ngoja niseme ninavyojuaAM ni general, anaweza kutokea pembeni kama winga hasa zile formations ambazo hazitumii winga ndio wale wa pembeni wanaitwa AM. CF anaweza kuwa AM lakini sio kila AM ni CF. Jina zuri la CF ni CAM
CF kama neno linavyosema lazima atokee katikati
Mfano kwenye 4-2-3-1 ambayo Potter anaitumia sana CF ni Felix ambaye anatokea katikatiu kuwalisha mipira hasa no. 9 ikishindikana anawapa mipira winga ili attack itokee pembeni
AM ni Attacking Mid, hata ukimuita Central Attacking Mid bado unammaanisha huyu huyu.
Mid anayetokea pembeni zamani walikua ni LM (Left Mid) na RM (Right Mid) hawa kwa kawaida hua na speed na mpira wa sasa umewaconvert, wengi wamekua mabeki mfano Davies, wengine Wingers mfano Grealish na wengine AM mfano Emile.
CF ni mchezaji ambaye atacheza role ya False 9 kwenye 4 3 3, they are great with ball, power, skills na accuracy mfano Benzema, Balogun na Jesus. Wakati ST yeye ni pale tu kwenye boksi hajisumbui kurudi juu huyu hata kucheza naye 1,2 ni mtihani na hawako vizuri kwenye passing mfano Haalanda, Nketiah.
Pia kuna SS (Second Striker) kwakua ST strength yake kubwa ni kuscore SS kazi yake inakua kudraw out defense na kumpa nafasi ST ya kuscore.
Logically sioni ni kivipi Centre Forward awe Attacking Midfielder ingawa CF anaweze shuka kwenye line ya AM na kusaidia mashambulizi bado sidhani kama ni sawa CF kua AM 100%