Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hii mechi imeshakua ngumu Arteta hanaga plan B yaani hatuna on target hata moja first half
 
Nketiah ni forward mzuri sana shida yake ni kutotumia nafasi anazopata vya kutosha.mimi namprefer yeye kuanza mbele kuliko hawa akina Martineli na Trossard ni mpambanaji sana vile vile na ana press vizuri
Anajua kujiposition na kuscore ila huwezi mtarajia arudi kati au acheze pembeni. Mi naona anafaa kwemye 4 2 3 1 kuliko false 9
 
tumecheza game mbaya mno hi first half jpo tunaongza mbili.. kama vile sio wanaopmbania ubingwa w EPL.

hii inatokan n kuw n maingizo mapya mawil y wachezaj kwnye timu ambao n trossard n jorginho.

arteta must find a good solution!
 
tumecheza game mbaya mno hi first half jpo tunaongza mbili.. kama vile sio wanaopmbania ubingwa w EPL.

hii inatokan n kuw n maingizo mapya mawil y wachezaj kwnye timu ambao n trossard n jorginho.

arteta must find a good solution!
Ndicho nilikua nasema juzi 4 3 3 kwa sasa inatupa dominance ila haitufanyi kua lethal kwakua hayupo Jesus.

Ila angalau Trossard learns tofauti na Nketiah. So tuendelee angalia
 
tumecheza game mbaya mno hi first half jpo tunaongza mbili.. kama vile sio wanaopmbania ubingwa w EPL.

hii inatokan n kuw n maingizo mapya mawil y wachezaj kwnye timu ambao n trossard n jorginho.

arteta must find a good solution!
Usikalili maisha unakumbuka game ya leads tulioshinda kwa goal 1 kwa mbinde...kuna baadhi ya match what matter ni 3 points dakika za lala salama izi ucheze vzuri bila matokeo kipi bora
 
I see you mzeee
 
tumecheza game mbaya mno hi first half jpo tunaongza mbili.. kama vile sio wanaopmbania ubingwa w EPL.

hii inatokan n kuw n maingizo mapya mawil y wachezaj kwnye timu ambao n trossard n jorginho.

arteta must find a good solution!
Unaangalia mpira kweli bro??
Timu inacheza low block unataka ufanye kipi kingine zaid ya individual kama alichofanya Zinny kwenye bao la Saka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…