Hii game ya leo ilitakiwa tushinde. Against City itabidi tucheze kama underdogs tusishindane nao ufundi na possession, turely kwenye speed, transition na counter.Nadhani sote tunakumbuka mbio ambazo Pep na Klop walikuwa wanakimbizana na muda huo wote wana wachezaji matured enough
Klop aliwahi kumwacha pep points 14 ila mwisho wa siku akazikata, Liverpool yenye wachezaji matured enough kuliko wetu, Liverpool yenye wachezaji bora kwa kipindi kile kuliko wetu, Liverpool yenye wachezaji wazoefu kuliko wetu
Ni kheri uwe unafukuza mwizi kimya kimya kuliko kuwa unafukuzwa kimya kimya na mtu mwenyewe anaekufukuza ni pep na istoshe wachezaji wa city wana uzoefu na mbio za ubingwa kuliko sie
Japokuwa kila mwana Arsenal anatamani kuona hatutoki pale juu ila ukweli ni kwamba sio rahisi hivo kama unavotaka kutuaminisha mkuu
That way hata tukipata suluhu against them klwetu ni faida.
Na kama ulivyosema City imetuzidi kila kitu then mtakubaliana na mimi nikisema tunahitaji kusajili hii January