HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Piers hapa alitakiwa atulie. Ndiyo ni shabiki ila ni toxic sana. Timu inaelekea kucheza derby ngumu, imepoteza game moja tu na kutoka sare mara mbili tu unaanza kuletea maneno yanayodestabilize timu na kuvuruga mashabiki. Huu ni wakati wakuleta maneno ya kumpa support Edu na Arteta kama '100 is crazy money anyway' au 'trust the process' na maneno kama hayo ya kurally mashabiki waongeze kuwapa motisha team yao na management. Sasa mtu unaanza na 'blame Edu' sijui 'faff around' Kwa watu walio onyesha kabisa wanavunja record yao usajili. Dili limevamiwa kihuni ila ndiyo kawaida ya hii game.Piers Morgan anasema «If Arsenal want to win the League this season, we can’t faff around for weeks on key targets and then get outflanked/outbid at the last minute. Looks weak.
"We must buy another top class striker asap."
Earlier, Piers had also tweeted: "How can this be happening? Ridiculous that Arsenal let this transfer saga drag on so long we’ve apparently ended up losing him."
The TV personality was far from the only Gunners fan who was left fuming by yesterday's developments.
"Can’t blame the player, blame Edu for not getting this done ages ago."
Another said: "Edu just got his pants pulled down and got taught a lesson on what happens when you take the p*** with transfers lol nothing more to add
Hapo Sasa Arteta anajikuta na mzigo wa kumyamazisha Kwa kushinda uwanjani. Team ishindane na wapinzani na fans wake yenyewe wenye hasira tena kama zamani, hii ni kurudishana nyuma.