsea
Liverpool
Arsenal
kuanzia 2000kushuka chini ningekujibu timu kubwa pale England ni hizi.
Liverpool
Man united
Arsenal
Newcastle
Blackburn
Hizo ndo timu zenye zilikuwa zikifahamika ni timu kubwa kwasasa kusema man city na chelsea sio timu kubwa nadhani ungetuambia labda maana ya timu kubwa kwa ufahamu wako ni zipi.
Jamaa wa Ikulu mbona miyeyusho sanaSijaona timu ya kuizuia Arsenal mpaka sasa labda wapate majeruhi kama kawaida yao miaka yote
Potter mitano tena
Tuna imani FSG mitano
7Hag ni kanjanja
kwa jamaa wa ikuru nikachukue connection ya JW (hii naenda kumpa mdogo wake na mzazi mwenzangu)
I get your point brother.Tatizo hamtaki kuambiwa ukweli, kwa timu aliyoikuta na pesa alizopewa akazitapanya vibaya ,atafata njia za waliomtangulia ,form huwa inaficha mengi Sana,ila Mimi kwa uzoefu wangu na makocha waiopita epl na hapo man u ,ten hagg mtamtimua mapema Sana ,
Tulitegemea kwa timu aliyoikuta na pesa alizopewa ambazo klopp hata Arteta hawajawahi kupewa kwenye maisha yao ya ukocha ,Basi Angesajili talent ,Cha ajabu tunaona sajili za kubahatisha na mpira wa ujanja ujanja
Kuna imani mnajipa mnasema baada ya muda timu itakuwa hatari ,kiukweli mnajidanganya Sana
Tunaelimishana, maana mifano ipo mingi ,kwangu Mimi ole ndiye alikuwa na clear plan ,tatizo lilikuja alipoingiliwa kwenye sajili e.g cr7Mkuu Mimi nawewe saizi kubishana nimeona Muda uwe muamuzi wetu.
Tuangalie misimu miwili hafu tuje hapa kubishana hapa kama ten hag ni kanjanja au ni kocha.
Hata Ole alikua miyeyushoKwa uzoefu wangu mm Ten hagg hajafikia bado expectation alizoonesha ole , with medium bajeti alifika nafasi ya 2, ya 3, alifika level ambayo alihitaji kuaminiwa na kupewa msaada Cha ajabu wakamuingilia kumleta Ronaldo ambaye hakumtaka wakamvurugia mipango
Safi tuwakande hawa.Mapema tu Leo kuona long balls za Jakub Kiwior
Mechi itakuwa ngumu ,
I wish tutaimaliza Emirates
Ole alinyimwa Power ,ndio maana usajili Kama wa cr7 hakuafiki,na ndipo mambo yalianza kumuharibikia hapoHata Ole alikua miyeyusho
Ole alimsajili Ighalo, Pellistri, Telles wawili hapo hawakupata namba na mmoja nikawa nashangaa anapataje namba.
Sawa sawa na Erik, Weghorst sioni kama ni ST ambaye wote mtakaa mnasema atatupindulia matokeo.
Isipokua Erik kwenye decision making yupo firm, ana jeuri kumzidi Ole. Kimbinu anamzidi Ole ila hajaonyesha anatamani timu ichezeje, bado anatumia counter kama suluhisho la matatizo hata kwa midtable teams