Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Arsenal akiwa home ana uhakika wa kutawala game ,hivo first choice Ni Zinny,Leo LB naona anaweza akaanza Tierney au technically Tomiyasu kwa ajili ya dogo Almiron.
Kama ni uzushi basi mzushi atakua huyo Arsenyani mwenzako THE SHADOW ONE mimi nime quote alichokiandika.Acha uzushi Flano ,hao Wana miaka 20+ sijui Kama wamewahi kushinda Emirates
Katika mechi 20
Arsenal WIN 18
Zinny kwenye kudefence hayupo vizuri sanaLeo LB naona anaweza akaanza Tierney au technically Tomiyasu kwa ajili ya dogo Almiron.
Hizi kima ni za kuzizoea tu, mimi mwenyewe mwanzo zilikua zinanishangaza sana ila baada ya Jf kutoa ile takwimu ya hospitali ya Dodoma ndio nikagundua kua ninadeal na watu wa aina gani kwenye hili jukwaa.Yaan Arse888 ina mashabiki wenye uelewa mduchu sana. Ukiwasikia wanavyojadili hapa ni kwamba hawatokaa wafungwe milele na timu yoyote ya dunia hii, Arteta ndio kocha dunia hii hakuna. Eti Pep alikua anamtegemea Arteta pale City hahaha.....
Hazijui hizi ng'ombe hata big 4 ni hati hati.
Kutwa nzima unajipitisha walipo kaa wanaume na kanga moko, tutakusukumia guu la ng'ombe ukaugulie nyumbaniYaan Arse888 ina mashabiki wenye uelewa mduchu sana. Ukiwasikia wanavyojadili hapa ni kwamba hawatokaa wafungwe milele na timu yoyote ya dunia hii, Arteta ndio kocha dunia hii hakuna. Eti Pep alikua anamtegemea Arteta pale City hahaha.....
Hazijui hizi ng'ombe hata big 4 ni hati hati.
Asukumiwe tuuuuuKutwa nzima unajipitisha walipo kaa wanaume na kanga moko, tutakusukumia guu la ng'ombe ukaugulie nyumbani
Mudi na PepeUSARA ZA GWIJI LA HIGHBURY
🤏Kuna tetesi Ambazo ni Genuine kumuhusu Winger Wa Shaktar huko Ukrane Mykhailo Mudryk Nimeona binafsi kwanini Arsenal wana Pambana kumpata huyu
🤏Sifa Moja kubwa Arteta anapenda kwa wachezaji wake ni Versatility (ukiraka) yani mchezaji aweze kuoperate kwenye nafasi tofauti tofauti kulingana mahitaji mifano ,White, Zinchenko, Partey, Jesus,Vieira, Martinell, Smith Rowe, nk
🤏Hivyo basi Arteta anamuhitaji huyu sababu anaweza operate maeneo tofauti moja Mudryk ni both footed player nikimaanisha anaweza kutumia miguu yote kwa usahihi
🤏Kwa Mazingira haya unaweza kumtumia LW na RW kulingana unachohitaji
🤏Mudryk ana kasi ( Pace) hivyo anaweza kutupa technical quality endapo tutahitaji kushambulia kupitia pembeni na kutengeneza mazingira 1vs 1 Mudryk anaweza kubeat defender sababu kasi pia dribbling skills
🤏Ukiacha versatility Mudryk sio winger wa kutengeneza nafasi tu anafunga Pia huyu hivyo basi kama atakuja bado atatusaidia kwenye attacking threats sababu team yetu haitegemei mtu mmoja kufunga bali System kiufungaji ukitaka kuamini nachozungumza angalia distribution ya ufungaji msimu huu wacheza 3 wana goal 7
Licha kwamba Arsenal hatuchezi Counter muda mrefu ila kuna muda tunacheza counter hapa ndipo tunakuja kumfaidi vizuri kama Atasajiliwa yangu ni hayo
Amigo adios hermanosView attachment 2467611View attachment 2467612
Huchoki tu kuingia humu, timu lako linazidi kuzamaYaan Arse888 ina mashabiki wenye uelewa mduchu sana. Ukiwasikia wanavyojadili hapa ni kwamba hawatokaa wafungwe milele na timu yoyote ya dunia hii, Arteta ndio kocha dunia hii hakuna. Eti Pep alikua anamtegemea Arteta pale City hahaha.....
Hazijui hizi ng'ombe hata big 4 ni hati hati.
Nimerekebisha mkuu😂😂Kama ni uzushi basi mzushi atakua huyo Arsenyani mwenzako THE SHADOW ONE mimi nime quote alichokiandika.
Leo kima za Aterta lazima zitapike damu uwanjani.
Arsenyani akisikia timu yoyote jina lake linaishia na United hua anapata kiwewe na kuanza kutetemeka.
# Hatucheki na kima
Hata wakipata mechi inayofuata ni ya FAGabriel Jesus, Bukayo Saka na William Saliba each have 4 yellow cards. Today's game against Newcastle is the 19th fixture mark.
We have Tottenham Hotspurs, and Manchester United next — If Saka and Saliba get booked today they'll miss the Spurs game. if they'll make it card-free after 90 mins then they'll be hoarded and start over in the round 2 fixtures — the first against Tottenham.
Saliba and Saka should avoid cards today.
Sadly this season rule Premier League yellows cards doesn't work in other tournaments which are the Emirates FA Cup and Carabao Cup.Hata wakipata mechi inayofuata ni ya FA