Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Neto anacheza pia false 9 , ndio maana Bei ilikuwa mwisho €50m ,wolves walipojifanya wanapandisha ,akaachana naeKwa mtazamo wangu bado najiuliza Arteta aliona nini kw Pedro Neto ambacho mimi sikioni?
Mudryk ni mzuri £60m inclusive ni fair price.
Tulitoa ofa ya £50m kwa Raphinha ikakataliwa, tukaenda na kiasi hicho hicho kwa Pedro Neto, Wolves wakaikataa Shakhtar wanafikiri tutatoa £80m kwa mchezaji wa ligi ya Ukraine? Haha, wanajidhani wanafanya biashara na man u au Chelsea, ndio maana kwenye negotiation wanamtaja Anthony wa man u
Sipingi usajili wa Mudryk, ni mchezaji mzuri na uwezo anao na utakuwa usajili mzuri kama tukimpata kwa thamani aliyonayo.
Sio pesa zangu sawa, lakini kwa nini tulipe pesa ya Superstar kwa mchezaji ambae bado atahitaji karibia misimu miwili ili akamilike kama tunavyo mtaka?
Mudryk ni mchezaji mzuri ila ni mchezaji wa 'project' na akija Arsenal haanzi mbele ya Martinelli kwa hiyo sidhani kama tutalipa hiyo £80m.
Mudrky atahitaji Kuna vitu awekwe sawa
Martinell,saka ,smith,Partey , Øde ,wote wamekuja Arsenal, au walikuwepo Arsenal kabla ya Arteta , walikuwa wachezaji wakawaida Sana, Kama Partey alifikia hatua akasema kwa anavyocheza anajipa 4/10
Martinel ,saka, Øde,smith walikuwa na potential ila sio Kama walivyo Sasa
Jesus kaja Arsenal kaingia moja kwa moja kwenye kikosi, tumelipa £45m, Hivyo hivyo kwa Zinchenko tumelipa £35m ntashangaa kama tutalipa £80m kwa mchezaji wa ligi ya Ukraine,
labda sio Arsenal ninayo ijua.
Its for him now, to come to Arsenal to win it or to go to wavamia deals to spoil it.De Zerbi kashasema, Mudryk atashinda ballon d'or, tunahitaji mchezaji wa kuwin hiyo tuzo hapa Arsenal.
Kwa sasa hizi zombi za arteta hazitakuelewa, ndio mana huwa nazikumbusha kumbusha kila mara.Jukwaa la moto sana hili.
Tukutane may kwenye kupambana kuwanania kuingia top4.
Mkuu naona unaiogopa manyuuu kweli katika comment zako 5 lazima utaje mchezaji wa manyuu au manyuu yenyewe relax mkuu nyie hata mshushe mbape sisi kuwapapasa ni pale pale.Namuangalia mudrky hapa ,ana Kasi Sana , anajua kufunga ,sioni aki struggle ,
Naomba dili lake likamilike kabla mech na Newcastle ,ili mech na man u Emirates aikute ,
Who is Shaka?Brighton tuna jambo letu leo arsenyeto mkipata hata droo nipo pale
Trossard hat trick
Shaka red card
Kaangalie ndani ya miaka minne ,Mkuu naona unaiogopa manyuuu kweli katika comment zako 5 lazima utaje mchezaji wa manyuu au manyuu yenyewe relax mkuu nyie hata mshushe mbape sisi kuwapapasa ni pale pale.
Badala upiganie timu yako ,upo bize humuJukwaa la moto sana hili.
Tukutane may kwenye kupambana kuwanania kuingia top4.
ALEXIS MAC ALLISTER amewaacha wachezaji wenzake wa Argentina wakiendelea kushangilia ubingwa ili aje kuzitia adabu hizi kima za Emirates, MOISÉS ISAAC CAICEDO, KAORU MITOMA, ADAM LALLANA, LEANDRO TROSSARD na DANNY WELBECK wameahidi wakiwagonga chini ya goli 3 wasilipwe mshahara wa miezi miwili.
Prediction
Brighton 3 - 1 Nyani
Nimekaa paleeeee
Ila huyu jamaa nae anatakiwa aelewe kuwa kuna kununua na kuna kupigwa. Sio kila team inataka kupigwa kama manjesta kuna zingine zilishatoka huko zimefika level za kununua kwa sasa.Every day the Shakhtar director watches Antony play, he increases the price of Mudryk by €20M because he's like "how on earth did they pay €100M for this?"
Every day the Shakhtar director watches Antony play, he increases the price of Mudryk by €20M because he's like "how on earth did they pay €100M for this?"
Majeruhi huyoJukwaa la moto sana hili.
Tukutane may kwenye kupambana kuwanania kuingia top4.
ALEXIS MAC ALLISTER amewaacha wachezaji wenzake wa Argentina wakiendelea kushangilia ubingwa ili aje kuzitia adabu hizi kima za Emirates, MOISÉS ISAAC CAICEDO, KAORU MITOMA, ADAM LALLANA, LEANDRO TROSSARD na DANNY WELBECK wameahidi wakiwagonga chini ya goli 3 wasilipwe mshahara wa miezi miwili.
Prediction
Brighton 3 - 1 Nyani
Nimekaa paleeeee
Sasa timu yangu inacheza na Mimbweha, kabla hata mpira haujaanza tayari mshindi ashajulikana.Badala upiganie timu yako ,upo bize humu