Arsenal (The Gunners) | Special Thread

De Zerbi on Mykhaylo Mudryk:


“Mudryk is a fantastic player, I think he can win the Ballon d'Or in the future”.
#BHAFC #AFC

“I like him as my ex-player but I’m now Brighton coach, and Brighton can't buy Mudryk”, says via @RichieMills2.
 
De Zerbi kuhusu mchezaji wake wa zamani Mudryk:

"Mudryk ni mchezaji mzuri lakini Brighton hawawezi kumnunua. Ninampenda kwa sababu wachezaji wangu wote wa zamani nawapenda lakini mimi ni kocha wa Brighton. Nafikiri Mudryk anaweza kushinda Ballon d'Or Ninajua thamani ya Mudryk
 
"Nafikiri Mudryk anaweza kushinda Ballon d'Or Ninajua thamani ya Mudryk"

De Zerbi muhuni sanaaaa, hapa anatumia akili mingi kuwaambia Shakhtar bei ya Mudi wakamatie hapohapo au ikiwezekana waongeze tena bei maana mchezaji wao ana kiwango kikubwa mno cha kumuwezesha kutwaa Ballon d'Or.
 
Dah flano hawa jamaa wanakaza,ila wataachia
 
Tulitoa ofa ya £50m kwa Raphinha ikakataliwa, tukaenda na kiasi hicho hicho kwa Pedro Neto, Wolves wakaikataa Shakhtar wanafikiri tutatoa £80m kwa mchezaji wa ligi ya Ukraine? Haha, wanajidhani wanafanya biashara na man u au Chelsea
, ndio maana kwenye negotiation wanamtaja Anthony wa man u


Sipingi usajili wa Mudryk, ni mchezaji mzuri na uwezo anao na utakuwa usajili mzuri kama tukimpata kwa thamani aliyonayo.

Sio pesa zangu sawa, lakini kwa nini tulipe pesa ya Superstar kwa mchezaji ambae bado atahitaji karibia misimu miwili ili akamilike kama tunavyo mtaka?

Mudryk ni mchezaji mzuri ila ni mchezaji wa 'project' na akija Arsenal haanzi mbele ya Martinelli kwa hiyo sidhani kama tutalipa hiyo £80m.

Mudrky atahitaji Kuna vitu awekwe sawa

Martinell,saka ,smith,Partey , Øde ,wote wamekuja Arsenal, au walikuwepo Arsenal kabla ya Arteta , walikuwa wachezaji wakawaida Sana, Kama Partey alifikia hatua akasema kwa anavyocheza anajipa 4/10

Martinel ,saka, Øde,smith walikuwa na potential ila sio Kama walivyo Sasa

Jesus kaja Arsenal kaingia moja kwa moja kwenye kikosi, tumelipa £45m, Hivyo hivyo kwa Zinchenko tumelipa £35m ntashangaa kama tutalipa £80m kwa mchezaji wa ligi ya Ukraine,

labda sio Arsenal ninayo ijua.
 
Arsenal hawatoi hiyo pesa, labda tuwape kwa mafungu kutokana na maendeleo ya mchezaji....

Yaani liverpool wamesajili Cody Gapko kwa 37m then Arsenal watoe 80m kwa Mudryk huu uchawi
 
arsenal watafte Alternatives, hawa majamaa hawana akili
 

Kwa mtazamo wangu bado najiuliza Arteta aliona nini kw Pedro Neto ambacho mimi sikioni?
Mudryk ni mzuri £60m inclusive ni fair price.
 
Kwa mtazamo wangu bado najiuliza Arteta aliona nini kw Pedro Neto ambacho mimi sikioni?
Mudryk ni mzuri £60m inclusive ni fair price.
Neto anacheza pia false 9 , ndio maana Bei ilikuwa mwisho €50m ,wolves walipojifanya wanapandisha ,akaachana nae
 
Wenger on Odegaard - "I was desperate to sign him. Fortunately, he is here now. He really is like a young Cesc Fábregas. I think he has developed into a complete player."

"I am super impressed. He really is a down-to-earth and nice boy. The way he analyzes the game. He also did that as a 15-year-old... The sharpness! I am really impressed. He will do well."

Wenger on Odegaard choosing Madrid over Arsenal-

"That was hard. When he was 15, I talked to him. I actually spoke to Martin about it after the game now on Boxing Day"

"After he came to Arsenal, he has found his creativity back. He plays amazingly well and masters everything in the game. He is complete. I like him in every way in the game. Defensive and offensive."

He makes decisions quickly, and always optimally. It is remarkable! I like him and the way he makes football look so easy. He has developed very well. It's really amazing. His decisions, he is also a leader in the team."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…