Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Piers hapa alitakiwa atulie. Ndiyo ni shabiki ila ni toxic sana. Timu inaelekea kucheza derby ngumu, imepoteza game moja tu na kutoka sare mara mbili tu unaanza kuletea maneno yanayodestabilize timu na kuvuruga mashabiki. Huu ni wakati wakuleta maneno ya kumpa support Edu na Arteta kama '100 is crazy money anyway' au 'trust the process' na maneno kama hayo ya kurally mashabiki waongeze kuwapa motisha team yao na management. Sasa mtu unaanza na 'blame Edu' sijui 'faff around' Kwa watu walio onyesha kabisa wanavunja record yao usajili. Dili limevamiwa kihuni ila ndiyo kawaida ya hii game.

Hapo Sasa Arteta anajikuta na mzigo wa kumyamazisha Kwa kushinda uwanjani. Team ishindane na wapinzani na fans wake yenyewe wenye hasira tena kama zamani, hii ni kurudishana nyuma.
 
Was Man United first goal supposed to stand?
Offside Rule -Ball interference;

The Laws of the Game say that a player can be in offside position when “interfering with an opponent by preventing an opponent from playing or being able to play the ball by

1. clearly obstructing the opponent’s line of vision or
2. challenging an opponent for the ball or (The first point of contact of the ‘play’ or ‘touch’ of the ball should be used) or
3. clearly attempting to play a ball which is close when this action impacts on an opponent or
4. making an obvious action which clearly impacts on the ability of an opponent to play the ball
 
Reports za mwisho si zilisema tunaenda kumalizana na shaktar tena Kwa bei ya chini kuliko waliyotaka na mchezaji alikuwa amekubali kuja Kwa mshahara wa kawaida tu? Hapo inaonekana kabisa jamaa kapiga kazi yake ipasavyo tu. 11th hour kaja mshindani na donge nono ambalo tusingeweza kumatch hasta Kwa upande wa mshahara na tukanyang'anywa tonge mdomoni. Hakuna namna zaidi ya kukubali matokeo na kusonga mbele siyo kuletea lawama.
 

I support Piers, often times Arsenal are victim of procrastination in negotiations and players’ acquisitions
 
Walitakiwa waongeze hii Kwa chini:

N.B:
1. All the above do not apply to Manchester United (and in some cases, Liverpool, Manchester City, Tottenham and Chelsea).
2. All the above do not apply to any team that scores in such circumstances against Arsenal.
 

Hahahahaha
 
Maneno yamesemwa mengi.

Rashford yuko mbele ya Akanji yaani akitolewa Rashford wa kwanza kuufikia mpira ni Akanji. Kama Akanji angekua mzito kuufikia basi Walker angegombea mpira na Bruno ila wamesema kwamba siku hizi imebadilika zamani ilikua 'Interference' siku hizi ni 'intereference by' which doesn't make sense considering Rashford alikua anaukimbiza mpira.

Utetezi mwingine wamesema kwamba kanuni zinasema 'Play to the whistle' na kwakua haikupigwa filimbi Akanji na Walker ilibidi wafanye clearance ambayo isingewezekana kwakua Rashford alikua anazuia mpira.
 

Rashford anakimbia na mpira, haugusi ila anamzuia Akanji asiucheze mpira( kind of blocking him) ili fernades aufikie mpira kirahisi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…