Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu timu iliopaki basi inakuaje na possession zaidi yako?
 
Unasema tumepaki basi mkuu angalia statics izo.
 
Aisee Thomas Partey ni Monster, big .onster
Mabeki wa Arsenal wamelala wanamuangalia tu Antony anaserereka na mpira goli from no where Partey hiyo speed sijawahi muona akikimbia hivyo
 
Unasema tumepaki basi mkuu angalia statics izo.View attachment 2491853
Hii shot yako ni ya dk ya 43 hata mpira haukua umefika half time

Blocked shots za Arsenal ni nyingi kwakua united yote ipo mbele ya goli.

United inapiga sana back pass na kutafuta long balls.

The only reason inabidi ipige pasi ni kwakua Arsenal haizifuati hizo back passes.

zorewa GenuineMan

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…