Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hiyo sheria inaanza kufanya kazi msim wa 2023-24

Deal zote zilizofanyika sasa hazitoathiriwa na mabadiliko yatakayofanywa na UEFA
 
Ujanja Chelsea waliotumia ni mbili
1) Kulipa kwa installment ili kukwepa overhead isiwe juu ikiwa ni pampoja na kodi na pia kukwepa FFP rules isiwabane. Mfano Enzo wamekubali kulipa Eur mil 130 badala ya 120M ili wawalipe mara moja Mil 60 mna mil 70 inalipwa ndani ya miaka mitano. Kwa hiyo pesa itakayoingizwa kwenye account sheet ni Mil 60 tu
2) pili wachezaji wanapewa mikataba ya muda mrefu. Mfano huyo huyo Enzo anaweza kupewa mkataba wa miaka 8. Ukichukua hiyo Mil 60 ukagawia kwenye miaka 8 unaweza kukuta ni mil 7+ tu ndio inaingizwa kwenye mahesabu ya mwaka huu. Kwa kufanya hivyo unaweza hata kusajili wachezaji 30 kwa msimu mmoja na bado usikiuke FFP rules.

Sasa UEFA wanachtarajia kufanyia marekebishao msimu ujao kwa kulazimisha mchezaji mkataba wake uwe mwisho miaka mitano. Wakati huo sisi Chelsea tumeshakwepa huo mtego.
Naamini pia wataweka vizuizi vingi msimu ujao kwa hii hii zase study ya usajili waliofanya akina Boehly
 
Arsenal among clubs exploring possibility of signing Jorginho from Chelsea. Italy midfielder’s contract up in summer + #CFC open to exit (may depend on Enzo Fernandez). 31yo one of options #AFC have expressed interest for. W/ @gunnerblog @TheAthleticFC
 
Tunahusishwa na Gorginho wa Chelsea kama Brighton wataendelea na msimamo wao

Arteta hataki Round ya 2 kwenda na Partey pekee , maana Albert Lokonga hatoshi na wao wanamuona kama no.8 sio 6

Automatically tunabaki na Natural DM mmoja

Brighton wanasema Caicedo HAUZWI kwa vyovyote
 
Arsenal approach Chelsea for Jorginho! It’s now an option in case Caicedo deal won’t go through with Brighton still reluctant to sell
#AFC

Chelsea, open to sell Jorginho but will ask for important fee to let him leave 6 months before end of contract #CFC
 
Hii issue ya Jorginho inaniuma kwa kweli staki aende kwenu yani ni bora tumuache mkataba wake umalizike aende hata huko italia ila sio kwenda kwenu

Jorginho ni kiungo wetu pekee ambae mda wote yuko fit ni mara chache sana akawa majeruhi

Jorginho chini ya Arteta atakuwa mzuri zaidi na jinsi mnavyocheza.
 
Since kitambo Arteta na Pep wamekuwa wakimuhitaji sana

Kama unakumbuka alitakiwa awe kwa Pep

Kuna fans wapo tayari tubaki na lokonga halafu tugombee EPL na Europa

Caicedo wamekaza kumuachia
 
Hii habari ya Gorginho, ni alarm kua kuna ofa ya mwisho itapelekwa brighton kama wasipokubali wanaachana na mpango wa kumsajili Caicedo kwaiyo Arsenal wameweka mtego wa azalani kwa Brighton.
 
Ila hii timu hii, hivi ndo kuishiwa options au ni nini? Jorginho?
Mkuu hizi ni short term plan...! Arteta anaangalia kila uwezekano wa kuendelea kubakia katika mbio za ubingwa, kwahiyo kwenye shida anajaribu kuziba kwa wakati

Ndio alichokifata kwa Trossard baada ya kumkosa janjaro aliekimbilia Chelsea, na sasa baada ya kuhisi kumkosa Moises ameona bora aangalie mchezaji ambae atakuja kuleta impact ya moja kwa moja kwenye timu

Mimi kama Arsenal fan nitafurahi tukimpata jamaa maana ataongeza kitu katika first eleven kama atapata namba na pia ataleta hali ya kujiamini kama ilivo kwa Zinny na Jesus maana jamaa ni winner

Kama atakuja nahisi atapewa mkataba wa miaka 2 maana najua hawezi kukubali mwaka mmoja, lakini pia kwa mkataba wa miaka miwili inakuwa ni nzuri zaidi kwake lakini pia kwa team
 
A
Aje Kwa muda mfupi sana isiwe Yale ya Willian. Pia asipewe penati. Jamaa anaboa sana anavyoruka ruka kama kitoto Cha chekechea akipiga penati. Akiwa jorginho yule wa mwanzoni mwenye line breaking passes kama za Fabregas itakuwa poa sana.
 
Kweli kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…