Kwenye UShabiki haupaswi kutulia mkuu. Ukipata nafasi ya kufurahi na kujidai, itumie tu maana hujui vipigo vitakuja lini. Waone Liverpool na Chelsea walivyo hivi Sasa. Liverpool wameanza kupiga na wao so mashabiki Lazima waitumie hii fursaWatulie kwanza huo ni upepo tu
Najiuliza wangekuwa wanapiga soka hili Kama la Arsenal tungeishije
Huwa nawakumbusha timu yao bado inatembea na individual brilliance za rashford na juhudi za Degea
Ndio maana walipokuja Emirates tuliwaweka uchi lakini bado hawasikii kuwa waache kelele
Yaani wanacheza mazoea ila Madrid yupo fire kinoma anaweza kushindaBarca inapelekewa moto balaa inaongoza ndiyo ila duh
Barca ikipoteza mpira yooote inarudi nyuma. Raphinha ni mzigoYaani wanacheza mazoea ila Madrid yupo fire kinoma anaweza kushinda
na ndio maana nilisema arteta must find a good solution.. na harka sna kipindi cha pili akamtoa jorginho na kumuingiza partey.Unaangalia mpira kweli bro??
Timu inacheza low block unataka ufanye kipi kingine zaid ya individual kama alichofanya Zinny kwenye bao la Saka?
Na Sagna, Kolo.Waache roho za korosho. Tumewapa title winners kibao. Clichy, Nasri, Adebayor na tukawapa Arteta aende kumpa Pep mbinu.. .. 😄😄
Arsenal’s next six fixtures:
Bournemouth H
Sporting Lisbon A
Fulham A
Sporting Lisbon H
Crystal Palace H
— international break —
Leeds United H
Hizo anashinda zote pep nakwambia saiv city wanampango kazi na msako wao sio wa kitoto kama ni mkamaria tembea na pep guardiola kipindi hiki anaweza shinda straight 10 games tena ushindi mkubwa tupambane wanaarsenal tushinde mechi zetu tusiwe kwenye pressure mapema najarb kuwaza tumezulmiwa karbia point 7 na marefa hii ligi tungeimaliza mapema sanaPep kwenye hizi mechi mbili lazima adondoshe point tupo hapa, Newcastle wakimkosa, mechi inayofuata Crystal palace hawawezi kumuacha, Viera legend kabisa.
Kwan Arsenal hatuna uwezo wa kushinda game 10 mfululizo?Hizo anashinda zote pep nakwambia saiv city wanampango kazi na msako wao sio wa kitoto kama ni mkamaria tembea na pep guardiola kipindi hiki anaweza shinda straight 10 games tena ushindi mkubwa tupambane wanaarsenal tushinde mechi zetu tusiwe kwenye pressure mapema najarb kuwaza tumezulmiwa karbia point 7 na marefa hii ligi tungeimaliza mapema sana
Hizo anashinda zote pep nakwambia saiv city wanampango kazi na msako wao sio wa kitoto kama ni mkamaria tembea na pep guardiola kipindi hiki anaweza shinda straight 10 games tena ushindi mkubwa tupambane wanaarsenal tushinde mechi zetu tusiwe kwenye pressure mapema najarb kuwaza tumezulmiwa karbia point 7 na marefa hii ligi tungeimaliza mapema sana
Tusimpe sifa nyingi Martinelli ana mengi pia ya kurekebisha hususani akiwa pembeniGabriel Martinelli ndio future CF, mechi tatu goli nne. Jesus Martinelli Saka is our best dynamic from now on
Tusimpe sifa nyingi Martinelli ana mengi pia ya kurekebisha hususani akiwa pembeni
Sent from my SM-G9650 using JamiiForums mobile app
Porojo hizi
Mna kariri sana,Arsenal awepo Partey City anafungwa Itihad
Arsenal ni team bora kabisa msimu huu tena by far sio hata close
Mechi ile Partey ndani ku neutralize attacks za City kisha kumsogezea Saka aondoke nao hawa City wangelala tu
Partey is Arsenal and Arsenal is Partey
Kama unaamini ivyo basi hata wao kuna game wachezaj wao wanakua off why iwe kwa Arsenal tu?Mpira una siku na siku, kuna siku Partey uwa off, yaani anakuwa hay upo mchezoni